21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Katika Ufunuo 13 ni nyama mwingine, “mfano wa chui,” ambaye joka akamupa “nguvu<br />

<strong>za</strong>ke, na kiti chake cha ufalme na mamlaka nyingi.” Mfano huu, kama vile Waprostanti<br />

wengi walivyoamini, unakuwa mfano wa dini ya Papa, iliyofuata kwa nguvu (mamlaka) na<br />

kiti cha ufalme na mamlaka iliyoshikwa kuan<strong>za</strong> na ufalme wa Roma. Juu ya nyama<br />

aliyekuwa na mfano wa chui inasemwa: “Naye akapewa kinywa cha kusema maneno<br />

makubwa, na makufuru... Akafungua kinywa chake atukane Mungu , na kutukana jina lake,<br />

na hema yake, nao wanaokaa mbinguni. Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na<br />

kuwashinda; akapewa mamlaka juu ya kabila na lugha na taifa.” Ufunuo 13:5-7. Unabii huu,<br />

karibu kuwa sawasawa pamoja na maelezo ya pembe ndogo ya Danieli 7, unaonyesha bila<br />

shaka Kanisa la Kiroma.<br />

“Akapewa mamlaka kufanya kazi yake miezi makumi ine na miwili”--miaka mitatu na<br />

nusu, ao siku 1260, ya Danieli 7--mda ambao nguvu (uwezo) <strong>za</strong> Papa zilipaswa<br />

kugandami<strong>za</strong> watu wa Mungu. Mda huu kama ilivyotajwa katika sura zilizotangulia, ulian<strong>za</strong><br />

na mamlaka ya kanisa la Roma (Papa), A.D. 538, na kumalizika katika mwaka 1798. Kwa<br />

wakati ule mamlaka ya Papa ikapata “kidonda cha kufa,” na unabii ukatimia, “yeye<br />

anayepeleka katika kifungo atachukuliwa katika kifungo.”<br />

Kuinuka kwa Mamlaka Mpya<br />

Kwa jambo hili mfano mwingine umetangazwa: “Kisha nikaona mnyama mwingine<br />

akipanda juu toka dunia, naye alikuwa na pembe mbili, mfano wa Mwana-Kondoo.”<br />

Ufunuo 13:11. Taifa hili ni mbalimbali na yale yaliyoonyeshwa chini ya mifano<br />

iliyotangulia. Falme kubwa zilizotawala dunia zilionyeshwa kwa nabii Danieli kama<br />

wanyama wa mawindo, waliopanda wakati “pepo ine <strong>za</strong> mbingu zilivuma kwa nguvu juu ya<br />

bahari kubwa.” Danieli 7:2. Katika ufunuo 17:15 malaika anaele<strong>za</strong> kwamba maji<br />

yanafanyishwa na “Watu” na makutano ya mataifa na lugha”. Upepo ni mfano wa<br />

mashindano (vita). Pepo ne zinazo shindana juu ya bahari kubwa inaonyesha matendo ya<br />

hatari ya ushindi na wapinduzi ambayo falme zilifika kwa enzi.<br />

Lakini nyama aliyekuwa na pembe mfano wa Mwana-kondoo alionekana “akipanda toka<br />

dunia.” Badala ya kuangusha mamlaka zingine na kujiimarisha mwenyewe, taifa lililokuwa<br />

mfano wake lilipaswa kupanda katika inchi isiokaliwa kwan<strong>za</strong> na likasitawi kwa amani.<br />

Linapaswa kutafutwa katika Bara kuu la Magaribi.<br />

Ni taifa gani la Dunia Mpya lilikuwa katika mwaka 1798 likipanda kwa nguvu, kutoa<br />

ahadi ya nguvu, na kuvuta uangalifu wa dunia? Taifa moja, na ni moja tu, linalokutana na<br />

unabii huu--mataifa ya muungano ya Amerika (United States of America). Karibu sana<br />

maneno kabisa kabisa ya mwandishi mtakatifu yalitumiwa bila kufahamu kwa mwandishi<br />

wa historia katika kuele<strong>za</strong> kupanda kwa taifa. Mwandishi mashauri anasema juu ya “siri ya<br />

kutokea kwake kwa pahali patupu,” na anasema, “Kama mbegu ya kimya tunasitawi katika<br />

mamlaka.” Gazeti la Ulaya katika mwaka 1850 linaele<strong>za</strong> juu ya Amerika “kutokea” na<br />

“katika utulivu wa inchi siku kwa siku kuonge<strong>za</strong> kwa uwezo wake na kiburi.”<br />

184

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!