21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

akaita makutano huko Augsburg. Akatanga<strong>za</strong> kusudi lake kwa kuongo<strong>za</strong> mwenyewe.<br />

Waongozi wa Kiprotestanti wakaitwa.<br />

Mchaguzi wa Saxony akashurutishwa na washauri wake asionekane kwa makutano: “Je,<br />

hivyo si kujihatarisha kwa kwenda kwa kila kitu na kujifungia ndani ya kuta <strong>za</strong> muji pamoja<br />

na adui wenye nguvu?” Lakini wengine wakamwambia kwa uhodari “Acha watawala tu<br />

wapatane wao wenyewe na uhodari na hoja ya Mungu itaokoka.” “Mungu ni mwaminifu:<br />

hatatuacha,” akasema Luther. Mchaguzi akashika safari kwenda Augsburg. Wengi<br />

wakaenda kwenye mkutano na uso wa huzuni na moyo wa taabu. Lakini Luther<br />

aliyewasindiki<strong>za</strong> hata Coburg, akaamsha imani yao kwa kuimba wimbo ulioandikwa<br />

walipokuwa safarini, “ngome yenye uwezo ndiye Mungu wetu’. Mioyo nyingi yenye uzito<br />

ikawa nyepesi kwa sauti <strong>za</strong> juhudi <strong>za</strong> kutia moyo.<br />

Watawala walioongoka wakakusudia kuwa na maelezo ya maono yao, pamoja na<br />

ushuhuda kutoka kwa Maandiko, ya kuonyesha mbele ya mkutano. Kazi ya matayarisho<br />

yake ikapewa Luther, Melanchton na washiriki wao. Ungamo hili likakubaliwa na<br />

Waprotestanti, na wakakusanyika kwa kutia majina yao kwa maandiko ya mapatano.<br />

Watengene<strong>za</strong>ji walitamani <strong>za</strong>idi bila kuchanganisha hoja yao na maswali ya siasa. Kama<br />

vile watawala Wakikristo waliendelea kutia sahihi ya ungamo, Melanchton akaingia kati, na<br />

kusema, “Ni kwa wachunguzi wa mambo ya dini na wahubiri kwa kutoa shauri la mambo<br />

haya; tuchunge maoni mengine kwa ajili ya mamlaka ya wakuu wa inchi.” “Mungu<br />

anakata<strong>za</strong>” akajibu Jean wa Saxony, “Kwamba mgenitenga. Ninakusudia kutenda yaliyo<br />

haki, bila kujihangaisha mimi mwenyewe juu ya taji langu. Natamani kuungama Bwana.<br />

Kofia yangu ya uchaguzi na ngozi ya mapendo ya wahukumu si vya damani kwangu kama<br />

msalaba wa Yesu Kristo.” Akasema mwengine katika watawala alipochukua kalamu,<br />

“Kama heshima ya Bwana wangu Yesu Kristo huidai, niko tayari ... kuacha mali na maisha<br />

yangu nyuma.” “Tafa<strong>za</strong>li ningekataa mambo yangu na makao yangu, <strong>za</strong>idi kutoka inchini<br />

mwa baba <strong>za</strong>ngu na fimbo mkononi,” akaendelea, “kuliko kukubali mafundisho mengine<br />

mbali na ambayo yanayokuwa katika ungamo hili.”<br />

Wakati ulioagizwa ukafika. Charles V, akazungukwa na wachaguzi na watawala,<br />

akakubali kuonana na Watengene<strong>za</strong>ji wa Waprotestanti. Katika mkutano tukufu ule mambo<br />

ya kweli ya injili yakatangazwa wazi wazi na makosa ya kanisa la Papa yakaonyeshwa. Siku<br />

ile ikatangazwa “siku kubwa sana ya Matengenezo, na siku mojawapo ya utukufu katika<br />

historia ya Kikristo na ya wanadamu.”<br />

Mtawa wa Wittenberg akasimama peke yake huko Worms. Sasa mahali pake kukawa<br />

watawala hodari kuliko wa ufalme. “Ninafurahi sana,” Luther akaandika, “kwamba nimeishi<br />

hata kwa wakati huu, ambao Kristo ametukuzwa wazi wazi na mashahidi bora kama hawa,<br />

na katika mkutano tukufu sana.” Ujumbe ambao mfalme alioukata<strong>za</strong> kuhubiriwa kwa<br />

mimbara ukatangazwa kwa jumba lake la kifalme. Maneno ambayo wengi waliifikiri kama<br />

yasiyofaa hata mbele ya watumikaji, yalisikiwa kwa mshangao na mabwana wakubwa na<br />

82

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!