21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Maumivu hayawezi kuwako mbinguni. Hakutakuwa na machozi tena, Hakutakuwa tena<br />

mafuatano ya maziko. “Wala mauti haitakuwa tena; wala maombolezo, wala kilio: ... kwa<br />

maana maneno ya kwan<strong>za</strong> yamekwisha kupita”. “Wala hapana mwenyeji atakayesema,<br />

mimi ni mgonjwa; watu wanaokaa ndani yake watasamehewa uovu wao”. Ufunuo 21:4;<br />

Isaya 33:24.<br />

Huko ni Yerusalema Mpya, muji mkubwa wa inchi mpya yenye utukufu. “Mwanga<strong>za</strong><br />

wake ulikuwa mfano wa jiwe la bei kubwa, kama jiwe la yaspi, safi kama bilauri”. “Na<br />

mataifa ya waliookolewa watatembea katika nuru yake. Na wafalme wa dunia wataleta<br />

utukufu na heshima yao ndani yake”. “Ta<strong>za</strong>ma hema ya Mungu ni pamoja na watu, naye<br />

atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake, na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao,<br />

na atakuwa Mungu wao”. Ufunuo 21:11,24,3.<br />

Ndani ya Muji wa Mungu “wala hautakuwa usiku tena”. Ufunuo 22:5. Hautakuwa<br />

kuchoka tena. Tutaona ubaridi daima wa asubui bila mwisho wake. Nuru ya jua itatanguliwa<br />

na mwanga<strong>za</strong> wa ajabu ambao si wa kuumi<strong>za</strong>, lakini ambao unapita mbali sana mwanga<strong>za</strong><br />

wa wakati wa saa sita yetu. Waliookolewa watatembea katika utukufu wa siku zote.<br />

“Nami sikuona hekalu ndani yake, kwa maana Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-<br />

Kondoo ndio hekalu lake”. Ufunuo 21:22. Watu wa Mungu wanakuwa na ruhusa ya<br />

kuendelea kuwa na umoja wazi na Baba na Mwana. Sasa tunaangalia mufano wa Mungu<br />

kama katika kioo, lakini ndipo tutamwona uso kwa uso, pasipo pazia ya gi<strong>za</strong> katikati.<br />

Ushindi wa Upendo wa Mungu<br />

Huko upendo na huruma ambavyo Mungu mwenyewe alivyopanda katika roho yatapata<br />

mazoezi ya kweli na mazuri kabisa. Umoja ulio safi pamoja na viumbe vitakatifu na<br />

waaminifu wa vi<strong>za</strong>zi vyote, vifungo takatifu vinavyofunga pamoja “jamaa lote mbinguni na<br />

duniani”--hivi vinasaidia kuanzisha furaha ya waliokombolewa. Waefeso 3:15.<br />

Huko, akili ya kuishi milele zitata<strong>za</strong>ma sana na furaha ya milele maajabu ya uwezo wa<br />

uumbaji, siri <strong>za</strong> upendo wa ukombozi. Kila akili itakuzwa, kila uwezo wa kufahamu<br />

utaongezwa. Upataji wa maarifa hautaondoa utendaji. Mambo makubwa sana yataendeshwa<br />

mbele, tamaa <strong>za</strong> juu sana zitafikiwa, tamaa <strong>za</strong> nguvu zitatimilika. Na tena hapo kutatokea<br />

vimo vipya vya kushinda, maajabu mapya ya kushangaa, kweli mpya ya kufahamu,<br />

makusudi mapya ya kuita nguvu <strong>za</strong> akili na roho na mwili.<br />

Mali yote ya ulimwengu itafunguliwa kwa waliokombolewa wa Mungu.<br />

Wanapofunguliwa kwa mauti, wataruka bila kuchoka kwa dunia <strong>za</strong> mbali. Watoto wa dunia<br />

wataingia katika furaha na hekima ya viumbe vile havikuanguka na kugawanya hazina <strong>za</strong><br />

maarifa yaliyopatikana kupitia vi<strong>za</strong>zi kwa vi<strong>za</strong>zi. Pamoja na ndoto isiyo na gi<strong>za</strong> watata<strong>za</strong>ma<br />

kwa utukufu wa uumbaji--jua na nyota na mambo yote, yote katika utaratibu wao<br />

ulioagizwa kuzunguka kiti cha enzi cha Mungu.<br />

283

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!