21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kujishusha, wakachungu<strong>za</strong> kwa uaminifu kila mpango waliochukua ambao ungewe<strong>za</strong> kuwa<br />

wa kusaidia kwa kupata utakatifu ule ambao uliwe<strong>za</strong> kutun<strong>za</strong> wema wa Mungu. Lakini<br />

juhudi <strong>za</strong>o wenyewe hazikuwe<strong>za</strong> kuwapa uhuru kutoka kwa hukumu ya <strong>za</strong>mbi ao kuvunja<br />

uwezo wake.<br />

Mioto ya ukweli wa Mungu, ambayo ilikuwa karibu kuzimika juu ya ma<strong>za</strong>bahu ya dini<br />

ya Kiprotestanti, ilipashwa kuwashwa kutoka kwa mwenge wa <strong>za</strong>mani uliotolewa na<br />

Wakristo wa Bohemia. Wengine miongoni mwao, wakapata kimbilio katika Saxe (Saxony),<br />

wakalinda imani ya <strong>za</strong>mani. Kutoka kwa Wakristo hawa nuru ikaja kwa Wesley.<br />

Yohana na Charles wakatumwa kwa ujumbe kuenda Amerika. Katika meli kulikuwa na<br />

kundi la waMoravians. Wakakutana na zoruba kali sana, na Yohana, akawa uso kwa uso na<br />

kifo, akajisikia kwamba hakuwa na hakikisho la amani na Mungu. Lakini Wajeremani<br />

wakaonyesha utulivu na kutumaini kwamba alikuwa mgeni. “Tangu <strong>za</strong>mani,” akasema,<br />

“nilichungu<strong>za</strong> umuhimu mkuu wa mwenendo (tabia) wao. ... Wakawa sasa na bahati ya<br />

kujaribu kwamba walikuwa huru bila mafikara ya woga pia na ile ya kutokuwa na kiburi,<br />

hasira na kulipisha kisasi. Katikati ya <strong>za</strong>buri kwa kazi yao ilian<strong>za</strong>, bahari ikapasuka, na<br />

kupasua tanga kubwa kwa vipande vipande, ikafunika merikebu, na kumwanga kati kati ya<br />

sakafu kana kwamba kilindi kikuu kimekwisha kutume<strong>za</strong>. Kilio cha nguvu kikaan<strong>za</strong><br />

miongoni mwa Waingere<strong>za</strong>. Wajeremani kwa utulivu wakaendelea kuimba. Nikauli<strong>za</strong><br />

mmojawapo wao baadaye,`Hamkuwa na hofu? ‘ Akajibu Namshukuru Mungu, hapana.’<br />

Nikauli<strong>za</strong>, `Lakini wake wenu na watoto hawakuwa na hofu?’ Akajibu kwa upole, `Sivyo;<br />

wake wetu na watoto hawaogopi kufa.’”<br />

Moyo wa Wesley “Kwa Jinsi Isiyo ya Kawaida Watiwa Joto”<br />

Kwa kurudi kwake Uingere<strong>za</strong>, Wesley akafikia kwa kufahamu wazi wazi imani ya<br />

Biblia chini ya mafundisho ya mtu wa Moravia. Kwa mkutano wa chama cha Wamoravian<br />

katika Londoni maneno yakasomwa kutoka kwa Luther. Namna Wesley alipokuwa<br />

akisikili<strong>za</strong>, imani ikawashwa ndani ya roho yake. “Nilisikia moyo wangu kutiwa joto<br />

ngeni,” akasema. “Nilisikia kwamba nilimtumaini Kristo, Kristo pekee, kwa ajili ya<br />

wokovu: na tumaini likatolewa kwangu, kwamba aliondoa mbali <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ngu, hata <strong>za</strong>ngu,<br />

na aliniokoa kutoka kwa sheria ya <strong>za</strong>mbi na mauti.’‘<br />

Sasa aliona kwamba neema aliyojitahidi kupata kwa njia ya maombi na kufunga na<br />

kujinyima ilikuwa <strong>za</strong>wadi, “bila mali na bila bei.” Roho yake yote ikawaka na mapenzi ya<br />

kutanga<strong>za</strong> po pote injili utukufu ya neema huru ya Mungu. “Nikata<strong>za</strong>ma juu ya ulimwengu<br />

wote kama mtaa wangu,” akasema; “po pote ninapokuwa, nina<strong>za</strong>nia kwamba, nina haki, na<br />

wajibu wangu wa lazima, kutanga<strong>za</strong> kwa wote wale wanaotamani kusikia, habari <strong>za</strong> furaha<br />

<strong>za</strong> wokovu.”<br />

Akaendelea na maisha yake halisi na ya kujinyima, si sasa kama msingi, bali matokeo ya<br />

imani; si shina, bali tunda la utakatifu. Neema ya Mungu katika Kristo itaonekana katika<br />

103

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!