21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 34. Roho <strong>za</strong> Wafu?<br />

Mafundisho ya maisha ya milele ya kawaida, mara ya kwan<strong>za</strong> yaliletwa kutoka kwa<br />

hekima ya kishenzi na katika gi<strong>za</strong> ya maasi makubwa yaliyounganishwa katika imani ya<br />

Kikristo, yakaondosha kweli ambayo “wafu hawajui kitu.” Muhubiri 9:5. Wengi wanaamini<br />

ya kwamba pepo <strong>za</strong> wafu ni “roho <strong>za</strong> kutumikia, zilizotumwa kutumikia wale watakaoriti<br />

wokovu.” Waebrania 1:14.<br />

Imani ya kwamba roho <strong>za</strong> wafu zinarudi kutumia walio hai ikatayarisha njia kwa imani<br />

ya wafu ya kisasa kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa hurudi kujionyesha na kuongea na watu.<br />

Kama wafu wanakuwa na majaliwa na maarifa inayopita <strong>za</strong>idi ile waliyokuwa nayo mbele,<br />

sababu gani kutorudi duniani na kufundisha wa hai? Kama roho <strong>za</strong> wafu zinatangatanga<br />

kwa rafiki <strong>za</strong>o duniani, sababu gani hazipelekane habari nao? Namna gani wale wanaoamini<br />

katika uaminifu wa kibinadamu katika mauti wanawe<strong>za</strong> kukana “nuru ya Mungu”<br />

iliyotolewa na roho tukufu? Hapa kuna mferezi unaowe<strong>za</strong> kuangaliwa kama takatifu<br />

ambamo shetani anatumika. Malaika walioanguka wanaonekana kama wajumbe kutoka<br />

ulimwengu wa kiroho.<br />

Mfalme wa mabaya anakuwa na uwezo wa kuleta mbele ya watu mfano wa rafiki<br />

waliokufa. Mfano ni kamilifu, ulifatishwa kwa u<strong>za</strong>hiri wa ajabu. Wengi wanafarijika na<br />

hakikisho ya kwamba wapenzi wao wana furaha mbinguni. Bila mashaka ya hatari, wanatoa<br />

sikio kwa roho <strong>za</strong> kudanganya, na mafundisho ya mashetani.” 1 Timoteo 4:1.<br />

Wale waliokwenda kwa kaburi bila kujitayarisha wanadai kuwa na furaha na kuwa<br />

mahali pa cheo bora huko mbinguni. Wageni wa uwongo kutoka kwa ulimwengu ya<br />

mapepo (spirits) mara ingine hutoa maonyo halisi yanayoshuhudia kuwa hakika. Halafu,<br />

kwa hivi tumaini linapatikana, wanafundisha mafundisho yale yanayongoa Maandiko. Kwa<br />

sababu kwamba wanataja mambo mengine ya kweli na palepale kutabiri mambo ya wakati<br />

ujao jambo hilo linatoa mfano wa hakika, na mafundisho yao ya uwongo yanakubaliwa.<br />

Sheria ya Mungu huwekwa kando, Roho ya neema hu<strong>za</strong>rauliwa. Pepo wanakana Umungu<br />

wa Kristo na wanaweka Muumba kwa cheo pamoja na wao wenyewe.<br />

Wakati inakuwa kweli kwamba matokeo ya udanganyifu mara kwa mara yamepokewa<br />

kwa hila kama maonyesho ya kweli, pale kulikuwa, vilevile, maonyesho ya kupambanua ya<br />

uwezo wa ajabu, kazi kabisa ya malaika waovu. Wengi wanaamini ya kwamba imani<br />

yakuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu ni ujanja tu wa<br />

kibinadamu. Kama ikiletwa mbele ya maonyesho ambayo hawawezi kui<strong>za</strong>nia namna ingine<br />

isipokuwa kama ni ya ajabu, watadanganyiwa na kuyakubali kama uwezo mkubwa wa<br />

Mungu.<br />

Kwa msaada wa Shetani wachawi wa Farao wakaiga kazi ya Mungu. Ta<strong>za</strong>ma Kutoka<br />

7:10-12. Paulo anashuhudia kwamba kuja kwa Bwana kutatanguliwa na “kutenda kwa<br />

Shetani na uwezo wote, na ishara na maajabu ya uwongo”. 2 Watesalonika 2:9,10. Na<br />

230

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!