21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Je, wale ambao mioyo yao imejazwa na uchuki kwa Mungu, kwa kweli na kwa<br />

utakatifu, wanawe<strong>za</strong> kuchanganyika pamoja na makutano ya mbinguni na kujiunga katika<br />

nyimbo <strong>za</strong>o <strong>za</strong> sifa? Miaka ya rehema ilitolewa kwao, lakini hawakuzoe<strong>za</strong> moyo wao<br />

kupenda usafi. Hawakujifun<strong>za</strong> kamwe lugha ya mbinguni. Sasa ni kuchelewa.<br />

Maisha ya maasi kumpinga Mungu haikuwastahilisha kwa mbinguni. Usafi wake na<br />

amani yangekuwa ni mateso kwao; utukufu wa Mungu ungekuwa moto unaotekete<strong>za</strong>.<br />

Wangetamani sana kukimbia kutoka mahali pale patakatifu na wangekaribisha vizuri<br />

maangamizi, ili waweze kufichwa kutoka usoni pake yeye aliyekufa kwa kuwakomboa.<br />

Mwisho wa waovu anaimarishwa kwa uchaguzi wao wenyewe. Kufukuzwa kwao kutoka<br />

mbinguni ni kwa kujichagulia wao wenyewe na ni haki na rehema kwa upande wa Mungu.<br />

Kama maji ya Garika mioto ya siku kuu inatanga<strong>za</strong> hukumu ya Mungu kwamba hakuna<br />

dawa ya waovu. Mapenzi yao imetumiwa katika maasi. Wakati uzima unapoisha, ni<br />

kuchelewa sana kugeu<strong>za</strong> mawazo yao kutoka kwa uasi hata wa utiifu, kutoka kwa uchuki<br />

hata kwa mapendo.<br />

Mshahara wa Zambi<br />

“Kwa maana mshahara wa <strong>za</strong>mbi ni mauti, lakini <strong>za</strong>wadi ya Mungu ni uzima wa milele<br />

katika Yesu Kristo Bwana wetu.” Wakati ambao uzima ni uriti wa wenye haki, mauti ni<br />

sehemu ya waovu. “Mauti ya pili” inawekwa kinyume na uzima wa milele. Waroma 6:23;<br />

ta<strong>za</strong>ma Ufunuo 20:14.<br />

Kwa matokeo ya <strong>za</strong>mbi ya Adamu, mauti imewekwa juu ya u<strong>za</strong>o wote wa wanadamu.<br />

Wote sawasawa huenda chini kaburini. Na kwa njia ya mpango wa wokovu, wote<br />

wanapashwa kuletwa kutoka kwa makaburi yao: “kutakuwa ufufuo wa wafu, wote wenye<br />

haki na wasio haki pia.” “Kwa sababu kama katika Adamu wote wanakufa, hivyo wote<br />

katika Kristo watafanywa wahai.” Lakini tofauti imefanywa kati ya makundi mawili<br />

inayoletwa: “Wote walio katika makaburi watasikia sauti yake, nao watatoka; wale<br />

waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliofanya mabaya, kwa ufufuo wa<br />

hukumu.” Matendo 24:15; 1 Wakorinto 15:22; Yoane 5:28,29.<br />

Ufufuo wa Kwan<strong>za</strong><br />

Wale “wanaohesabiwa kuwa wamestahili” kwa ufufuo wa kwan<strong>za</strong> ni “heri na<br />

Watakatifu”. “Juu ya hawa mauti ya pili haina nguvu.” Luka 20:35; Ufunuo 20:6. Lakini<br />

wale wasiopata msamaha kwa njia ya toba na imani wanapaswa kupokea “mishahara ya<br />

<strong>za</strong>mbi,” a<strong>za</strong>bu “kufwatana na matendo yao,” kuishi katika “mauti ya pili.”<br />

Kwani ni jambo lisilowezekana kwa Mungu kuokoa mwenye <strong>za</strong>mbi katika <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke,<br />

anamwondolea maisha yake ambayo makosa ilinyanganya na ambaye amejionyesha<br />

mwenyewe kwamba hastahili. ” Maana bado kidogo na mwovu hatakuwa; ndiyo utafikiri<br />

sana pahali pake, naye hatakuwa,” “Na watakuwa kama hawakuwa mbele.” Zaburi 37:10;<br />

Obadia 16. Wana<strong>za</strong>ma katika usahaulifu usiokuwa na matumaini ya milele.<br />

227

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!