21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ilipashwa kuja. Kristo anasema, “Lakini, usipoangalia, nitakuja kwako kama mwizi, wala<br />

hutajua saa nitakapokuja kwako.” Ufunuo 3:3.<br />

Paulo anasema kwa habari <strong>za</strong> wale waliojali onyo la Mwokozi: “Lakini ninyi ndugu, si<br />

katika gi<strong>za</strong>, hata siku ile iwapate ninyi kama mwizi: sababu ninyi wote ni wana wa nuru, na<br />

wana wa mchana.” 1 Watesalonika 5:2-5.<br />

Lakini wale waliotamani sababu ya kukataa kweli wakafunga masikio yao kwa maelezo<br />

haya, na maneno “Hakuna mtu anayejua siku ao saa” yakaendelea kukaririwa na watu wa<br />

<strong>za</strong>rau na hata wanaojidai kuwa wahubiri wa Kristo. Wakati watu walipoan<strong>za</strong> kuuli<strong>za</strong> njia ya<br />

wokovu, walimu wa dini wakajitia kati yao na ukweli kwa kufasiri kwa uongo Neno la<br />

Mungu.<br />

Waaminifu <strong>za</strong>idi katika makanisa walikuwa kwa kawaida wa kwan<strong>za</strong> kupokea habari.<br />

Mahali ambapo watu hawakuwa wakiongozwa na wapadri, mahali ambapo wangewe<strong>za</strong><br />

kutafuta Neno la Mungu wao wenyewe, mafundisho ya kurudi yalihitaji tu kulinganishwa<br />

pamoja na Maandiko juu ya kuimarisha mamlaka yake ya kimungu.<br />

Wengi waliongozwa vibaya na waume, wake, wa<strong>za</strong>zi, ao watoto na walifanywa kuamini<br />

jambo hili kama <strong>za</strong>mbi hata kwa kusikili<strong>za</strong> mambo ya “uzushi”ya namna hiyo kama<br />

iliyofundishwa na Waadventisti. Malaika waliagi<strong>za</strong> kuwa na ulinzi aminifu juu ya roho hizi,<br />

kwa maana nuru ingine ilipaswa kuanga<strong>za</strong> juu yao kutoka kwa kiti cha Mungu.<br />

Wale waliokubali habari walingojea kuja kwa Mwokozi wao. Wakati ambao<br />

walita<strong>za</strong>mia kukutana naye ulikuwa karibu. Wakakaribisha saa hii kwa utulivu wa heshima.<br />

Hakuna aliyekuwa na maarifa hii anayewe<strong>za</strong> kusahau saa hizo <strong>za</strong> tamani <strong>za</strong> kungoja. Kwa<br />

maana juma chache mbele ya wakati ule, kazi ya kidunia kwa sehemu kubwa iliwekwa<br />

pembeni. Waaminifu wa kweli kwa uangalifu wakachungu<strong>za</strong> mioyo yao kama kwamba<br />

katika saa chache kufunga macho yao kwa maono ya kidunia. Hapo hapakuwa kushona<br />

“mavazi ya kupanda nayo” (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo), lakini wote wakasikia haja ya ushuhuda<br />

wenyewe kwamba walikuwa wakijitayarisha kuonana na Mwokozi. Mavazi yao meupe<br />

yalikuwa usafi wa roho--tabia zilizotakaswa na damu ya kafara ya Kristo. Hebu kwamba<br />

kungekuwa vivyo na watu wa Mungu na moyo wa namna moja wa kuchungu<strong>za</strong>, imani<br />

yenye juhudi.<br />

Mungu alitaka kuonyesha watu wake. Mkono wake ulifunika kosa katika kuhesabu<br />

nyakati <strong>za</strong> unabii. Wakati wa kuta<strong>za</strong>mia ule ukapita, na Kristo hakuonekana. Wale<br />

waliota<strong>za</strong>mia Mwokozi wao wakajua uchungu mkali. Lakini Mungu alikuwa akichungu<strong>za</strong><br />

mioyo ya wale waliojidai kungoja kuonekana kwake. Wengi waliongozwa kwa hofu. Watu<br />

hawa wakatanga<strong>za</strong> kwamba hawakuamini kamwe kwamba Kristo atakuja. Walikuwa<br />

miongoni mwa wa kwan<strong>za</strong> kuchekelea huzuni ya waamini wa kweli.<br />

Lakini Yesu na jeshi lote la mbinguni walita<strong>za</strong>mia kwa upendo na huruma juu ya<br />

waaminifu ijapo walikuwa wenye kukatishwa tamaa. Kama kifuniko kinachotenga dunia na<br />

154

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!