21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Hawakuomba kitu kwa inchi bali <strong>za</strong>wadi <strong>za</strong> kweli <strong>za</strong> kazi yao... Waliishi kwa<br />

uvumilivu wa taabu ya jangwani, wakanyunyizia maji ya mti wa uhuru kwa machozi yao, na<br />

jasho ya vipaji vya nyuso <strong>za</strong>o, hata ukatia mizizi yake chini sana katika inchi.”<br />

Ulinzi wa kweli Kabisa wa Ukuu wa Taifa<br />

Kanuni <strong>za</strong> Biblia zilikuwa zikifundishwa katika jamaa, chuoni, na kanisani; matunda<br />

yake yalionekana katika uangallifu wa kutumia fe<strong>za</strong>, akili, usafi, na kiasi. Mtu mmoja<br />

angewe<strong>za</strong> kwa muda wa miaka “bila kuona mlevi, ao kusikia kiapo, wala kukutana na<br />

muombaji.” Kanuni <strong>za</strong> Biblia ndizo kingo ao walinzi wa kweli kabisa wa ukuu wa taifa.<br />

Inchi <strong>za</strong>ifu zilizokuwa chini ya utawala wa inchi ingine (colony) zilifanikiwa na kuwa<br />

majimbo yenye uwezo, na dunia ikaona usitawi wa “kanisa bila Papa, na serkali bila<br />

mfalme.”<br />

Lakini hesabu iliongezeka ya watu waliovutwa na Amerika kwa makusudi tofauti na<br />

Wasafiri wa kwan<strong>za</strong>. Hesabu iliyoongezeka ni ya wale waliotafuta tu faida ya kidunia.<br />

Mabwana wa kwan<strong>za</strong> wakaruhusu washiriki wa kanisa tu kwa kuchagua ao kuongo<strong>za</strong> kazi<br />

katika Serkali.<br />

Mpango huu ulikubaliwa kwa kulinda usafi wa Serkali; ukaleta matokeo ya uharibifu wa<br />

kanisa. Wengi wakajiunga na kanisa bila badiliko la moyo. Hata katika kazi ya injili<br />

kulikuwa wale waliokuwa wajinga wa uwezo mpya wa Roho Mtakatifu. Tangu siku <strong>za</strong><br />

Constantine hata wakati huu, kujaribu kujenga kanisa kwa usaada wa serkali, ambapo<br />

inawe<strong>za</strong> kuonekana kuleta ulimwengu karibu ya kanisa, kwa kweli huleta kanisa karibu ya<br />

ulimwengu.<br />

Makanisa ya Protestanti ya Amerika, na yale ya Ulaya pia, yakashindwa kuendelea<br />

mbele katika njia ya matengenezo. Wengi, kama Wayahudi wa siku <strong>za</strong> Kristo ao wakatoliki<br />

katika wakati wa Luther, walirizika kuamini kama mababa <strong>za</strong>o walivyoamini. Makosa na<br />

ibada ya sanamu vilishikwa. Matengenezo polepole yakafa, hata kukawa haja kubwa sana<br />

ya matengenezo katika makanisa ya Kiprotestanti hata katika kanisa la kiRoma wakati wa<br />

Luther. Hapo kulikuwa heshima ya namna moja kwa maoni ya watu na kutia mafikara ya<br />

binadamu kwa nafsi ya Neno la Mungu. Watu wakaacha kutafuta Maandiko na kwa hiyo<br />

wakaendelea kutun<strong>za</strong> mafundisho ambayo haikuwa na msingi katika Biblia.<br />

Kiburi na upotovu (ujinga) yakalindwa chini ya umbo la dini, na makanisa yakaharibika.<br />

Mambo ya asili ambayo yalipaswa kuharibu mamilioni ya watu yalikuwa yakipata mizizi ya<br />

nguvu. Kanisa lilikuwa likishika mambo ya asili haya baadala ya kushindana kwa ajili ya<br />

“imani ambayo iliyotolewa kwa watakatifu.”<br />

Ndiyo namna kanuni ziliunguzwa heshima (aibishwa) ambazo Watengene<strong>za</strong>ji<br />

walizotesekea sana.<br />

120

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!