21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wengine wanatolewa vyeo vya mvuto na wengine <strong>za</strong>wadi zingine kwa kukana imani yao.<br />

Lakini jibu lao ni “Mtuonyeshe kutoka katika Neno la Mungu kosa letu”. Wale<br />

walioshitakiwa mbele ya bara<strong>za</strong> wanafanya ushuhuda wa nguvu wa ukweli, na wengine<br />

wanaowasikia huongozwa kwa kukata shauri la kushika amri zote <strong>za</strong> Mungu. Kama sivyo<br />

maelfu hawangewe<strong>za</strong> kujua kitu juu ya mambo haya ya kweli.<br />

Utii kwa Mungu ungetendewa kama uasi. M<strong>za</strong>zi atatumia ukali kwa mtoto mwenye<br />

kuamini. Watoto wataondolewa katika urithi na kufukuzwa kutoka nyumbani. “Na wote<br />

wanaotaka kuishi maisha ya utawa katika Kristo Yesu watapata mateso”. 2 Timoteo 3:12.<br />

Kuwa kama wateteaji wa ukweli wanapokataa kuheshimu siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche)<br />

wengine wataingizwa gere<strong>za</strong>ni, wengine watahamishwa, wengine watatendewa kama<br />

watumwa. Kwa namna roho ya Mungu atakavyoondolewa kutoka kwa watu hapo kutakuwa<br />

maendeleo ya kigeni. Moyo unawe<strong>za</strong> kuwa na jeuri sana wakati uchaji wa Mungu na<br />

upendo yanapoondolewa.<br />

Machafuko Yanakaribia<br />

Kwa namna machafuko yanavyokaribia, jamii kubwa ya walioungama imani katika<br />

ujumbe wa malaika wa tatu, lakini hawakutakasiwa kwa njia ya utii kwa ukweli, wataacha<br />

nia yao na kujiunga kwa upin<strong>za</strong>ni. Kwa kujiunga pamoja na ulimwengu wamefikia kuona<br />

mambo karibu ya nuru ya namna moja, na wanachagua upande wa watu wengi. Watu ambao<br />

kwan<strong>za</strong> walifurahi katika ukweli wanatumia kipawa chao na hadizi <strong>za</strong> kupende<strong>za</strong> kwa<br />

kuongo<strong>za</strong> vibaya roho. Wanakuwa adui wakali wa ndugu <strong>za</strong>o wa kwan<strong>za</strong>. Waasi hawa ni<br />

wajumbe wa nguvu wa shetani kwa kuele<strong>za</strong> vibaya na kushitaki wanaoshika Sabato na<br />

kuchochea watawala kwa kuwapinga.<br />

Watumishi wa Bwana wametoa onyo. Roho ya Mungu imewalazimisha.<br />

Hawakushauriana na faida <strong>za</strong>o <strong>za</strong> mda, wala hawakutafuta kulinda sifa yao ao maisha yao.<br />

Kazi inaonekana kuwa mbali kabisa na uwezo wao kuitimi<strong>za</strong>. Kwani hawawezi kurudi<br />

nyuma. Kuona u<strong>za</strong>ifu wao, wanakimbilia kwa Mwenye Uwezo kwa kutaka nguvu.<br />

<strong>Nyakati</strong> mbalimbali katika historia zimeonyeshwa na maendeleo ya ukweli wa kipekee,<br />

uliofanyizwa kwa mahitaji ya watu wa Mungu kwa wakati ule. Kila ukweli mpya umefanya<br />

namna yake juu ya upin<strong>za</strong>ni. Mabalozi wa Kristo wanapashwa kufanya wajibu wao na<br />

kuacha matokeo kwa Mungu.<br />

Upin<strong>za</strong>ni Umeongezeka kwa Kimo Kipya<br />

Jinsi ushindani umeongezeka kwa nguvu nyingi; watumishi wa Mungu wanahangaika<br />

tena, kwani inaonekana kwao ya kama wameleta taabu. Lakini <strong>za</strong>miri na Neno la Mungu<br />

vinawahakikishia ya kama mwenendo wao ni wa haki. Imani yao na uhodari umeongezeka<br />

pamoja na ujushi. Ushuhuda wao ni “Kristo ameshinda nguvu <strong>za</strong> dunia, je, tutaogopa<br />

ulimwengu uliokwisha kushindwa”?<br />

254

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!