21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 19. Sababu gani Uchungu Mkubwa Ule?<br />

Kazi ya Mungu huonyesha mwaka kwa mwaka, mfano wa kutisha kila matengenezo<br />

makubwa ao mwenendo wa dini. Kanuni <strong>za</strong> matengenezo ya Mungu kuhusu watu yanakuwa<br />

mamoja daima. Mabadiliko makubwa ya sasa yanakuwa na uhusiano na yale ya wakati<br />

uliopita, na maarifa ya kanisa katika vi<strong>za</strong>zi vya kwan<strong>za</strong> yanakuwa na mafundisho kwa<br />

wakati wetu.<br />

Mungu kwa Roho Mtakatifu wake kwa upekee huongo<strong>za</strong> watumishi wake duniani katika<br />

kuepeleka mbele kazi ya wokovu. Watu ni vyombo katika mkono wa Mungu. Kwa kila<br />

chombo kulitolewa sehemu ya nuru ya kutosha kwa kumwezesha kufanya kazi aliyopewa<br />

kufanya. Lakini hakuna mtu kamwe aliyefikia ufahamu kamili wa kusudi la Mungu katika<br />

kazi kwa wakati wake mwenyewe. Watu hawafahamu kabisa katika uchukuzi wake wote<br />

ujumbe ambao wanaoutoa katika jina lake. Hata manabii hawakufahamu kabisa mambo ya<br />

ufunuo yaliyotolewa kwao. Maana ya ufunuo ilikuwa ya kufunuliwa toka ki<strong>za</strong>zi kwa ki<strong>za</strong>zi.<br />

Petro anasema: “Katika habari <strong>za</strong> wokovu huu manabii walitafuta na kuchungu<strong>za</strong>, wao<br />

waliotabiri juu ya neema itakayowafikia ninyi; walichungu<strong>za</strong> nini ao wakati wa namna gani<br />

Roho ya Kristo aliyekuwa ndani yao aliwaonyesha wakati aliposhuhudia mbele mateso<br />

yatakayompata Kristo, na utukufu utakao yafuata. Wakafunuliwa ya kuwa si kwa ajili yao<br />

wenyewe lakini ni kwa ajili yetu waliohudumiwa.” 1 Petro 1:10-12, Ni sisi herufi<br />

tofauti(italics). Fundisho la namna gani kwa watu wa Mungu katika ki<strong>za</strong>zi cha ukristo!<br />

Watu hao “watakatifu wa Mungu” walitafuta na kuchungu<strong>za</strong> “kwa bidii” kwa ajili ya<br />

mafunuo zilizotolewa kwa vi<strong>za</strong>zi ingawa vilikuwa havija<strong>za</strong>liwa bado. Kemeo gani kwa<br />

ukavu wa macho wa wapenda dunia ambayo wanatosheka kutanga<strong>za</strong> kwamba mambo ya<br />

unabii hayawezi kufahamiwa.<br />

Si mara chache mafikara hata ya watumishi wa Mungu yanakuwa ya kupofushwa sana<br />

kwa manebo ya asili na mafundisho ya uwongo ambayo wanashika kwa nusu tu mambo<br />

yaliyofunuliwa katika Neno la Mungu. Wanafunzi wa Kristo, hata wakati Mwokozi alikuwa<br />

pamoja nao, walikuwa na wazo la kupendwa na watu wote juu ya Masiya kama mfalme wa<br />

mda aliyepashwa kuinua Israel; kwa mamlaka ya wakati wote. Hawakuwe<strong>za</strong> kufahamu<br />

maneno yake yaliyotabiri mateso na mauti yake.<br />

“Wakati Umetimia”<br />

Kristo aliwatuma na ujumbe: “Wakati umetimia, ufalme wa Mungu ni karibu. Tubuni<br />

mukaamini Habari Njema.” Marko 1:15. Ujumbe ule ulikuwa na msingi katika unabii wa<br />

Danieli 9. ‘’Majuma makumi sita na tisa” yalipashwa kufikia kwa Mfalme na wanafunzi<br />

walita<strong>za</strong>mia mbele kuimarishwa kwa ufalme wa Masiya kule Yerusalema ili atawale juu ya<br />

dunia yote nzima.<br />

142

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!