21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

utaratibu (kiasi). Watu waliotendewa vibaya wakakusudia kulipi<strong>za</strong> kisasi wao wenyewe.<br />

Walioonewa wakatumia fundisho walilojifun<strong>za</strong> chini ya uonevu na wakawa watesi wa wale<br />

waliowatesa.<br />

Ufransa ukavuna katika damu mavuno ya utii wake kwa Roma. Mahali Ufransa, chini ya<br />

Kanisa la Roma, uliweka tita (kigingi) la kwan<strong>za</strong> kwa mwanzo wa Matengenezo, hapo<br />

Mapinduzi yakaweka mashini yake ya kukata watu vichwa ya kwan<strong>za</strong>. Ni mahali pale<br />

ambapo, kwa karne ya kumi na sita, wafia dini wa kwan<strong>za</strong> wa imani ya Kiprotestanti<br />

walichomwa, watu wa kwan<strong>za</strong> walikatwa vichwa kwa karne ya kumi na mnani. Wakati amri<br />

<strong>za</strong> sheria ya Mungu ziliwekwa pembeni, taifa likaingia katika gi<strong>za</strong> na machafuko ya mambo<br />

ya utawala. Vita juu ya Biblia katika historia ya ulimwengu ikajulikana kwa jina la Utawala<br />

wa hofu kuu. Yeye aliyeshinda leo akahukumiwa kesho yake.<br />

Mfalme, waongozi wa dini, na wakuu wakalazimishwa kujiweka chini ya mambo ya<br />

mabaya ya watu wenye wazimu. Wale walioamuru kifo cha mfalme mara wakamfuata kwa<br />

jukwaa. Machinjo makubwa ya wote walio<strong>za</strong>niwa kuwa na uchuki kwa Mapinduzi<br />

yakakusudiwa. Ufransa ukawa shamba kubwa la mabishano, yaliyowayawaya kwa hasira<br />

kali ya tamaa. “Katika Paris,fujo ikafuata fujo ingine, na wakaaji wakajitenga katika<br />

machafuko ya fitina, yaliyoonekana yenye bidii si kwa kitu kingine bali kusudi moja. ...<br />

Inchi ilikuwa karibu kushindwa, majeshi yalikuwa yakifanya fujo kwa ajili ya deni ya<br />

malipo, wakaaji wa Paris walikuwa na njaa, mitaa ikaangamizwa na wanyanganyi, na<br />

utamaduni na maendeleo vilikuwa karibu kukomeshwa katika machafuko ya mambo ya<br />

utawala na upotovu.”<br />

Kwa yote haya watu wakajifun<strong>za</strong> mafundisho ya ukali na mateso ambayo Roma<br />

ilifundisha kwa nguvu sana. Haikuwa sasa wanafunzi wa Yesu waliokokotwa kwa kigingi.<br />

Ni Zamani walikuwa ao kuchinjwa wala kulazimishwa kujihamisha. “Damu ya wapadri<br />

ilitiririka juu ya majukwaa. Majahazi na gere<strong>za</strong>, <strong>za</strong>mani zilikuwa zikijaa na Wahuguenots,<br />

yakajaa sasa na watesi wao. Wakafungiwa na minyororo kwa viti vyao na kukokota kwa<br />

gasia, wapadri wa Katoliki wa Roma wakajua misiba ile yote ambayo kanisa lao lilipatisha<br />

kwa bure kabisa juu ya wazushi wapole.” (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.)<br />

“Ndipo siku zile zikaja ... wakati wapelelezi walijificha kwa kila pembe; wakati mashine<br />

ya kukatia vichwa ilikuwa ndefu na ya nguvu kwa kazi kila asubuhi: wakati magere<strong>za</strong><br />

zikijaa kama kiwanja kama chumba cha chini cha merikebu ya watumwa; wakati damu na<br />

uchafu vikawa kama pofu na kutiririka katika mifereji ya mabati hata mto seine” ... mistari<br />

mirefu ya watumwa yalisukumwa chini kwa marisaa makubwa. Matundu yalifanywa katika<br />

upande wa chini wa mashua kubwa iliosongana. ... Hesabu ya vijana wanaume na<br />

wanawake wa miaka kumi na saba waliuawa kwa serekali ile mbaya sana, inajulikana kuwa<br />

mamia. Watoto wachanga waliotengwa kwa kifua cha mama wakarushwa kutoka kwa<br />

mkuki na kwa mkuki mwengine kwa cheo cha wa Jacobins.” (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.)<br />

114

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!