21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wolff aliamini kuja kwa Bwana kuwa karibu. Maelezo yake ya nyakati <strong>za</strong> unabii<br />

yakamfanya ku<strong>za</strong>nia kurudi huko kama tarehe iliyoonyeshwa na Miller. “Je, Bwana wetu ...<br />

hakututolea ishara <strong>za</strong> wakati, kusudi tupate kujua hata, kukaribia kwa kuja kwake, jinsi<br />

mmoja anavyojua kukaribia kwa wakati wa jua kali kwa mtini na kutoa majani yake?<br />

Inatosha ... itajulikana kwa ishara <strong>za</strong> wakati, kwa kutushawishi kujitayarisha kwa ajili ya<br />

kuja kwake, kama vile Noa alivyotayarisha safina.”<br />

Kupinga Maelezo ya Watu Wengi<br />

Kufuatana na namna watu wotewalivyo tafsiri ao kutambua Maandiko, Wolff akaandika:<br />

“Sehemu kubwa sana ya kanisa la Kikristo imepotoka kutoka kwa maana kamili ya<br />

Maandiko, na ... wanapofikiri kwamba wakati wanaposoma habari ya Wayahudi,<br />

wanapaswa kufahamu Mataifa,na wanaposoma Yerusalema, wanapaswa kufahamu kanisa;<br />

na kama inasemwa dunia, maana yake ni mbingu; na kwa kurudi kwa Bwana wanapaswa<br />

kufahamu maendeleo ya vyama vya wajumbe: na kupanda juu ya mlima wa nyumba ya<br />

Bwana, maana yake ni mkutano wa kundi kubwa la wamethodistes.”<br />

Tangu miaka 1821 hata 1845, Wolff akasafiri katika Misri, Abisinia, Palestina, Syria,<br />

Persia, Bokhara, India, na Amerika.<br />

Uwezo katika Kitabu<br />

Dr. Wolff alisafiri katika inchi zilizokuwa <strong>za</strong> kishenzi kabisa bila ulinzi, kwa kuvumilia<br />

taabu na kuzunguukwa na hatari nyingi. Akateswa bila chakula, na baridi, kuuzwa kama<br />

mtumwa, mara tatu akakatiwa hukumu ya kifo, akaviziwa na wezi, na mara zingine karibu<br />

kufa kwa kiu cha maji. Mara moja akanyanganywa vyote na akaachwa na kusafiri mwendo<br />

wa mamia yakilometres kwa miguu katika milima, teluji zikipiga katika uso wake na<br />

nyanyo zisizo naviatu zikagandamizwa na udongo wa baridi sana.<br />

Walipomshauria kwamba si vema kusafiri bila silaha katika makabila yenye ukaidi na<br />

uadui, akasema mwenyewe “kuwa na silaha “maombi, bidii kwa ajili ya Kristo, na tumaini<br />

katika usaada wake.” “Nimejazwa vilevile na upendo wa Mungu na jirani wangu katika<br />

moyo wangu, na Biblia inakuwa mikononi mwangu.” “Nilisikia nguvu <strong>za</strong>ngu kuwa ndani ya<br />

Kitabu hiki, na kwamba uwezo wake utanilinda.”<br />

Akavumilia mpaka wakati ujumbe ungewe<strong>za</strong> kupelekwa katika sehemu kubwa ya<br />

ulimwengu inayo katiwa na watu. Miongoni mwa Wayahudi, Turks, Parsis, Wahindi, na<br />

mataifa na makabila akagawanya Neno la Mungu katika lugha mbalimbali, na mahali po<br />

pote akatanga<strong>za</strong> kukaribia kwa kuja kwa Masiya. Katika safari yake huko Boukhari<br />

akakutana mafundisho ya kurudi kwa Bwana yakifundishwa na watu waliokaa peke yao.<br />

Waarabu wa Yemen, akasema, wanakuwa na kitabu kinachoitwa Seera, ambacho kina<br />

tangazo la kuja kwa Kristo mara ya pili na ufalme wake wa utukufu; na wanata<strong>za</strong>mia<br />

mambo makuu kutendeka katika mwaka 1840.” “Nikakuta wana wa Israeli, wa kabila la<br />

149

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!