21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Lakini mjumbe wa Roma halikukosa kuwa na matokeo. Wa<strong>za</strong>ifu na waabuduo ibada ya<br />

sanamu wakatetemeka mbele ya amri ya Papa, na wengi wakaona kwamba maisha yalikuwa<br />

ya damani sana kuhatarisha. Je, kazi ya Mtengene<strong>za</strong>ji ilikuwa karibu kwisha? Luther angali<br />

bila woga. Kwa uwezo wa kutisha akarudisha juu ya Roma yenyewe maneno ya hukumu.<br />

Mbele ya makutano ya wanainchi wa vyeo vyote Luther akachoma barua ya Papa.<br />

Akasema, “Mapigano makali yamean<strong>za</strong> sasa. Hata sasa nilikuwa nikiche<strong>za</strong> tu na Papa.<br />

Nilian<strong>za</strong> kazi hii kwa jina la Mungu; si mimi atakaye imali<strong>za</strong>, na kwa uwezo wangu.... Nani<br />

anayejua kama Mungu hakunichagua na kuniita na kama hawapashwe kuogopa hiyo, kwa<br />

kuni<strong>za</strong>rau, wana<strong>za</strong>rau Mungu Mwenyewe? ...<br />

“Mungu hakuchagua kamwe kuhani aokuhani mkuu wala mtu mkubwa yeyote; bali kwa<br />

kawaida huchagua watu wa chini na wenye ku<strong>za</strong>rauliwa, hata mchungaji kama Amosi. Kwa<br />

kila ki<strong>za</strong>zi, watakatifu walipaswa kukemea wakuu, wafalme, wana wa wafalme, wakuhani,<br />

na wenye hekima, kwa hatari ya maisha yao. ... Sisemi kwamba niko nabii; lakini nasema<br />

kwamba wanapashwa kuogopa kabisa kwa sababu niko peke yangu na wao ni wengi.<br />

Ninakuwa hakika ya jambo hili, kwamba neno la Mungu linakuwa pamoja nami, na<br />

kwamba haliko pamoja nao.”<br />

Kwani haikuwa bila vita ya kutisha kwamba yeye mwenyewe ambaye Luther aliamua<br />

juu ya kutengana kwa mwisho na kanisa: “Ee, uchungu wa namna gani iliniletea, ijapo<br />

nilikuwa na Maandiko kwa upande wangu, kuhakikisha mimi mwenyewe kwamba<br />

ningepaswa kusubutu kusimama pekee yangu kumpinga Papa, na kumutanga<strong>za</strong> kuwa kama<br />

mpin<strong>za</strong>ni wa Kristo! Mara ngapi sikujiuli<strong>za</strong> mwenyewe kwa uchungu swali lile ambalo<br />

lilikuwa mara nyingi midomoni mwa watu wa Papa: ‘Ni wewe peke yako mwenye hekima?<br />

Je, watu wote wanadanganyika? Itakuwa namna gani, kama, mwishoni wewe mwenyewe<br />

ukionekana kuwa na kosa na ni wewe anayeshawishi katika makosa yako roho nyingi kama<br />

hizo. Ni nani basi atakayehukumiwa milele? Hivi ndivyo nilipigana na nafsi yangu na<br />

Shetani hata Kristo, kwa neno lake la hakika, akaimarisha moyo wangu juu ya mashaka<br />

haya.”<br />

Amri mpya ikaonekana, kutanga<strong>za</strong> mtengano wa mwisho wa Mtengene<strong>za</strong>ji kutoka kwa<br />

kanisa la Roma, kumshitaki kama aliyelaaniwa na Mbingu, na kuweka ndani ya hukumu<br />

ilete wale watakaopokea mafundisho yake. Upin<strong>za</strong>ni ni sehemu ya wote wale ambao Mungu<br />

hutumia kwa kuonyesha ukweli zinazofaa hasa kwa wakati wao. Kulikuwa na ukweli wa<br />

sasa katika siku <strong>za</strong> Luther; kuna ukweli wa sasa kwa ajili ya kanisa leo. Lakini ukweli<br />

hautakiwe na watu wengi leo kuliko ilivyokuwa na watu wa Papa waliompinga Luther.<br />

Wale wanaoonyesha ukweli kwa wakati huu hawapaswi kuta<strong>za</strong>mia kupokewa na upendeleo<br />

mwingi <strong>za</strong>idi kuliko watengene<strong>za</strong>ji wa <strong>za</strong>mani. Vita kuu kati ya kweli na uwongo, kati ya<br />

Kristo na Shetani, itaongezeka kwa mwisho wa historia ya ulimwengu huu. Ta<strong>za</strong>ma Yoane<br />

15:19, 20; Luka 6:26.<br />

56

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!