21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 16. Kutafuta Uhuru Katika Dunia Mpya<br />

Ijapo mamlaka na imani ya Roma mambo yale yalikataliwa, kanuni nyingi ziliingizwa<br />

katika ibada ya Kanisa la Uingere<strong>za</strong>. Ilidaiwa kwamba mambo yasiyokatazwa katika<br />

Maandiko hayakuwa na uovu wa hatari. Kwa kuyashika kunafaa kwa kupungu<strong>za</strong> shimo<br />

kubwa ambalo lilitenga makanisa ya matengenezo na Roma, na ilishurtishwa kwamba<br />

wangesaidia Wakatoliki kukubali imani ya Kiprotestanti.<br />

Kundi lingine halikuamua vile. Waliangalia desturi hizi kama dalili ya utumwa ambao<br />

walikombolewa. Walifikiri kwamba Mungu katika Neno lake ameimarisha maagizo kwa<br />

kutawala ibada yake, na kwamba watu hawana uhuru wa kuonge<strong>za</strong> kwa haya ao kutosha<br />

kwa haya. Roma ikaan<strong>za</strong> kulazimisha yale Mungu hakukata<strong>za</strong>,na ikaishia kukata<strong>za</strong> yale<br />

aliyo amuru wazi wazi.<br />

Wengi wakaangalia desturi <strong>za</strong> Kanisa la Kiingere<strong>za</strong> kama nguzo <strong>za</strong> ukumbusho wa ibada<br />

ya sanamu, na hawakuwe<strong>za</strong> kujiunga kwa ibada yake. Lakini Kanisa lilisaidiwa na mamlaka<br />

ya serkali, haingeruhusu mafarakano. Mikutano isiyoruhusiwa kwa ajili ya ibada ilikatazwa<br />

chini ya malipizi ya kufungwa, kuhamishwa ao mauti.<br />

Kuwindwa, kuteswa, na kufungwa, watu walioishi maisha safi ya unyofu hawakuwe<strong>za</strong><br />

kutambua ahadi ya siku bora. Wengine wakakusudia kutafuta kimbilio katika Uhollande,<br />

wakasalitiwa katika mikono ya adui <strong>za</strong>o. Lakini wakavumilia kwa uaminifu na mwishowe<br />

wakashinda, na wakapata kimbilio katika pwani <strong>za</strong> urafiki.<br />

Waliacha nyumba <strong>za</strong>o na mali yao ya uchumi. Walikuwa wageni katika inchi ya kigeni,<br />

kurudia kwa kazi mpya ili wapate mkate wao. Lakini hawakupote<strong>za</strong> wakati kwa uvivu ao<br />

kusikitika. Walimshukuru Mungu kwa ajili ya mibaraka waliyopata na wakawa na furaha<br />

katika ushirika wa kiroho wa raha ambao haukusumbuluwa.<br />

Mungu akageu<strong>za</strong> matokeo<br />

Wakati mkono wa Mungu ulionekana ukiwashota kuvuka bahari kwenda kwa inchi<br />

ambayo wanawe<strong>za</strong> kupata inchi na kuachia watoto wao uriti wa uhuru wa dini, wakaendelea<br />

katika njia ya maongozi ya Mungu. Mateso na kujihamisha vilikuwa vikifungua njia kwa<br />

uhuru.<br />

Wakati mara ya kwan<strong>za</strong> walipolazimishwa kujitenga kutoka kwa kanisa la Kiingere<strong>za</strong>,<br />

Watu walioishi maisha safi wakajiunga waowenyewe kwa maagano kama watu huru wa<br />

Bwana “kwa kutembea pamoja katika njia <strong>za</strong>ke zote zilizojulishwa ao zinazopaswa<br />

kujulishwa kwao.” Hapa ndipo palikuwa na kanuni ya maana sana ya Kiprotestanti. Kwa<br />

kusudi hili Wasafiri wakatoka Uholandi kutafuta makao katika Dunia Mpya. Yohana<br />

Robinson, mchungaji wao, katika hotuba yake ya kuaga kwenda kwa mahamisho akasema:<br />

117

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!