21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Ni wajibu wa kwan<strong>za</strong> na ya juu sana kwa kila kiumbe chenye akili kujifun<strong>za</strong> kwa<br />

Maandiko mambo inayokuwa ya kweli, ndipo kutembea katika nuru na kutia wengine moyo<br />

kufuata mfano wake. Inatupasa kutengene<strong>za</strong> nia zetu sisi wenyewe kwa namna<br />

tutakavyojibu sisi wenyewe mbele ya Mungu.<br />

Watu waliojifun<strong>za</strong>, kwa ujanja wa hekima kubwa, wanafundisha ya kama Maandiko<br />

yanakuwa na siri, maana ya kiroho si ya kutambulikana katika lugha iliyotumiwa. Watu<br />

hawa ni waalimu wa uwongo. Lugha ya Biblia inapashwa kuelezwa kufuata maana yake<br />

<strong>za</strong>hiri, ila tu kama mfano ao picha inatumiwa. Kama watu wangekamata tu Biblia kama<br />

inavyosomwa, kazi ingetimizwa ambayo ingeleta maelfu katika zizi la Kristo maelfu juu ya<br />

maelfu wanaotangatanga katika makosa. Sehemu nyingi <strong>za</strong> Maandiko ambazo wenye<br />

hekima wanazo<strong>za</strong>nia kutokuwa <strong>za</strong> maana zinajaa na faraja kwa yeye anayefundishwa katika<br />

shule la Kristo. Ufahamu wa ukweli wa Biblia hauko <strong>za</strong>idi kwa uwezo akili ilioletwa kwa<br />

uchunguzi kama kwa umoja wa kusudi, tamaa ya juhudi baada ya haki.<br />

Matokeo ya Zarau ya Maombi na Kujifun<strong>za</strong> Biblia<br />

Biblia haipashwi kujifunzwa pasipo maombi. Roho Mtakatifu peke yake<br />

anayetuwezesha kuona umuhimu wa vitu rahisi kufahamiwa, ao kutuzuia kupotoa mambo<br />

magumu ya kweli. Malaika wa mbinguni wanatayarisha moyo kufahamu Neno la Mungu.<br />

Tutapendezwa kwa uzuri wake, kugombezwa kwa maonyo yake na kutiwa nguvu na ahadi<br />

<strong>za</strong>ke. Mara kwa mara majaribu huonekana kuwa na nguvu nyingi sana kwa sababu yule<br />

aliyejaribiwa hawezi mara hiyo kukumbuka ahadi <strong>za</strong> Mungu na kukutana na Shetani<br />

anayekuwa na silaha <strong>za</strong> Maandiko. Lakini malaika wanazunguka wale wanaotaka<br />

kufundishwa, na wataleta kwa ukumbusho wao ukweli unayohitajiwa.<br />

“Yeye atawafundisha ninyi vitu vyote, na kuwakumbusha ninyi vitu vyote<br />

niliyowaambia ninyi”. Yoane 14:26. Lakini mafundusho ya Kristo yanapashwa kwan<strong>za</strong><br />

kuwekwa katika akili ili Roho ya Mungu ayalete katika ukumbusho wetu katika wakati wa<br />

hatari.<br />

Ajali ya makutano mengi sana inakuwa karibu kukusudiwa. Kila mshiriki wa Kristo<br />

inampasa kudai kwa bidii: “Bwana unataka nifanye nini”? Matendo 9:6. Inatupasa sasa<br />

kutafuta maarifa ya ndani na ya nguvu katika vitu vya Mungu. Hatuna na wakati kwa<br />

kupote<strong>za</strong>. Tunakuwa kwa udongo wa kupende<strong>za</strong> wa Shetani. Zamu wa Mungu usilale!<br />

Wengi hushangilia wao wenyewe kwa matendo mabaya ambayo wasiyoyafanya.<br />

Haitoshi ya kama wao ni miti katika bustani ya Mungu. Inawapasa ku<strong>za</strong>a matunda. Katika<br />

vitabu vya mbinguni wanaandikwa kama walimaji wa udongo. Kwani kwa wale walio<strong>za</strong>rau<br />

rehema ya Mungu na wakatumia vibaya neema yake, moyo na upendo wa uvumilivu ungali<br />

ukitetea.<br />

Wakati wa mvua hakuna tofauti ya kuonekana kati ya miti na miti ingine; lakini wakati<br />

wa kipwa na upepo na majira ya baridi inapofika, miti isiyokauka inadumu imara wakati<br />

250

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!