21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mwaka mmoja tu ulipita tangu Mtengene<strong>za</strong>ji alipoweka mabishano kwa mlango wa<br />

kanisa, lakini maandiko yake yaliamusha mahali pote usikizi mpya katika Maandiko<br />

matakatifu. Si kwa pande zote tu <strong>za</strong> Ujeremani, bali kwa inchi zingine, wanafunzi<br />

wakasongana kwa chuo kikuu. Vijana walipokuja mbele ya Wittenberg kwa mara ya<br />

kwan<strong>za</strong> “wakainua mikono yao mbinguni, na kusifu Mungu kwa kuwe<strong>za</strong> kuleta nuru ya<br />

ukweli kuanga<strong>za</strong> kutaka mji huu.”<br />

Luther alikuwa amegeuka nusu tu kwa makosa ya kanisa la Roma. Lakini aliandika,<br />

“Ninasoma amri <strong>za</strong> maaskofu, na ... sijui kama Papa ndiye anayekuwa mpin<strong>za</strong>ni wa Kristo<br />

yeye mwenyewe, ao mtume wake, <strong>za</strong>idi ya yote kristo ameelezwa vibaya kabisa na<br />

kusulubiwa ndani yao.”<br />

Roma ikazidi kukasirishwa na mashambulio ya Luther. Wapin<strong>za</strong>ni washupavu, hata<br />

waalimu (docteurs) katika vyuo vikuu vya Kikatoliki, wakatanga<strong>za</strong> kwamba yule angewe<strong>za</strong><br />

kumua mtawa yule angekuwa bila <strong>za</strong>mbi. Lakini Mungu alikuwa mlinzi wake. Mafundisho<br />

yake yakasikiwa po pote--“katika nyumba ndogo na nyumba <strong>za</strong> watawa (couvents), ...<br />

katika ngome <strong>za</strong> wenye cheo, katika vyuo vikubwa, katika majumba ya wafalme.”<br />

Kwa wakati huu Luther akaona ya kwamba ukweli mhimu juu ya kuhesabiwa haki kwa<br />

imani ilikuwa ikishikwa na Mtengene<strong>za</strong>ji, Huss, wa Bohemia. “Tumekuwa na vyote”<br />

akasema Luther, “Paul, Augustine, na mimi mwenyewe, Wafuasi wa Huss bila kujua!”<br />

“ukweli huu ulihubiriwa ... karne iliyopita na ikachomwa!”<br />

Luther akaandika basi mambo juu ya vyuo vikuu: “Ninaogopa sana kwamba vyuo vikuu<br />

vitaonekana kuwa milango mikubwa ya jehanumu, isipokuwa vikitumika kwa bidii kwa<br />

kuele<strong>za</strong> Maandiko matakatifu, na kuyaka<strong>za</strong> ndani ya mioyo ya vijana. ... Kila chuo ambamo<br />

watu hawashunguliki daima na Neno la Mungu kinapaswa kuharibika.”<br />

Mwito huu ukaenea po pote katika Ujermani. Taifa lote likashituka. Wapin<strong>za</strong>ni wa<br />

Luther wakamwomba Papa kuchukua mipango ya nguvu juu yake. Iliamriwa kwamba<br />

mafundisho yake yahukumiwe mara moja. Mtengene<strong>za</strong>ji na wafuasi wake, kama<br />

hawakutubu, wangepaswa wote kutengwa kwa Ushirika Mtakatifu.<br />

Shida ya Kutisha<br />

Hiyo ilikuwa shida ya kutisha sana kwa Matengenezo. Luther hakuwa kipofu kwa<br />

zoruba karibu kupasuka, lakini alitumaini Kristo kuwa egemeo lake na ngabo yake. “Kitu<br />

kinacho karibia kutokea sikijui, na sijali kujua. ... Hakuna hata sivile jani linawe<strong>za</strong>kuanguka,<br />

bila mapenzi ya Baba yetu. Kiasi gani <strong>za</strong>idi atatuchunga! Ni vyepesi kufa kwa ajili ya Neno,<br />

kwani Neno ambalo lilifanyika mwili lilikufa lenyewe.” Wakati barua ya Papa ilimufikia<br />

Luther, akasema: Ninai<strong>za</strong>rau, tena naishambulia, kwamba niya uovu, ya uongo.... Ni Kristo<br />

yeye mwenyewe anayelaumiwa ndani yake. Tayari ninasikia uhuru kubwa moyoni mwangu;<br />

kwani mwishowe ninajua ya kwamba Papa ni mpinga kristo na kiti chake cha ufalme ni kile<br />

cha Shetani mwenyewe.”<br />

55

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!