21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

zetu, kuna wengi wanaoshikilia desturi <strong>za</strong> asili <strong>za</strong> mababa <strong>za</strong>o. Wakati Bwana anapotuma<br />

nuru mpya wanakataa kuipokea kwa sababu haikupokelewa na wababa wao.<br />

Hatutakubaliwa na Mungu tunapota<strong>za</strong>ma kwa wababa wetu kwa kuamua wajibu wetu pahali<br />

pa kutafuta Neno la Kweli kwa ajili yetu wenyewe. Tutaulizwa juu ya nuru mpya<br />

inayoanga<strong>za</strong> sasa juu yetu kutoka kwa Neno la Mungu.<br />

Uwezo wa Mungu ulisema kupitia Luther kwa mfalme na watawala wa Ujeremani. Roho<br />

yake iliwasihi kwa mara ya mwisho kwa wengi katika mkutano ule. Kama Pilato, karne<br />

nyingi mbele yao, kama vile Charles V, katika kujitoa kwa jeuri ya ulimwengu, akaamua<br />

kukana nuru ya ukweli.<br />

Mashauri juu ya Luther yakaenea pote, yakaleta wasiwasi katika mji wote. Rafiki wengi,<br />

walipojua ukali wa hila ya Roma, wakakusudia kwamba Mtengene<strong>za</strong>ji hakupaswa kutolewa<br />

kafara. Mamia ya wenye cheo wakaahidi kumlinda. Kwa milango ya nyumba na katika<br />

pahali pa watu wote matangazo ya kubandikwa ukutani yakawekwa, mengine yalikuwa<br />

yakuhukumu na mengine ya kumkubali Luther. Kwa tangazo moja kukaandikwa maneno ya<br />

maana, “Ole wako, Ee inchi, wakati mfalme wako ni mtoto.” Muhubiri 10:16. Furaha nyingi<br />

kwa ajili ya Luther ikasadikisha mfalme na bara<strong>za</strong> kwamba kila jambo lisilo la haki<br />

lililoonyeshwa kwake lingehatarisha amani ya ufalme na nguvu ya kiti cha mfalme.<br />

Juhudi kwa Ajili ya Masikili<strong>za</strong>no na Roma<br />

Frederic wa Saxony akaficha kwa uangalifu mawazo yake ya kweli kwa ajili ya<br />

Mtengene<strong>za</strong>ji. Kwa wakati ule akamlinda kwa uangalifu sana, kulinda mazunguko yake na<br />

yale ya maadui <strong>za</strong>ke. Lakini wengi hawakujaribu kuficha huruma yao kwa Luther. “Chumba<br />

kidogo cha mwalimu,” akaandika Spalatin, “hakiwezi kuenea wageni wote waliojileta<br />

wenyewe kwa kumuzuru.” Hata wale wasiokuwa na imani katika mafundisho yake<br />

hawakuwe<strong>za</strong> kujizuia lakini kushangalia ule ukamilifu uliomuongo<strong>za</strong> kuvumilia mauti<br />

kuliko kuvunja <strong>za</strong>miri yake.<br />

Juhudi nyingi zikafanyika kwa kupata kuwezesha Luther kupatana na Roma. Wenye<br />

cheo na watawala wakamuonyesha kwamba kama akifanya hukumu yake pekee kupinga<br />

kanisa na bara<strong>za</strong>, hatahamishwa kukatiwa mbali ya ufalme na bila ulinzi. Tena akaombwa<br />

sana, kutii hukumu ya mfalme. Kwa hiyo hangaliogopa kitu. “Ninakubali,” akasema kwa<br />

kujibu, “na moyo wangu wote, kwamba mfalme, watawala, na hata Mkristo mnyonge sana,<br />

anapashwa kujaribu na kuhukumu kazi <strong>za</strong>ngu; lakini kwa kanuni moja, kwamba wakamate<br />

neno la Mungu kuwa kipimo chao. Watu hawana kitu cha kufanya bali kukitii.”<br />

Kwa mwito mwengine akasema: “Ninakubali kukana cheti cha usalama wangu. Naweka<br />

nafsi yangu na maisha yangu katika mikono ya mfalme, lakini neno la Mungu--kamwe!”<br />

Akataja mapenzi yake kwa kutii bara<strong>za</strong> la watu wote, lakini kwa kanuni kwamba bara<strong>za</strong><br />

itakiwe kuamua kufuatana na Maandiko. “Kwa ile inayohusu neno la Mungu na imani, kila<br />

Mkristo anakuwa muhukumu mwema kama Papa, ingawa anatetewa na milioni ya<br />

66

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!