21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kristo anapohudumia kwa ajili yetu mbele ya kiti cha ezi cha Mungu. <strong>Ukweli</strong> wa maana juu<br />

ya hema ya mbinguni na ukombozi wa mwanadamu yalifundishwa na Pahali patakatifu pa<br />

kidunia na huduma <strong>za</strong>ke.<br />

Vyumba Viwili<br />

Nafasi takatifu <strong>za</strong> mahali patakatifu mbinguni zinafananishwa na vyumba viwili katika<br />

Pahali patakatifu duniani. Yohana alijaliwa na maono ya hekalu ya Mungu mbinguni.<br />

Alita<strong>za</strong>ma kule “taa saba <strong>za</strong> moto ziliwaka mbele ya kiti cha enzi.” Aliona malaika<br />

“mwenye chungu cha <strong>za</strong>habu ya uvumba; akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na<br />

maombi ya watakatifu wote juu ya ma<strong>za</strong>bahu ya <strong>za</strong>habu iliyo mbele ya kiti cha enzi.”<br />

Ufunuo 4:5; 8:3. Hapa nabii akaona chumba cha kwan<strong>za</strong> cha Pahali patakatifu pa mbinguni;<br />

na aliona “taa saba <strong>za</strong> moto” na “ma<strong>za</strong>bahu ya <strong>za</strong>habu”, iliyofananishwa kwa kinara cha<br />

<strong>za</strong>habu na ma<strong>za</strong>bahu ya uvumba katika Pahali patakatifu pa dunia.<br />

Tena ‘’hekalu la Mungu likafunguliwa”, na akata<strong>za</strong>ma ndani ya pazia juu ya patakatifu<br />

pa patakatifu. Na akaona “sanduku ya agano lake” la kufananishwa na sanduku lililojengwa<br />

na Musa kwa kuweka ndani amri ya Mungu. Ufunuo 11:19.<br />

Hivyo, wale wanaojifun<strong>za</strong> fundisho hili wakaone bila shaka kwamba hakika mbinguni<br />

kunakuwa hema. Musa alijenga hema ya kidunia akifuata mfano alioonyeshwa. Paulo<br />

anafundisha kuwa mfano ule ulikuwa hema ya kweli ambao unakuwa mbinguni. Na Yoane<br />

anashuhudia kwamba aliiona mbinguni.<br />

Ndani ya hekalu mbinguni, Pahali patakatifu pa patakatifu kunakuwa amri ya Mungu.<br />

Sanduku inayowekwa amri inafunikwa na kiti cha rehema, ambapo mbele yake Yesu<br />

anatetea mwenye <strong>za</strong>mbi kwa ajili ya damu yake. Hapa ndipo kunafananishwa muungano wa<br />

haki na rehema katika mpango wa wokovu, muungano ambao unashanga<strong>za</strong> mbingu yote<br />

mzima. Hii ndiyo siri rehema ambamo malaika wanatamani kuta<strong>za</strong>ma vile Mungu anawe<strong>za</strong><br />

kuwa mwenye haki wakati anahesabia haki mwenye <strong>za</strong>mbi anayetubu.<br />

Kazi ya Kristo kama mutetezi wa binadamu, inafananishwa katika Zakaria: “Atajenga<br />

hekalu la Bwana; na atachukua utukufu, na atakaa na kutawala juu ya kiti chake cha enzi;<br />

naye atakuwa kuhani kwa enzi yake, na mshauri wa amani atakuwa katikati yao wawili”.<br />

Zacharia 6:12,13.<br />

“Atajenga hekalu la Bwana”. Kwa <strong>za</strong>bihu yake na upatanisho, kristo ni msingi na<br />

mjengaji wa kanisa la Mungu, “jiwe kubwa la pembeni. Katika yeye jengo lote<br />

linaunganishwa vema na kukaa hata liwe hekalu takatifu katika Bwana”. Waefeso 2:20,21.<br />

“Atachukua utukufu”. Wimbo wa wale watakaonunuliwa utakuwa: “kwake yeye<br />

aliyetupenda na kutuosha <strong>za</strong>mbi zetu kwa damu yake,...kwa yeye utukufu na uwezo hata<br />

milele na milele”. Ufunuo 1:5,6.<br />

173

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!