21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Ndimi <strong>za</strong> moto ya tanuru inaonekana karibu kuwatekete<strong>za</strong>, lakini Mtakasaji atawaleta kama<br />

<strong>za</strong>habu iliyojaribiwa ao kutakaswa katika moto.<br />

Imani lnayovumilia<br />

Wakati wa taabu na maumivu makuu yanayokuwa mbele yetu yatadai imani ile<br />

inayowe<strong>za</strong> kuvumilia ulegevu, kukawia, na njaa, imani ambayo haitalegea katika majaribu<br />

makali. Ushindi wa Yakobo ni ushuhuda wa nguvu ya maombi ya kushurutisha. Wote<br />

watakaoshikilia ahadi <strong>za</strong> Mungu, kama alivyofanya, watafaulu kama alivyofaulu.<br />

Kushindana na Mungu--namna gani wachache wanaojua umuhimu wake! Wakati mawimbi<br />

ya kukata tamaa yanapopita kwa nguvu juu ya mwombaji, namna gani wachache<br />

wanashikamana katika imani na ahadi <strong>za</strong> Mungu.<br />

Wale wanaotumia imani ndogo tu sasa wanakuwa katika hatari kubwa ya kuanguka chini<br />

ya mamlaka ya madanganyo ya Shetani. Na hata kama wanavumilia jaribu watatumbukia<br />

katika wasiwasi kubwa wakati wa taabu kwa sababu hawakuifanya kamwe kuwa zoezi la<br />

kumtumaini Mungu. Inatupasa sasa kutibitisha ahadi <strong>za</strong>ke.<br />

Kila mara taabu ni kubwa linapofikiriwa aotendwa la mbele kuliko wakati ule kwa<br />

hakika linapashwa kutendeka ao kuonekana, lakini hii si kweli juu ya wakati wa taabu<br />

unaokuwa mbele yetu. Maelezo mengi ya wazi hayawezi kuikia ukubwa wa majaribu. Kwa<br />

wakati ule wa shida kila nafsi inapashwa kusimama yenyewe mbele ya Mungu.<br />

Sasa, wakati kuhani wetu Mkubwa anapofanya upatanisho kwa ajili yetu, inatupasa<br />

kutafuta kuwa wakamilifu katika Kristo. Si kwa wazo ambalo mwokozi wetu aliwe<strong>za</strong><br />

kuwezeshwa kujitoa kwa uwezo wa majaribu. Shetani anapata ndani ya mioyo ya<br />

kibinadamu mahali padogo ambapo anawe<strong>za</strong> kupata tegemeo la kusimamisha mguu; tamaa<br />

fulani ya <strong>za</strong>mbi inatunzwa pale, na kwa njia ambayo majaribu yake kusimamia uwezo wao.<br />

Lakini Kristo anajitanga<strong>za</strong> mwenyewe: “Mkubwa wa dunia hii anakuja; na yeye hana kitu<br />

ndani yangu.” Yoane 14:30. Shetani hakuwe<strong>za</strong> kupata kitu ndani ya Mwana wa Mungu<br />

ambacho kingewe<strong>za</strong> kumwezesha kupata ushindi. Hapakuwa <strong>za</strong>mbi ndani yake ambayo<br />

Shetani angewe<strong>za</strong> kutumia kwa faida yake. Hii ni kawaida ambayo inapashwa kujitenga<br />

kwao watakaosimama katika wakati wa taabu.<br />

Ni katika maisha haya ambayo tunapashwa kujitenga na <strong>za</strong>mbi, katika imani kwa damu<br />

ya Kristo ya upatanisho. Mwokozi wetu wa damani anatualika kujiunga kwake sisi<br />

wenyewe, kuunga u<strong>za</strong>ifu wetu kwa nguvu <strong>za</strong>ke, kutostahili kwetu kwa matendo mema yake.<br />

Inabaki kwetu kushirikiana mbingu katika kazi ya kulinganisha tabia zetu kwa mfano wa<br />

Mungu.<br />

Kazi ya Shetani ya kudanganya na uharibifu itafikia kipimo cha juu (mwisho) wakatiwa<br />

taabu. Maono ya kuogofya ya tabia isiyokuwa ya kibinadamu karibu yatafunuliwa katika<br />

mbingu, kwa alama ya uwezo wa kazi <strong>za</strong> miuji<strong>za</strong> ya mashetani. Pepo wabaya wataendelea<br />

kwa “falme <strong>za</strong> dunia” na kwa ulimwengu wote, kuwashurtisha kuungana na Shetani katika<br />

260

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!