21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kanisa ambalo Bwana wetu kwa kuja kwake analopashwa kupokea litakuwa “kanisa la<br />

utukufu, pasipo doa wala kikunjo wala kitu cho chote kama hivi.” Waefeso 5:27.<br />

“Ta<strong>za</strong>ma, Bwana Arusi Anakuja”<br />

Kuja kwa Kristo kama Kuhani Mkuu kwa Pahali patakatifu pa patakatifu kwa usafisho<br />

wa Pahali patakatifu (Danieli 8:14), kuja kwa Mwana wa watu kwa Mzee wa Siku (Danieli<br />

7:13), na kuja kwa Bwana katika hekalu yake (Malaki 3:11) ni matukio ya namna moja.<br />

Jambo hili pia ni mfano wa kuja kwa bwana arusi kwa ndoa katika mfano wa mabikira kumi<br />

wa Matayo 25.<br />

Katika mfano, wakati bwana arusi alipofika, “nao waliokuwa tayari waliingia pamoja<br />

naye kwa arusi.” Kuja huku kwa bwana arusi kulifanyika mbele ya arusi. Arusi ni mfano wa<br />

kupokelewa na Kristo katika ufalme wake. Mji Mtakatifu, Yerusalema Mpya, mji mkubwa<br />

(capitale) ambao ni mfano wa ufalme, unaitwa “bibi arusi, mke wa Mwana-kondoo.”<br />

Akasema malaika kwa Yoane: “Kuja hapa, nami nitakuonyesha yule bibi-arusi, mke wa<br />

Mwana-Kondoo.” “Akanichukua katika roho,“nabii asema, “akanionyesha ule mji mkubwa,<br />

Yerusalema mtakatifu, ukishuka toka mbinguni, kwa Mungu.” Ufunuo 21:9,10.<br />

Bibi-arusi ni mfano wa Mji Mtakatifu, na mabikira waliotoka kukutana na bwana arusi<br />

ni mfano wa kanisa. Katika Ufunuo watu wa Mungu wanaitwa wageni kwa chakula cha<br />

arusi. Kama wageni, hawawezi kuwa bibi-arusi. Kristo atapokea kutoka kwa Mzee wa Siku<br />

katika mbingu “mamlaka, na utukufu, na ufalme.” Yerusalema Mpya, mji mkubwa wa<br />

ufalme wake, “umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mme wake.”<br />

Anapokwisha kupokea ufalme, atakuja kama Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana<br />

kwa ajili ya ukombozi wa watu wake watakaoshiriki kwa chakula cha arusi ya Mwana-<br />

Kondoo. Danieli 7:14; Ufunuo 21:2.<br />

Wanaongoja Bwana Wao<br />

Tangazo “Ta<strong>za</strong>ma, bwana arusi anakuja” liliongo<strong>za</strong> maelfu ya watu kuta<strong>za</strong>mia kuja kwa<br />

Bwana mara moja. Kwa wakati ulioagizwa Bwana-arusi akaja, si duniani, bali kwa Mzee wa<br />

Siku katika mbingu, kwa arusi, kupokelewa kwa ufalme wake. “Nao waliokuwa tayari<br />

waliingia pamoja naye kwa arusi.” Hawakupashwa kuwa pale binafsi, kwa sababu<br />

wanakuwa duniani. Wafuasi wa Kristo wanapashwa kungojea Bwana wao atakaporudi<br />

kutoka arusini. Luka 12:36. Lakini wanapashwa kufahamu kazi yake na kumfuata kwa<br />

imani. Kwa nia hii walisemwa kwenda kwa arusi.<br />

Katika mfano, wale waliokuwa na mafuta katika taa <strong>za</strong>o wakaingia kwa arusi. Wale<br />

ambao, katika usiku wa jaribu la uchungu, waliongoja kwa uvumilivu, wakichungu<strong>za</strong> Biblia<br />

kwa ajili ya nuru wazi <strong>za</strong>idi--hawa waliona ukweli juu ya Pahali patakatifu katika mbingu<br />

na badiliko la huduma ya Mwokozi. Kwa imani wakamfuata katika kazi yake ndani ya<br />

Pahali patakatifu juu. Na wote waliokubali kweli zile zile, kumfuata Kristo kwa imani<br />

anavyotenda kazi ya mwisho ya upatanisho, wanaingia kwa arusi.<br />

179

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!