21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 26. Washujaa kwa Ajili ya <strong>Ukweli</strong><br />

Matengenezo juu ya sabato katika siku <strong>za</strong> mwisho yametabiriwa katika Isaya: “Bwana<br />

anasema hivi: Shikeni hukumu, na mufanye haki; kwa sababu wokovu wangu ni karibu<br />

kuja, na haki yangu kufunuliwa. Heri mtu anayefanya maneno haya, na mwana wa mtu<br />

anayeyashika sana; anayeshika sabato asizivunje, anayezui<strong>za</strong> mkono wake usifanye uovu<br />

wo wote... Vilevile wana wa mgeni, wanaojiunga na Bwana, kumutumikia, na kupenda jina<br />

la Bwana, kuwa watumishi wake, yeyote anayeshika sabato asiivunje, na kushika sana<br />

agano langu; hata wale nitawaleta kwa mlima wangu mtakatifu, na kuwafurahisha katika<br />

nyumba yangu ya maombi.” Isaya 56:1,2,6,7.<br />

Maneno haya yanaelekea kwa wakati wa kikristo, kama inavyoonyeshwa kwa maneno<br />

(mstari 8). Hapa ni kuonyesha mbele mkusanyiko wa Mataifa kwa njia ya habari njema,<br />

wakati watumishi wake wanapohubiri kwa mataifa yote habari <strong>za</strong> furaha.<br />

Bwana anaamuru, “Tia muhuri juu ya sheria katikati ya wanafunzi wangu.: Isaya 8:16.<br />

Muhuri wa sheria ya Mungu unapatikana katika amri ya ine. Hii tu, ya amri zote kumi,<br />

inayoleta maoni ya jina na anwani ya Mutoa sheria. Wakati Sabato ilipogeuzwa kwa<br />

mamlaka ya Papa (kanisa la Roma), muhuri uliondolewa kutoka kwa sheria. Wanafunzi wa<br />

Yesu wanaitwa kwa kuurudisha kwa kuinua Sabato kama ukumbusho wa Muumba na alama<br />

ya mamlaka yake.<br />

Agizo limetolewa: “Piga kelele, usiache, pandisha sauti yako kama baragumu, uhubiri<br />

watu wangu kosa lao.” Wale ambao Bwana anawataja kama “watu wangu” wanapaswa<br />

kukaripiwa kwa ajili ya makosa yao, kundi linalojifikiri wao wenyewe kuwa la haki katika<br />

kazi ya Mungu. Lakini kemeo la upole la mwenye kutafuta mioyo linawashuhudia kuvunja<br />

amri <strong>za</strong> Mungu. Isaya 58:1,2.<br />

Kwa hiyo nabii anaonyesha amri ambayo iliyoachwa: “Utanyanyulisha misingi ya vi<strong>za</strong>zi<br />

vingi; nawe utaitwa, Mwenye kutengene<strong>za</strong> pahali pa kubomoka; Mwenye kurudisha njia <strong>za</strong><br />

kukalia. Kama ukigeu<strong>za</strong> mguu wako kutoka katika Sabato, usifanye mapenzi yako katika<br />

siku yangu takatifu na kuita sabato siku ya furaha, siku takatifu ya Bwana, yenye heshima;<br />

kama ukiiheshimu, pasipo kufuata njia <strong>za</strong>ko mwenyewe, wala kutafuta mapenzi yako<br />

mwenyewe, wala kusema maneno yako mwenyewe; ndipo utajifurahisha katika Bwana.”<br />

Isaya 58:12-14.<br />

“Tundu” lilifanywa katika sheria ya Mungu wakati Sabato ilipogeuzwa kwa mamlaka ya<br />

Roma. Lakini wakati umefika kwa tundu kutengenezwa.<br />

Sabato ilishikwa na Adamu katika usafi wake katika Edeni; na Adamu, aliyeanguka<br />

lakini akatubu, wakati alipofukuzwa kwa shamba ao cheo chake. Ilishikwa na mababa wote<br />

tangu Abeli hata Noa, kwa Abrahamu, hata Yakobo. Wakati Bwana alipookoa Israeli,<br />

akatanga<strong>za</strong> sheria yake kwa makutano.<br />

190

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!