21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

vinavyoonekana katika watoto wa umri ule. Wakati waliposimama mbele ya watu, lakini,<br />

walibadilishwa na mvuto mbali ya <strong>za</strong>wadi <strong>za</strong>o <strong>za</strong> kawaida. Sauti na tabia vikageuka, na<br />

pamoja na uwezo mkubwa wakatoa maonyo ya hukumu, “Ogopeni Mungu, na kumutuku<strong>za</strong><br />

kwa maana saa ya hukumu yake imekuja.”<br />

Watu wakasikili<strong>za</strong> kwa kutetemeka. Roho wa Mungu akasema mioyoni. Wengi<br />

wakaongozwa kwa kutafuta Maandiko, wasiokuwa na kiasi wakatengenezwa, na kazi<br />

ikafanywa kwa kuonyesha kwamba hata wachungaji wa kanisa la pale walilazimishwa<br />

kukubali kwamba mkono wa Mungu ulikuwa katika mabadiliko.<br />

Ilikuwa mapenzi ya Mungu kwamba habari ya kuja kwa Mwokozi ilipashwa kutolewa<br />

katika Skandinavie, na akaweka Roho yake juu ya watoto ili kazi iweze kutendeka. Wakati<br />

Yesu alipokaribia Yerusalema, watu, wakaogopeshwa na mapadri na watawala, wakaacha<br />

tangazo lao la furaha walipokuwa wakiingia kwa milango ya Yerusalema. Lakini watoto<br />

katika viwanja vya hekalu wakachukua kiitikio, na wakapaa<strong>za</strong> sauti, “Hosana kwa Mwana<br />

wa Daudi!” Matayo 21:8-16. Kwa namna Mungu alitenda kazi kwa njia ya watoto kwa<br />

wakati wa kuja kwa mara ya kwan<strong>za</strong> kwa Kristo, ndivyo hivyo akatumika kwa njia yao<br />

katika kutoa ujumbe wa kuja kwake kwa mara ya pili.<br />

Ujumbe Unatawanyika<br />

Amerika ikawa mahali pakubwa pa kazi ya kutanga<strong>za</strong> kurudi kwa Yesu. Maandiko ya<br />

Miller na ya washiriki wake yakaenezwa duniani pote. Mbali na katika eneo kubwa habari<br />

njema ya milele: “Ogopeni Mungu, na kumutuku<strong>za</strong> kwa maana hukumu yake imekuja.”<br />

Mambo ya unabii ambayo ilionekana kuonyesha kuja kwa Kristo katika majira ya 1844<br />

yakashikwa sana rohoni mwa watu. Wengi wakasadikishwa kwamba mabishano juu ya<br />

nyakati <strong>za</strong> unabii yalikuwa ya haki, na wakaacha kiburi na mafikara yao, wakakubali kweli<br />

kwa furaha. Wachungaji wengine wakaacha mishahara yao na wakajiunga katika kutanga<strong>za</strong><br />

kuja kwa Yesu. Karibu wachungaji wachache, walakini, walikubali habari hii; kwa hivyo<br />

ikatolewa <strong>za</strong>idi kwa watu wanyenyekevu wasiokuwa mapadri. Wakulima wakaacha<br />

mashamba yao; wafundi wa mashini, wakaacha vyombo vyao; wachuuzi wakaacha biashara<br />

yao; wafundi wa kazi wakaacha vyeo vyao. Kwa mapenzi wakavumilia kazi ngumu, taabu,<br />

na mateso, ili wapate kuita watu kwa toba kwa wokovu. <strong>Ukweli</strong> wa kurudi kwa Yesu<br />

ukakubaliwa na maelfu ya watu.<br />

Maandiko Rahisi Yanaleta Hakikisho<br />

Kama Yoane Mbati<strong>za</strong>ji wahubiri waliweka shoka katika shina la miti na kusihi sana<br />

wote ku<strong>za</strong>a “matunda yanayofaa kwa toba.” Kwa kuonyesha tofauti kwa uhakikika wa<br />

amani na salama vilivyosikiwa kwa mimbara ya watu wengi, ushuhuda rahisi wa Maandiko<br />

ukaleta hakikisho ambalo wachache waliwe<strong>za</strong> kabisa kabisa kupinga. Wengi wakamtafuta<br />

Bwana kwa toba. Kwa kuacha mapenzi ambayo walishikamana nayo wakati mrefu ya<br />

mambo ya kidunia sasa wakata<strong>za</strong>ma mbinguni. Kwa mioyo ya upole na polepole<br />

152

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!