21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

anapotoa shauri. Kwa kuepuka uangalifu wa mlinzi wa milango ya mji, wajumbe hawa<br />

walileta vikapo vya bata juu ya vichwa vyao na wakaruhusiwa kupita bila kizuizi.<br />

Zwingli “alitumika <strong>za</strong>idi,” akasema Myconius, “kwa mawazo yake, kukesha kwake<br />

usiku, na shauri alilopeleka Bade, kuliko angewe<strong>za</strong> kufanya kwa kubishana mwenyewe<br />

katikati ya adui <strong>za</strong>ke.” Wakatoliki wakafika Bade na mavazi ya hariri ya fahari sana ya<br />

mapambo ya vitu vya damani. Wakasafiri na anasa sana, na kukaa kwa me<strong>za</strong> zilizojaa<br />

vyakula vitamu sana na divai nzuri sana. Kukawa tofauti kubwa sana kati yao na<br />

Watengene<strong>za</strong>jiambao chakula chao cha kiasi kikawakalisha kwa mda mfupi tu me<strong>za</strong>ni.<br />

Mwenyeji wa Oecolampade, aliyempelele<strong>za</strong> chumbani mwake, akamkuta akijifun<strong>za</strong> kila<br />

wakati ao akiomba, na akajulisha kwamba mpinga imani ya dini huyo alikuwa “mtawa<br />

sana.”<br />

Katika mkutano, “Eckakapanda na majivuno katika mimbara iliyopambwa vizuri sana,<br />

lakini mnyenyekevu Oecompade, aliyevaa mavazi ya kiasi, akalazimishwa kuchukua kiti<br />

chake mbele ya mpin<strong>za</strong>ni wake kwa kiti kilichochorwa vibaya sana.” Sauti ya nguvu ya Eck<br />

na majivuno mingi hakumtisha. Mtetezi wa imani alikuwa anata<strong>za</strong>mia mshahara mzuri.<br />

Wakati alipokosa mabishano bora, akatumia matukano na hata maapizo ama laana.<br />

Oecolampade, mwenye adabu na mwenye kujiha<strong>za</strong>ri, akakataa kushiriki katika<br />

mabishano. Ingawa alikuwa mpole na adabu katika mwenendo, akajionyesha mwenyewe<br />

kuwa na uwezo na imara. Mtengene<strong>za</strong>ji akashikamana kwa nguvu katika Maandiko.<br />

“Desturi,” akasema, “haina uwezo katika Usuisi wetu, isipokuwa kwa sheria; sasa katika<br />

mambo ya imani, Biblia ndiyo sheria yetu.”<br />

Utulivu, kutumia akili kwa Mtengene<strong>za</strong>ji, unyenyekevu na adabu ulioonyeshwa, ikavuta<br />

mafikara na watu wakachukia majivuno ya kiburi cha Eck.<br />

Mabishano yakaendelea kwa mda wa siku kumi na mnane. Wakatoliki wakadai ushindi.<br />

Kwa namna wajumbe wengi walikuwa wa upande wa Roma, na bara<strong>za</strong> ikatanga<strong>za</strong> kwamba<br />

Watengene<strong>za</strong>ji walishindwa na pamoja na Zwingli, waondoshwe kanisani. Lakini<br />

mashindano yakatokea katika mvuto wa nguvu kwa ajili ya Waprotestanti. Baada ya mda<br />

mfupi tu, miji mikubwa ya Berne na Bâ le ikajitanga<strong>za</strong> kuwa kwa upande wa Matengenezo.<br />

Sura 10. Maendeleo Katika Ujeremani<br />

Kutoweka kwa ajabu kwa Luther kukaweka Ujeremani wote katika hofu kubwa. Habari<br />

ikatangazwa na wengi wakaamini kwamba aliuawa. Kukawa maombolezo makubwa, na<br />

wengi wakaapa kwa kitisho kulipi<strong>za</strong> kisasi cha kifo chake.<br />

Ijapo waiishangilia mara ya kwan<strong>za</strong> kwa ajili ya kifo kilicho<strong>za</strong>niwa cha Luther, adui<br />

<strong>za</strong>ke walijazwa na hofu kuwa sasa kwamba amekuwa mfungwa. “Njia moja tu<br />

inayotubakilia kwa kuokoa kesi letu,” akasema mmoja wao, “ni kuwasha mienge, na<br />

kumuwinda Luther katika ulimwengu wote na kumrudisha kwa taifa linalomwita.” Kusikia<br />

73

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!