21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Sabato ya Kweli Kila Mara Ilishikwa<br />

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Tangu siku ile hata sasa Sabato imeshikwa. Ingawa “mtu wa <strong>za</strong>mbi” alifaulu katika<br />

kugandami<strong>za</strong> chini ya mguu siku takatifu ya Mungu, lakini ilifichwa katika mahali pa siri<br />

roho aminifu zikaitolea heshima. Tangu wakati wa Matengenezo (Reformation), wengine<br />

katika kila ki<strong>za</strong>zi wameimarisha kushikwa kwake.<br />

Mambo haya ya kweli katika kuhusiana pamoja na “habari njema ya milele”<br />

yatatofautisha kanisa la Kristo kwa wakati wa kutokea kwake. “Hapa ni uvumilivu wa<br />

watakatifu wanaoshika amri <strong>za</strong> Mungu, na imani ya Yesu.” Ufunuo 14:12.<br />

Wale waliokubali nuru juu ya Pahali patakatifu na sheria ya Mungu walijazwa na furaha<br />

kwa namna walioona umoja wa kweli. Walitamani nuru ya kugawanywa kwa Wakristo<br />

wote. Lakini kweli tafauti pamoja na ulimwengu haikukaribishwa kwa wengi waliojidai<br />

kufuata Kristo.<br />

Kwa namna haki ya Sabato ilivyoonyeshwa, wengi wakasema: “Tulikuwa tukishika<br />

Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong>) sikuzote, wa<strong>za</strong>zi wetu waliishika. Kushika kwa Sabato mpya<br />

kungetutupa inje ya umoja pamoja na ulimwengu. Kundi ndogo linaloshika siku ya saba<br />

linawe<strong>za</strong> kufanya nini juu ya ulimwengu wote unaoshika Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya<br />

juma)?” Kwa mabishano ya namna moja Wayuda wakatoa sababu <strong>za</strong>o <strong>za</strong> kukana Kristo.<br />

Vivyo hivyo wakati wa Luther, Wakristo wa dini ya Roma wakafikiri kwamba Wakristo wa<br />

kweli walikufa katika imani ya Kikatoliki; kwa sababu hiyo dini ile ilikuwa ya kutosha.<br />

Wazo la namna ile lingehakikisha kizuizi <strong>za</strong>idi kwa maendeleo yote katika imani.<br />

Wengi walishurutisha kwamba kushika kwa Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma) ilikuwa<br />

desturi ya kanisa iliyoenea sana ya kanisa kwa karne nyingi. Kinyume cha mabishano haya<br />

ilionyeshwa kwamba Sabato na kushikwa kwake kulikuwa kwa <strong>za</strong>mani <strong>za</strong>idi kuliko, hata<br />

kwa <strong>za</strong>mani <strong>za</strong> ulimwengu wenyewe--uliyoimarishwa na Mzee wa Siku.<br />

Kwa ukosefu wa ushuhuda wa Biblia, wengi wakashurutisha: “Sababu gani watu wetu<br />

wakubwa hawafahamu swali hili la Sabato? Wachache wanaamini kama unavyo amini.<br />

Haiwezekani kuwa kwamba unakuwa na hakika na watu wote waliojifun<strong>za</strong> kuwa<br />

wakosefu.”<br />

Kwa kupinga mabishano ya namna hii ilikuwa tu lazima ya kuita Maandiko na matendo<br />

ya Bwana pamoja na watu wake katika vi<strong>za</strong>zi vyote. Sababu mara kwa mara Mungu hakuwa<br />

akichagua watu waliojifun<strong>za</strong> na cheo kwa kuongo<strong>za</strong> katika matengenezo ni kwamba<br />

wanatumainia kanuni <strong>za</strong> imani ya kanisa na desturi <strong>za</strong> elimu ya tabia na sifa <strong>za</strong> Mungu na<br />

dini na kutoona haja kamwe ya kufundishwa na Mungu. Watu wanaokuwa na majifunzo ya<br />

chini wanaitwa nyakati zingine kutanga<strong>za</strong> kweli, si kwa sababu wanakuwa wasiojifun<strong>za</strong>,<br />

lakini kwa sababu si watu wenye majivuno ya kukataa kufundishwa na Mungu.<br />

Unyenyekevu wao na utii vinawafanya kuwa wakubwa.<br />

191

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!