21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Luther akatetemeka wakati alipojiangalia mwenyewe--mtu mmoja akapinga watu wa<br />

nguvu nyingi wa dunia. “Mimi nilikuwa nani?” akaandika, “kupinga enzi ya Papa, mbeie<br />

yake ... wafalme wa dunia na ulimwengu wote ulitetemeka? ... Hakuna mtu anawe<strong>za</strong> kujua<br />

namna gani moyo wangu uliteseka mda wa miaka hii miwili ya kwan<strong>za</strong> na katika kukata<br />

tamaa, nawe<strong>za</strong> kusema katika kufa moyo, nili<strong>za</strong>ma.” Lakini wakati usaada wa kibinadamu<br />

ulishindwa, alita<strong>za</strong>ma kwa Mungu peke yake. Aliwe<strong>za</strong> kuegemea katika usalama juu ya ule<br />

mkono ulio wa guvu zote.<br />

Kwa rafiki Luther akaandika: “Kazi yako ya kwan<strong>za</strong> ni kuan<strong>za</strong> na ombi. ... Usitumaini<br />

kitu kwa kazi <strong>za</strong>ko mwenyewe, kwa ufahamu wako mwenyewe: Tumaini tu katika Mungu,<br />

na katika mvuto wa Roho Mtakatifu.” Hapa kuna fundisho la maana kwa wale wanaojisikia<br />

kwamba Mungu amewaita kutoa kwa wengine ibada ya dini ya kweli kwa wakati huu.<br />

Katika vita pamoja na mamlaka ya uovu kunakuwa na mahitaji ya kitu kingine <strong>za</strong>idi kuliko<br />

akili na hekima ya kibinadamu.<br />

Luther Alikimbilia Tu kwa Biblia<br />

Wakati adui walikimbilia kwa desturi na desturi ya asili, Luther alikutana nao<br />

anapokuwa na Biblia tu, bishano ambayo hawakuwe<strong>za</strong> kujibu. kutoka mahubiri ya Luther na<br />

maandiko kulitoka nyali <strong>za</strong> nuru ambazo ziliamsha na kuangazia maelfu. Neno la Mungu<br />

lilikuwa kama upanga unaokata ngambo mbili, unaokata njiayake kwa mioyo ya watu.<br />

Macho ya watu, kwa mda mrefu yaliongozwa kwa kawaida <strong>za</strong> kibinadamu na waombezi wa<br />

kidunia, sasa walimugeukia Kristo katika imani na Yeye aliyesulubishwa.<br />

Usikizi huu ukaamsha woga kwa mamlaka ya Papa. Luther akapokea mwito kuonekana<br />

huko Roma. Rafiki <strong>za</strong>ke walijua vizuri hatari ile iliyomngoja katika mji mwovu huo,<br />

uliokwisha kunywa damu ya wafia dini wa Yesu. Wakauli<strong>za</strong> kwamba apokee mashindano<br />

yake katika Ujeremani.<br />

Jambo hili likatendeka, na mjumbe wa Papa akachaguliwa kusikili<strong>za</strong> mambo yenyewe.<br />

Katika maagizo kwa mkubwa huyu, alijulishwa kwamba Luther alikwisha kutangazwa<br />

kama mpingaji wa imani ya dini. Mjumbe alikuwa basi ni “kutenda na kulazimisha bila<br />

kukawia.” Mjumbe akapewa uwezo wa “kumufuku<strong>za</strong> katika kila upande wa Ujeremani;<br />

kumfukuzia mbali, kumlaani, na kutenga wale wote walioambatana naye”, Kuwatenga na<br />

cheo cho chote kikiwa cha kanisa ao cha serkali, ila tu mfalme, hatajali kumkamata Luther<br />

na wafuasi wake na kuwatoa kwa kisasi cha Roma.<br />

Hakuna alama ya kanuni ya kikristo ao hata haki ya kawaida inapaswa kuonekana katika<br />

maandiko haya. Luther hakuwa na nafasi ya kuele<strong>za</strong> wala kutetea musimamo wake; lakini<br />

alikuwa amekwisha kutangazwa kuwa mpingaji wa imani ya dini na kwa siku ile ile<br />

alishauriwa, kushitakiwa, kuhukumiwa, na kulaumiwa. Wakati Luther alihitaji sana shauri la<br />

rafiki wa kweli, Mungu akamtuma Melanchthon kule Wittenberg. Shida ya hukumu ya<br />

Melanchthon, ikachanganyika na usafi (utakatifu) na unyofu wa tabia, ikashinda sifa ya<br />

52

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!