21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Hapa ni uvumilivu wa watakatifu wanaoshika amri <strong>za</strong> Mungu, na imani ya Yesu.” Ufunuo<br />

14:7,12.<br />

Kwa kujitayarisha kwa hukumu, watu wanapashwa kushika sheria ya Mungu, kipimo<br />

cha tabia katika hukumu. Paulo anasema: “Wote waliokosa wakiwa na sheria,<br />

watahukumiwa kwa sheria, ... katika siku ile Mungu atakapohukumu siri <strong>za</strong> watu ... kwa<br />

Yesu Kristo.” “Wale wanaotenda sheria watakaohesabiwa haki.” Imani ina maana sana ili<br />

kushika sheria ya Mungu; kwani “pasipo imani haiwezekani kumupende<strong>za</strong>.” “Kila tendo<br />

lisilotoka katika imani ni <strong>za</strong>mbi.” Waroma 2:12-16; Waebrania 11:6; Waroma 14:23.<br />

Malaika wa kwan<strong>za</strong> aliita watu kwa “kuogopa Mungu, na kumutuku<strong>za</strong>” na kumwabudu<br />

yeye aliyefanya mbingu na dunia. Kwa kufanya hii, wanapaswa kutii sheria yake. Bila kutii<br />

hakuna ibada inayowe<strong>za</strong> kupende<strong>za</strong> Mungu. “Kwa maana kupenda Mungu ni kushika amri<br />

<strong>za</strong>ke.” 1 Yoane 5:3; Ta<strong>za</strong>ma Me<strong>za</strong>li 28:9.<br />

Mwito kwa Kuabudu Muumba<br />

Wajibu kwa kuabudu Mungu unaimarishwa juu ya kweli kwamba yeye ni Muumba.<br />

“Kujeni, tuabudu na kuinama; Tupige magoti mbele ya Bwana mwenye kutuumba.” Zaburi<br />

95:6; Ta<strong>za</strong>ma Zaburi 95:5; Zaburi 100:3; Isaya 40:25,26; 45:18.<br />

Katika Ufunuo 14, watu wameitwa kuabudu Muumba na kushika amri <strong>za</strong> Mungu.<br />

Mojawapo ya amri hizi inaonyesha kwa Mungu kama Muumba: “Siku ya saba ni sabato<br />

kwa Bwana Mungu wako: ... Maana kwa siku sita Bwana akafanya mbingu na inchi, bahari<br />

na vyote vilivyo ndani yake, akapumzika siku ya saba. Kwa hivi Bwana akabariki siku ya<br />

sabato na kuitakasa.” Kutoka 20:10,11. Sabato, Bwana anasema, ni “alama, ... mujue ya<br />

kuwa mimi ni Bwana Mungu wenu.” Ezekieli 20:20. Kama Sabato ingeshikwa kwa wote,<br />

mtu angewe<strong>za</strong> kuongozwa kwa Muumba kama jambo la kuabudu. Hapo hapangalikuwa<br />

kamwe mwabudu sanamu, asiyesadiki (Mungu), wala kafiri. Kushika Sabato ni alama ya<br />

uaminifu kwa “yeye aliyefanya mbingu na dunia na bahari na chemchemi <strong>za</strong> maji.” Ujumbe<br />

unaoagi<strong>za</strong> watu kuabudu Mungu na kushika amri <strong>za</strong>ke utawaita kwa kipekee muwaite<br />

kushika amri ya ine.<br />

Katika tofauti kuwa wale wanaoshika amri <strong>za</strong> Mungu na imani ya Yesu, malaika wa tatu<br />

anaonyesha kwa kundi lingine: “Mtu akiabudu nyama na sanamu yake, na kupokea chapa<br />

katika kipaji cha uso wake, ao katika mkono wake, yeye atakunywa mvinyo ya ga<strong>za</strong>bu ya<br />

Mungu.” Ufunuo 14:9,10. Ni nini inayokuwa mfano wa nyama, sanamu, chapa?<br />

Unabii ambamo mifano hii inapatikana unaan<strong>za</strong> kwa Ufunuo 12. Joka yule aliyetafuta<br />

kuharibu Kristo kwa ku<strong>za</strong>liwa kwake ilisemwa kuwa Shetani (Ufunuo 12:9); akavuta<br />

Herode kuua Mwokozi. Lakini mjumbe wa Shetani katika kufanya vita juu ya Kristo na<br />

watu wake kwa karne <strong>za</strong> kwan<strong>za</strong> ilikuwa ufalme wa Roma, ambamo upagani ulikuwa ni<br />

dini iliyoshinda. Kwa hiyo joka ni, kwa namna ya pili, mfano wa Roma ya kipagani.<br />

183

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!