21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 24. Kristo Anafanya Kazi Gani Sasa?<br />

Fundisho la Pahali patakatifu likafungua siri ya uchungu. Likafungua kwa maoni kanuni<br />

kamili ya ukweli, yenye uhusiano na ya kulingana, kuonyesha mkono wa Mungu ulioongo<strong>za</strong><br />

kazi kubwa juu ya kuja kwa Yesu. Wale waliota<strong>za</strong>mia kwa imani kuja kwake mara ya pili<br />

wakamta<strong>za</strong>mia kutokea katika utukufu, lakini kwa namna matumaini yao hayakufanyikiwa,<br />

wakapote<strong>za</strong> akili juu ya Yesu. Sasa ndani ya patakatifu pa patakatifu wakata<strong>za</strong>ma tena<br />

Kuhani wao mkubwa, kutokea upesi kama mfalme na mkombozi. Nuru kutoka kwa Pahali<br />

patakatifu ikaangazia wakati uliopita, wakati wa sasa, na wakati ujao. Ingawa walishindwa<br />

kufahamu ujumbe waliopata, kwani ulikuwa wa kweli.<br />

Kosa halikuwa katika kutambua kwa nyakati <strong>za</strong> unabii, lakini katika tukio kufanyika<br />

kwa mwisho wa siku 2300. Kwani yote yaliyotabiriwa na unabii yalitimilika. Kristo alikuja,<br />

si duniani, bali katika Pahali patakatifu pa patakatifu pa hekalu katika mbingu; “Nikaona<br />

katika maono ya usiku, na ta<strong>za</strong>ma, pamoja na mawingu ya mbingu alikuwa mmoja aliye<br />

mfano wa mwana wa watu, akakaribia huyu Mzee wa Siku, wakamuleta karibu naye.”<br />

Danieli 7:13.<br />

Kuja huku kulitabiriwa pia na Malaika: “Na Bwana munayemutafuta atakuja gafula<br />

hekaluni mwake; na mujumbe wa agano munayemupenda, ta<strong>za</strong>meni, atakuja, Bwana wa<br />

majeshi anasema.” Malaki 3:1. Kuja kwa Bwana katika hekalu yake kulikuwa kwa gafula,<br />

hakuku<strong>za</strong>niwa kwa watu wake. Hawakuwa wakimta<strong>za</strong>mia pale.<br />

Watu hawakuwa bado tayari kukutana na Bwana wao. Pale kulikuwa kungali kazi ya<br />

matayarisho itimizwe kwa ajili yao. Kwa namna walipashwa kufuata kwa imani Kuhani<br />

wao mkubwa katika huduma yake, kazi mpya zingewe<strong>za</strong> kufunuliwa. Ujumbe mwengine<br />

ulipashwa kutolewa kwa kanisa.<br />

Nani Atakayesimama?<br />

Nabii akasema: “Nani atakayevumilia siku ya kuja kwake? na nani atakayesimama<br />

wakati atakapoonekana? ... Naye atakaa kama mwenye kusafisha na kutakasa fe<strong>za</strong>, naye<br />

atatakasa wana wa Lawi, na atawasafisha kama <strong>za</strong>habu na fe<strong>za</strong>, nao watatoa kwa Bwana<br />

sadaka kwa haki.” Malaki 3:2,3. Wale wanaokaa duniani wakati teteo ya Kristo<br />

yatakapoisha wanapashwa kusimama mbele ya Mungu bila muombezi. Mavazi yao<br />

yanapashwa kuwa safi bila doa, tabia <strong>za</strong>o zenye kutakaswa kutoka <strong>za</strong>mbini kwa damu ya<br />

manyunyu. Kwa njia ya neema ya Mungu na juhudi yao wenyewe ya utendaji wanapashwa<br />

kuwa washindaji katika vita na yule muovu. Wakati hukumu ya ukaguzi inapoendelea<br />

mbele kule mbinguni, wakati <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> waamini waliotubu zinapoondolewa kutoka kwa<br />

Pahali patakatifu, hapo panapashwa kuwa na kazi ya kipekee ya kuacha <strong>za</strong>mbi miongoni<br />

mwa watu wa Mungu duniani. Kazi hii inaonyeshwa katika ujumbe wa Ufunuo 14. Wakati<br />

kazi hii itakapotimizwa, wafuasi wa Kristo watakuwa tayari kwa kutokea kwake. Ndipo<br />

178

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!