21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Upendo ukatawala sana. Mafundisho haya yangefanya vile kwa wote, kama wote<br />

wangelikubali.<br />

Wahuduma, ambao kama walinzi walipashwa kuwa wa kwan<strong>za</strong> kutambua dalili <strong>za</strong> kuja<br />

kwa Yesu, walishindwa kujifun<strong>za</strong> ukweli kutoka kwa manabii ao kwa ishara <strong>za</strong> wakati.<br />

Upendo kwa Mungu na imani katika Neno lake vikapunguka, na mafundisho juu ya kurudi<br />

kwa kristo ikaamsha tu kutokuamini kwao. Kama kwa <strong>za</strong>mani ushuhuda wa Neno la Mungu<br />

ukakutana na swali: “Nani katika wakubwa ao Wafarisayo aliyemwamini?” Yoane 7:48.<br />

Wengi walipinga majifunzo ya unabii, kufundisha kwamba vitabu vya unabii vilitiwa<br />

muhuri na havikuwa vya kufahamika. Makundi, kwa kutumainia wachungaji wao,<br />

wakakataa kusikili<strong>za</strong>; na wengine, ingawa walisadikishwa na ukweli, hawakusubutu kukiri<br />

ili wasipate “kutoshzwa katika sunagogi.” Yoane 9:22. Ujumbe Mungu alioutuma kwa<br />

kujaribu kanisa ulionyesha namna gani watu walikuwa wengi waliotia mapendo yao kwa<br />

dunia hii kuliko kwa Kristo.<br />

Kukataa maonyo ya malaika wa kwan<strong>za</strong> kulisababisha na hali ya kutisha ya tabia ya<br />

kupenda anasa ya kidunia, kuacha dini, na mauti ya kiroho ambayo yalikuwa katika<br />

makanisa katika mwaka 1844.<br />

Ujumbe wa Malaika wa Pili<br />

Katika Ufunuo 14 malaika wa kwan<strong>za</strong> amefuatwa na wa pili, kutanga<strong>za</strong>, “Umeanguka,<br />

umeanguka, Babeli mji ule mkubwa, kwani umefanya mataifa yote kunywa mvinyo ya<br />

ga<strong>za</strong>bu ya uasherati wake.” Ufunuo 14:8. Neno “Babeli” lilitoka kwa “Babel,” na maana<br />

yake ni machafuko. Katika Maandiko inaonyesha namna mbalimbali ya dini ya uongo ao<br />

ukufuru wa dini. Katika Ufunuo 17 Babeli inafananishwa kama mwanamke--mfano<br />

uliotumiwa katika Biblia kama mfano wa kanisa, mwanamke mwema hufananishwa na<br />

kanisa safi; mwanamke mwovu ni kama kanisa lililokufuru.<br />

Katika Biblia ushirika kati ya Kristo na kanisa lake unafananishwa na ndoa. Bwana<br />

anasema: “Na nitakuoa kuwa wangu kwa milele, ndiyo, nitakuoa kwa haki.” “Mimi ni mme<br />

wenu.” Na Paulo anasema: “Niliwapatanisha ninyi kwa mme mmoja, ili niletee Kristo bikira<br />

safi.” Hosea 2:19; Yeremia 3:14; 2 Wakorinto 11:2.<br />

Uzinzi wa Kiroho<br />

Kanisa, Kutokuwa na uaminifu kwa Kristo katika kuruhusu mambo ya kidunia kutawala<br />

moyo ni kama kuvunja kwa kiapo ya ndoa. Zambi ya Israeli katika kumwacha Bwana<br />

inaonyeshwa chini ya mfano huu. “Kama vile mke anavyoacha mme wake kwa<br />

udanganyifu, ndivyo mulivyonitendea mimi kwa udanganyifu, Ee nyumba ya Israeli,<br />

anasema Bwana.” “Mke wa kufanya uasherati! anayekaribisha wageni pahali pa mme<br />

wake!” Yeremia 3:20; Ezekieli 16:32.<br />

158

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!