21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Zahabu safi ya upendo wa wanafunzi kwa ajili ya Yesu ilichanganyika na msingi wa<br />

tamaa mbaya ya choyo. Maono yao yalivutwa na kiti cha ufalme, taji, na utukufu. Kiburi<br />

chao cha moyo, kiu cha utukufu wa kidunia, vikawaongo<strong>za</strong> kupita bila kujali maneno ya<br />

Mwokozi ya kuonyesha asili ya kweli ya ufalme wake, na kuonyesha <strong>za</strong>idi kifo chake.<br />

Makosa haya yaliishia kwa jaribio ambalo liliruhusiwa kwa ajili ya kusahihishwa kwao.<br />

Kwa wanafunzi ilikuwa ni kutolewa Habari Njema ya utukufu ya Bwana wao aliyefufuka.<br />

Kuwatayarisha kwa kazi hii, maarifa ambayo yalionekana machungu sana yaliruhusiwa.<br />

Baada ya kufufuka kwake Yesu akajionyeshea kwa wanafunzi wake njiani kwenda<br />

Emausi, na, “akawaelezea maana ya maneno yote yaliyo andikwa juu yake.” Ilikuwa kusudi<br />

lake kuka<strong>za</strong> imani yao juu ya “neno la kweli la unabii.” (Luka 24:27; 2 Petro 1:19). Si kwa<br />

ushuhuda wake mwenyewe tu, bali kwa mambo ya unabii wa Agano la Kale. Na kama hatua<br />

ya kwan<strong>za</strong> kabisa katika kutoa maarifa haya, Yesu akaongo<strong>za</strong> wanafunzi kwa “Musa na<br />

manabii wote” wa Maandiko ya Agano la Kale.<br />

Kutoka kwa Kukata Tamaa na Kuelekea Uhakikisho Tumaini<br />

Kwa namna kamilifu <strong>za</strong>idi kuliko wakati wote wa mbele wanafunzi walikuwa<br />

“wamemwona, yule ambaye Musa katika sheria, na manabii, waliandika, juu yake.”<br />

Mashaka, kukata tamaa, yakatoa nafasi kwa uhakikisho, kwa imani isiyokuwa na wingu.<br />

Walipita katika jaribio kubwa lisiloawezekana na waliona namna gani neno la Mungu<br />

lilipata ushindi kwa kutimilika. Toka sasa na kuendelea nikitu gani kingewe<strong>za</strong> kutisha imani<br />

yao? Katika huzuni kali <strong>za</strong>idi walipata “faraja yenye nguvu”, tumaini lililokuwa kama<br />

“nanga ya roho, vyote viwili kweli na kusimama imara.” Waeb. 6:18, 19.<br />

Asema Bwana: “Watu wangu hawatapatishwa haya kamwe.” “Kilio kinakawia kwa<br />

usiku, lakini furaha asubui.” Yoeli 2:26; Zaburi 30:5. Kwa siku ya kufufuko kwake<br />

wanafunzi hawa wakakutana na Mwokozi, na mioyo yao ikawaka ndani yao walipokuwa<br />

wakisikili<strong>za</strong> maneno yake. Kabla ya kupanda kwake, Yesu akawaagi<strong>za</strong>, “Kwendeni katika<br />

duniani pote, mukahubiri Habari Njema,” akaonge<strong>za</strong> “Na ta<strong>za</strong>ma, mimi ni pamoja nanyi<br />

siku zote.” Marko 16:15; Matayo 28:20. Kwa siku ya Pentekote Mufariji aliyeahidiwa<br />

akashuka, na roho <strong>za</strong> waaminifu zikasisimka na kwa kuona kuwapo kwa Bwana wao<br />

aliyepanda (mbinguni).<br />

Ujumbe wa Wanafunzi Ulilinganishwa na Ujumbe wa 1844<br />

Maarifa ya wanafunzi kwa kuja kwa mara ya kwan<strong>za</strong> kwa Kristo yalikuwa na sehemu<br />

yake katika maarifa ya wale waliotanga<strong>za</strong> kuja kwake kwa mara ya pili. Kama vile<br />

wanafunzi walivyohubiri, “Wakati umetimia, ufalme wa Mungu ni karibu,’‘ vilevile Miller<br />

na washiriki wake walitanga<strong>za</strong> kwamba mda wa unabii wa mwisho katika Biblia ulikuwa<br />

karibu kuisha, kwamba hukumu ilikuwa karibu, na kwamba ufalme wa milele ulipashwa<br />

kuingizwa. Mahubiri ya wanafunzi kwa habari ya nyakati yalisimamia juu ya majuma<br />

makumi saba ya Danieli 9. Ujumbe uliotolewa na Miller na washiriki wake ulitanga<strong>za</strong><br />

144

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!