21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Lakini ijapo walifanya nguvu kwa kuanzisha utakatifu wa Siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche)<br />

wakuu wa kanisa la Roma wao wenyewe kwa wazi wakatubu kwamba sabato inatoka kwa<br />

mamlaka ya Mungu. Katika karne ya kumi na sita bara<strong>za</strong> la Papa ikatanga<strong>za</strong>: “Acha<br />

Wakristo wote wakumbuke ya kwamba siku ya saba ilitakaswa na Mungu, na ilikubaliwa na<br />

kushikwa, si kwa Wayuda tu, lakini na kwa wengine wote wanaodai kuabudu Mungu;<br />

ingawa sisi Wakristo tumebadilisha Sabato yao kwa Siku ya Bwana.”4 Wale waliokuwa<br />

wakiharibu sheria ya Mungu walikuwa wanajua tabia ya kazi yao.<br />

Mufano wa kushanga<strong>za</strong> wa mipango ya Roma ulitolewa katika mateso marefu ya mauaji<br />

juu ya Waldenses (Vaudois), wengine wao walikuwa washika Sabato. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.)<br />

Historia ya makanisa ya Ethiopia na Abyssinia ni ya maana ya kipekee. Katikati ya huzuni<br />

ya Miaka ya Gi<strong>za</strong>, Wakristo wa Afrika ya Kati walifichama kwa uso wa dunia na<br />

wakasahauliwa na ulimwengu na kwa karne nyingi wakafurahia uhuru katika imani yao.<br />

Mwishoni Roma ikajifun<strong>za</strong> juu ya maisha yao, na mfalme wa Abyssinia akadanganywa hata<br />

akakubali Papa kama mjumbe mkubwa wa Kristo. Amri ikatolewa kukata<strong>za</strong> kushikwa kwa<br />

Sabato chini ya malipizi makaii1] Lakini uonevu wa Papa (kanisa la Roma) kwa upesi<br />

ukawa nira ya kutia uchungu sana ambayo watu wa Abyssinia wakakusudia kuivunja.<br />

Wakuu wa Roma wakafukuziwa mbali kwa mamlaka yao na imani ya <strong>za</strong>mani ikarudishwa.<br />

Wakati makanisa ya Afrika yalipokuwa yakishika Sabato katika utii kwa amri <strong>za</strong><br />

Mungu, wakaepuka na kufanya kazi siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche) kwa kufuatana na desturi<br />

ya kanisa. Roma ikavunja Sabato ya Mungu kwa kujiinua mwenyewe, lakini makanisa ya<br />

Afrika, yakajificha karibu miaka elfu moja, hayakushirikiana kwa uasi huu. Walipoletwa<br />

chini ya Roma, wakalazimishwa kuweka pembeni kweli na kutuku<strong>za</strong> sabato ya uwongo.<br />

Lakini kwa upesi walipopata tena uhuru wao wakarudia kutii amri ya ine. (Ta<strong>za</strong>ma<br />

Nyongezo).<br />

Mambo haya yanaonyesha wazi uadui wa Roma kwa ajili ya Sabato ya kweli na<br />

wasimamizi wake. Neno la Mungu linafundisha ya kwamba mambo haya yanapashwa<br />

kutendeka tena kwa namna kukaririwa kama vile Wakatoliki na Waprotestanti wanajiunga<br />

kwa kutuku<strong>za</strong> siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche).<br />

Mnyama wa Pembe Mbili Mfano wa Mwana-Kondoo<br />

Unabii wa Ufunuo 13 unatanga<strong>za</strong> ya kwamba mnyama wa pembe mbili mfano wa<br />

mwana-kondoo atafanya “dunia na wanaokaa ndani yake” kuabudu kanisa la Rome--<br />

lililofananishwa na mnyama “alikuwa mfano wa chui. “Mnyama wa pembe mbili itasema<br />

vilevile “wale wanaokaa juu ya dunia, kufanyia sanamu yule mnyama”. Tena, naye<br />

anawafanya wote, “wadogo na wakubwa, na matajiri na maskini na wahuru na wafungwa,”<br />

wapokee chapa cha mnyama. Ufunuo 13:11-16. Amerika ni uwezo uliofananishwa na<br />

nyama yule wa pembe mbili mfano wa mwana-kondoo. Unabii huu utatimilika wakati<br />

Mwungano wa mataifa ya Amerika watakapoka<strong>za</strong> kushika siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche),<br />

ambayo Roma inadai kama hakikisho kwa mamlaka yake.<br />

240

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!