21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

waliokimbilia ndani ya Pahali patakatifu. Damu ikatiririka kama maji juu ya vipandio vya<br />

hekalu.<br />

Baada ya kuangamizwa kwa hekalu, mara mji wote ukawa mikononi mwa Waroma.<br />

Waongozi wa Wayahudi wakaacha minara yao isiyoshindika. Alipokwisha kuita<strong>za</strong>ma na<br />

mshangao, akasema kwamba ni Mungu mwenyewe aliyeitoa mikononi mwake; kwani<br />

hakuna mashini <strong>za</strong> vita, hata zenye nguvu, zingewe<strong>za</strong> kushinda minara kubwa sana. Mji<br />

pamoja na hekalu vilibomolewa tangu msingi, na mahali ambapo nyumba takatifu ilikuwa<br />

imesimama “palilimwa kama shamba linavyolimwa” Yeremia 26:18. Zaidi ya milioni<br />

wakaangamia; waliookoka wakapelekwa kama mateka, wakauzishwa kama watumwa,<br />

wakakokotwa chini hata Roma, wakatupwa kwa wanyama wa pori ndani ya viwanda vya<br />

michezo, ao kutawanywa mahali pote kama watembezi wasio na makao.<br />

Wayahudi walija<strong>za</strong> wao wenyewe kikombe cha kisasi. Kuangamizwa kwa taifa lao na<br />

mabaya yote yaliyofuata kutawanyika kwao, ilikuwa ndiyo kuvuna mavuno ambayo mikono<br />

yao yenyewe ilipanda “O, Israel, umejiharibu wewe mwenyewe “kwa maana umeanguka<br />

sababu ya uovu wako”. Hosea 13:9; 14:1. Mateso yao yanaonyeshwa mara kwa mara kama<br />

a<strong>za</strong>bu iliwafikia ya hukumu ya Mungu. Ni kwa sababu hiyo mdanganyi mkuu hujitahidi<br />

kuficha kazi yake mwenyewe. Kwa kukataa sababu ya hukumu kwa upendo wa Mungu na<br />

rehema, Wayahudi walilazimisha ulinzi wa Mungu kuondolewa kwao.<br />

Hatuwezi kujua namna gani tunapashwa kushukuru Kristo kwa ajili ya amani na ulinzi<br />

tunaofurahia. Ni nguvu ya Mungu inayozuia wanadamu kuanguka kabisa katika mikono ya<br />

Shetani. Waasi na wasio na shukrani wanakuwa na sababu kubwa ya kushukuru Mungu kwa<br />

ajili ya rehema yake. Lakini wakati watu wanapo pitisha mipaka ya uvumilivu wa Mungu,<br />

ulinzi huondolewa. Mungu hasimame kama mwuaji wa mhukumu juu ya kosa. Huacha<br />

wanaokataa rehema <strong>za</strong>ke kuvuna walichopanda. Kila mushale wa nuru uliokataliwa ni<br />

mbegu iliyopandwa inayo<strong>za</strong>a lazima mavuno yake. Roho ya Mungu, ikipingwa kwa bidii,<br />

mwishowe itaondolewa. Kwa hiyo, hakuna tena nguvu ya kuzuia tamaa mbaya <strong>za</strong> roho,<br />

hakuna ulinzi kwa uovu na uadui wa Shetani.<br />

Uharibifu wa Yerusalema ni onyo la kutisha kwa wote wanaopinga maombezi ya rehema<br />

<strong>za</strong> Mungu. Unabii wa Mwokozi juu ya hukumu ya Yerusalema inakuwa na utimilizo<br />

mwengine. Katika hukumu ya mji muchaguliwa tunaona maangamizo ya ulimwengu ambao<br />

ulikataa rehema <strong>za</strong> Mungu na kukanyaga sheria yake. Habari ya shida ya mwanadamu<br />

ambayo dunia imeshuhudia ni ya gi<strong>za</strong>. Matokeo ya kukataa mamlaka ya Mungu ni ya<br />

kuogopesha. Lakini mambo ya gi<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi yanaonyeshwa katika ufunuo ya wakati ujao.<br />

Wakati ulinzi wa Roho ya Mungu utaondolewa kabisa, haitawezekana tena kuzuia kuripuka<br />

kwa tamaa ya kibinadamu na hasira ya uovu, ulimwengu utashika, kwa namna isivyofanyika<br />

mbele, matokeo ya mamlaka ya Shetani.<br />

Katika siku ile, kama katika uharibifu wa Yerusalema, watu wa Mungu watakombolewa.<br />

Ta<strong>za</strong>ma lsaya 4:3; Matayo 24:30,31. Kristo atakuja mara ya pili kukusanya waaminifu wake<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!