21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

yake ilikuwa kutafsiri kwa Maandiko katika lugha ya Kiingere<strong>za</strong>, ili kila mtu katika<br />

Uingere<strong>za</strong> aweze kusoma kazi <strong>za</strong> ajabu <strong>za</strong> Mungu.<br />

Anashambuliwa na Ugonjwa wa Hatari<br />

Lakini kwa gafula kazi <strong>za</strong>ke zikasimamishwa. Ingawa alikuwa hajaene<strong>za</strong> miaka makumi<br />

sita, taabu isiyokoma, kujifun<strong>za</strong>, na mashambulio ya maadui yalilege<strong>za</strong> nguvu <strong>za</strong>ke<br />

nakumfanya aonekane mzee upesi. Akashambuliwa na ugonjwa wa hatari. Watawa<br />

walifikiri kwamba atatubu kwa uovu alioufanya kwa kanisa, na wakaenda haraka kwa<br />

chumba chake ili wasikilize maungamo yake. “Unakuwa na kifo kwa midomo yako”,<br />

wakasema; “uguswe basi kwa makosa yako, na ukane mbele yetu mambo yote uliyosema<br />

kwa hasara yetu”.<br />

Mtengene<strong>za</strong>ji akasikili<strong>za</strong> kwa utulivu. Ndipo akamwambia mlinzi wake kumuinua katika<br />

kitanda chake. Katika kuwakazia macho kwa imara, akasema katika sauti hodari ya nguvu<br />

ambayo ilikuwa ikiwaletea kutetemeka mara kwa mara, “Sitakufa, bali nitaishi; na tena<br />

nitatanga<strong>za</strong> matendo maovu ya watawa”. Waliposhangazwa na kupata haya, watawa<br />

wakatoka chumbani kwa haraka.<br />

Wycliffe aliishi kwa kuweka katika mikono wana inchi wake silaha <strong>za</strong> nguvu sana kwa<br />

kupinganisha Roma-Biblia, mjumbe wa mbinguni waliyewekwa kwa kutoa utumwani,<br />

kuangazia na kuhubiri watu. Wycliffe alijua kwamba ni miaka michache tu ya kazi iliyobaki<br />

kwake; aliona upin<strong>za</strong>ni aliopashwa kukutana nao; lakini kwa kutiwa moyo na ahadi <strong>za</strong> Neno<br />

la Mungu, akaendelea. Katika nguvu zote <strong>za</strong>ke <strong>za</strong> akili, na tajiri kwa matendo, alitayarishwa<br />

na maongozi ya Mungu kwa jambo hili, kazi yake kubwa kuliko zote. Mtengene<strong>za</strong>ji katika<br />

nyumba yake ya ukasisi huko Lutterworth, ali<strong>za</strong>rau wimbi lililosirika, akajitia mwenyewe<br />

kwa kazi yake aliyoichagua.<br />

Mwishowe kazi ikatimilika-tafsiri ya kwan<strong>za</strong> ya Biblia kwa kingere<strong>za</strong>. Mtengene<strong>za</strong>ji<br />

akaweka katika mikono ya watu wa Kiingere<strong>za</strong> nuru ambayo haipashwi kuzimishwa<br />

kamwe. Alifanya mengi <strong>za</strong>idi kuvunja vifungo vya ujinga na kufungua na kuinua inchi yake<br />

kuliko ilivyo kwisha kufanyiwa na washindi kwa shamba <strong>za</strong> vita.<br />

Ni kwa kazi ya taabu tu nakala <strong>za</strong> Biblia ziliwe<strong>za</strong> kuzidishwa. Mapezi yalikuwa<br />

makubwa sana kupata kitabu kile, kwa sababu ilikuwa vigumu kwa wenye kufanya nakala<br />

kuwe<strong>za</strong> kumali<strong>za</strong> maombi ya watu. Wanunuzi watajiri walitamani Biblia nzima. Wengine<br />

wakanunua tu kipande. Katika hali nyingi, jamaa zilijiunga kununua nakala moja. Biblia ya<br />

Wycliffe kwa upesi ikapata njia yake nyumbani mwa watu.<br />

Wycliffe sasa akafundisha mafundisho ya kipekee ya Kiprotestanti-wokovu kwa njia ya<br />

imani katika Kristo na haki moja tu ya Maandiko. Imani mpya ikakubaliwa karibu nusu ya<br />

Wangere<strong>za</strong>. Tokeo la Maandiko likaleta hofu kwa watawala wa kanisa. Wakati ule<br />

hapakuwa na sheria katika inchi ya Uingere<strong>za</strong> ya kukata<strong>za</strong> Biblia, kwa sababu ilikuwa<br />

33

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!