21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 23. Siri ya Wazi ya Pahali Patakatifu<br />

Maandiko ambayo ni ya juu ya mengine yalikuwa vyote viwili, msingi na nguzo ya<br />

katikati ya imani ya kuja kwa Yesu ilikuwa tangazo, “Hata mangaribi na asubui ya siku elfu<br />

mbili mia tatu; halafu Pahali patakatifu patatakaswa.” Danieli 8:14. Haya yalikuwa maneno<br />

ya mazoezi kwa waamini wote juu ya kuja upesi kwa Bwana. Lakini Bwana hakutokea.<br />

Waamini walijua kwamba Neno la Mungu halitawe<strong>za</strong> kushindwa; maelezo yao ya unabii<br />

yalikuwa na kosa. Lakini kosa lilikuwa wapi?<br />

Mungu aliongo<strong>za</strong> watu wake katika mwendo mkubwa wa kuja kwa Yesu. Hangeuruhusu<br />

mwisho wake uwe wa gi<strong>za</strong> na uchungu, kulaumiwa kama wa uwongo na wa ushupavu.<br />

Ijapo wengi wakaacha kuhesabia nyakati <strong>za</strong>o <strong>za</strong> unabii na wakakana msingi ulioimarishwa<br />

mwendo, wengine hawakutaka kukataa mambo ya imani na maisha yaliyokubaliwa na<br />

Maandiko na Roho wa Mungu. Ilikuwa wajibu wao kushikilia kwa nguvu ukweli<br />

waliyokwisha kupata. Kwa maombi ya juhudi wakajifun<strong>za</strong> Maandiko kwa kuvumbua kosa<br />

lao. Kwa namna hawakuwe<strong>za</strong> kuona kosa kwa hesabu <strong>za</strong>o <strong>za</strong> nyakati <strong>za</strong> unabii,<br />

wakachungu<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi sana fundisho la Pahali patakatifu.<br />

Wakajifun<strong>za</strong> kwamba hakuna ushahidi wa Maandiko unaokubali maoni ya watu wengi<br />

kwamba dunia ni Pahali patakatifu; lakini wakapata maelezo kamili ya Pahali patakatifu;<br />

asili yake, pahali, na matumizi:<br />

“Basi hata agano la kwan<strong>za</strong> lilikuwa na amri ya kuabudu Mungu, na Pahali patakatifu<br />

pake pa dunia. Maana hema ilitengenezwa ile ya kwan<strong>za</strong> iliyokuwa na taa, na me<strong>za</strong> na<br />

mikate ya onyesho kwa Mungu, palipoitwa Pahali patakatifu. Na nyuma ya pazia la pili,<br />

ilikuwa hema iliyoitwa Pahali patakatifu pa patakatifu, yenye kifukizo cha <strong>za</strong>habu na<br />

sanduku ya agano iliyofunikwa na <strong>za</strong>habu pande zote, na ndani yake kulikuwa kopo la<br />

<strong>za</strong>bahu yenye mana, na fimbo ya Haruni iliyochipuka, na vibao vya agano; na juu yake<br />

makerubi ya <strong>za</strong>habu, yakitia kivuli juu ya kiti cha rehema:” Waebrania 9:1-5.<br />

“Pahali patakatifu” ilikuwa ni hema iliyojengwa na Musa kwa agizo la Mungu kama<br />

pahali pa kukaa pa kidunia pa Mwenyezi Mungu. “Na wanifanyie Pahali patakatifu; nipate<br />

kukaa katikati yao” (Kutoka 25:8), ilikuwa ni agizo lililotolewa kwa Musa. Hema wala<br />

maskani ilikuwa ni umbo kubwa la fahari. Zaidi ya uwanja wa inje, hema yenyewe ilikuwa<br />

na vyumba viwili vilivyoitwa Pahali patakatifu na Pahali patakatifu pa patakatifu,<br />

vilivyogawanywa na pazia nzuri sana, Kifuniko cha namna moja kilifunga mlango kwa<br />

chumba cha kwan<strong>za</strong>.<br />

Pahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu<br />

Katika Pahali patakatifu kulikuwa na kinara upande wa kusini pamoja na taa <strong>za</strong>ke saba<br />

kutoa nuru mchana na usiku; upande wa kaskazini kulikuwa na me<strong>za</strong> ya mikate ya onyesho.<br />

Mbele ya pazia inayotenga Pahali patakatifu na patakatifu pa patakatifu kulikuwa na<br />

171

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!