21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

karibu, hata kwa milango.” Matayo 24:33. Wengi walioshuhudia kuanguka kwa nyota<br />

walikuta<strong>za</strong>ma kama mjumbe wa hukumu ijayo.<br />

Katika mwaka 1840 utimilizo kubwa mwingine wa unabii ukaamsha usikizi wa mahali<br />

pengi. Miaka miwili mbele, Josiah Litch akatanga<strong>za</strong> habari ya Ufunuo 9, kutabiri kuanguka<br />

kwa Ufalme wa Ottoman “Katika A.D. 1840, siku moja katika mwezi wa Agosti.” Siku<br />

chache tu mbele ya kutimilika kwake akaandika: “Itamalizika kwa tarehe 11 ya Agosti,<br />

1840, wakati mamlaka ya Ottoman katika Constantinople kuwe<strong>za</strong> kuta<strong>za</strong>miwa kuvunjika.”<br />

Maonyo Yalitimilika<br />

Kwa wakati kabisa uliotajwa, Turkey ilikubali ulinzi wa mamlaka <strong>za</strong> mapatano ya Ulaya<br />

na kwa hivyo ikajitia yenyewe chini ya utawala wa mataifa ya Kikristo. Jambo kwa halisi<br />

kweli likatimili<strong>za</strong> ukashiri. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.) Watu wengi walisadikishwa na kanuni <strong>za</strong><br />

maelezo ya unabii yaliyokubaliwa na Miller na wafuasi wake. Watu wenye elimu na cheo<br />

wakajiunga pamoja na Miller katika kuhubiri na kutanga<strong>za</strong> maonyo yake. Tangu 1840 hata<br />

1844 kazi ikaenea kwa upesi.<br />

William Miller alikuwa na akili <strong>za</strong> kichwa cha nguvu, na akaonge<strong>za</strong> kwa haya hekima ya<br />

mbinguni kwa kujiunga mwenyewe na Chemchemi ya hekima. Aliamuru heshima po pote,<br />

ukamilifu na tabia njema vilitumiwa. Kwa damani unyenyekevu wa Kikristo, alikuwa<br />

muangalifu na mpole kwa wote, tayari kusikili<strong>za</strong> wengine na kupima mabishano yao.<br />

Alijaribu maelezo yote kwa Neno la Mungu, na mawazo yake halisi na maarifa ya<br />

Maandiko vikamwezesha kukanusha makosa.<br />

Lakini, kama pamoja na Watengene<strong>za</strong>ji wa kwan<strong>za</strong>, kweli alizoonyesha hazikukubaliwa<br />

na walimu wengi wa dini. Kwa hivyo hawa hawakuwe<strong>za</strong> kudumisha hali yao kwa<br />

Maandiko, wakarejea kwa mafundisho ya watu, haya kiasili cha Wababa. Lakini Neno la<br />

Mungu lilikuwa ni ushuhuda pekee uliokubaliwa na wahubiri wa kweli wa kuja kwa Yesu.<br />

Cheko na <strong>za</strong>rau vilitumiwa kwa upande wa adui katika kusingizia wale waliota<strong>za</strong>mia kwa<br />

furaha juu ya kurudi kwa Bwana wao na walikuwa wakijitahidi kuishi maisha takatifu na<br />

kutayarisha wengine kwa kuonekana kwake. Ilifanyika kuonyesha <strong>za</strong>mbi kwa kujifun<strong>za</strong><br />

mambo ya unabii wa kuja kwa Kristo na mwisho wa dunia. Kwa hivyo kazi ya mapadri wa<br />

watu wengi ikapungu<strong>za</strong> imani katika Neno la Mungu. Mafundisho yao yakafanya watu<br />

kuwa watu kutokuwa Waaminifu, na wengi wakajiruhusu kwa kutembea kwa tamaa mbaya.<br />

Halafu watenda maovu wakayaweka yote juu ya Waadventisti.<br />

Ingawa Miller akavuta makundi ya wasikilizi wenye akili, jina lake lilitajwa kwa shida<br />

na magazeti ya dini isipokuwa tu kwa cheko ao mashitaki. Waovu, waliposukumwa na<br />

walimu wa dini, wakakimbilia kwa mabisho ya matukano juu yake na kazi yake. Mzee huyu<br />

mwenye imvi aliyeacha makao yake ya kupende<strong>za</strong> kwa kusafiri kwa garama yake<br />

mwenyewe kuletea dunia onyo kubwa la hukumu inayokaribia akasitakiwa kama<br />

upumbavu.<br />

139

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!