21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mambo yote ya ukaidi wa choyo iliyofichwa yamefunuliwa katika vitabu vya mbinguni.<br />

Mara ngapi wakati, mawazo, na nguvu zinazokuwa <strong>za</strong> Kristo zilitolewa kwa Shetani.<br />

Wafuasi wa Kristo wanashughulika katika upataji wa mali ya kidunia ao furaha ya anasa ya<br />

ulimwengu. Mali, wakati, na nguvu zinatumiwa kwa maonyesho na anasa; nyakati <strong>za</strong> bidii<br />

kwa kuomba ni chache, kwa kutafuta Maandiko, kuungama <strong>za</strong>mbi.<br />

Shetani anavumbua mashauri mengi yasiyohesabika kwa kutumia mawazo yetu.<br />

Mdanganyi mkubwa anachukia mambo makubwa ya kweli yale yanayoonyesha kafara ya<br />

upatanisho na Mpatanishi hodari. Kwake kila kitu kinategemea juu ya kugeu<strong>za</strong> mawazo<br />

kutoka kwa Yesu.<br />

Wale wanaowe<strong>za</strong> kugawa faida ya upatanisho wa Mwokozi hawapaswi kuruhusu kitu<br />

cho chote kujiingi<strong>za</strong> kwa shughuli yao kukamilisha utakatifu katika kumcha Mungu. Saa <strong>za</strong><br />

damani, badala ya kuzitoa kwa anasa ao kwa kutafuta faida, zinapashwa kutolewa kwa<br />

kujifun<strong>za</strong> katika maombi kwa Neno la Kweli. Pahali patakatifu na hukumu ya uchunguzi<br />

vinapaswa kufahamiwa wazi. Wote wanahitaji ujuzi wa cheo na kazi ya Kuhani wao Mkuu.<br />

Kama sivyo itakuwa haiwezekani kutumia kanuni ya imani kwa wakati huu.<br />

Mahali patakatifu huko mbinguni ndipo pahali Kristo anaweka shabaha ya kazi kwa ajili<br />

ya wanadamu. Hii ni kwa kila roho inayoishi duniani. Inafungua kwa maoni mpango wa<br />

wokovu, kutuleta chini kwakufungwa kwa kukataa kati ya ukamilifu na <strong>za</strong>mbi.<br />

Maombezi ya Kristo<br />

Maombezi ya Kristo kwa ajili ya mtu katika Pahali patakatifu kule juu ni lazima kwa<br />

mpango wa wokovu kama ilivyokuwa na kifo chake msalabani. Kwa njia ya kifo chake<br />

akaan<strong>za</strong> kazi ile ambayo aliyopandia kwa kuitimi<strong>za</strong> mbinguni. Kwa imani inatupasa kuingia<br />

ndani ya pazia, “pahali alipoingia Yesu kwa ajili yetu.” Waebrania 6:20. Hapo nuru kutoka<br />

kwa msalaba imerudushwa. Hapo tunapata mwanga<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi juu ya siri <strong>za</strong> ukombozi.<br />

“Yeye anayefunika <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke hatasitawi: Lakini yeye anayezikiri na kuziacha atapata<br />

rehema.” Me<strong>za</strong>li 28:13. Kama wale wanaoachilia (ruhusu) makosa yao wangaliwe<strong>za</strong> kuona<br />

namna gani Shetani anavyolaumu Kristo kwa maisha yao, wangeungama <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o na<br />

kuziacha. Shetani anatumika apate utawala wa moyo wote, na anajua ya kuwa kama mawaa<br />

yanafurahiwa, atashinda. Kwa hiyo anatafuta daima kudanganya wafuasi wa Kristo kwa<br />

werevu wake wa mauti ambao haiwezekani kwao kuushinda. Lakini Yesu alisema kwa wote<br />

wanaowe<strong>za</strong> kumfuata: “Neema yangu inafaa kwako.” “Nira yangu ni laini, na mzigo wangu<br />

ni mwepesi.” 2 Wakorinto 12:9; Matayo 11:30. Hebu kusiwe watu wo wote ku<strong>za</strong>nia makosa<br />

yao kama siyakuponyeka. Mungu atatoa imani na neema kwa kushinda.<br />

Sasa tunaishi katika siku kubwa ya upatanisho. Wakati kuhani mkuu alipokuwa akifanya<br />

upatanisho kwa ajili ya Israeli, wote walilazimishwa kuhuzunisha roho <strong>za</strong>o kwa toba ya<br />

<strong>za</strong>mbi. Kwa namna ileile, wote wanaotaka majina yao kudumu katika kitabu cha uzima<br />

wanapashwa sasa kuhuzunisha roho <strong>za</strong>o mbele ya Mungu kwa toba ya kweli. Hapo<br />

205

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!