21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Po pote kwa jeshi lisilohesabika la waliokombolewa kila jicho limekazwa kwa Yesu.<br />

Kila jicho linata<strong>za</strong>ma utukufu wake ambaye “uso wake ulikuwa umeharibiwa sana <strong>za</strong>idi ya<br />

mtu ye yote, na sura yake <strong>za</strong>idi ya watoto wa watu”. Isaya 52:14. Juu ya vichwa vya<br />

washindaji Yesu anaweka taji ya utukufu. Kwani kila mmoja kule kunataji ambalo lina “jina<br />

jipya” lake mwenyewe (Ufunuo 2:17) na mwandiko “Utakatifu kwa Bwana”. Katika kila<br />

mkono kumewekwa tawi la ngazi la ushindi na kinubi chenye kungaa. Ndipo, wakati<br />

malaika wenye kuamrisha wanapopiga sauti, kila mkono unapiga juu ya nyuzi na mguso wa<br />

ufundi mzuri sana, mkazo wa masauti. Kila sauti inainuliwa kwa sifa <strong>za</strong> shukrani: “Kwa<br />

yeye aliyetupenda na kutuosha <strong>za</strong>mbi zetu kwa damu yake, na kutufanya kuwa wafalme wa<br />

makuhani kwa Mungu na Baba yake; kwa yeye ni utukufu na uwezo hata milele na milele”.<br />

Ufunuo 1:5,6.<br />

Mbele ya makutano ya waliokombolewa ni Mji Mtakatifu. Yesu anafungua milango, na<br />

mataifa yaliyolinda ukweli wanaingia ndani. Ndipo sauti yake imesikiwa, “Kujeni, ninyi<br />

muliobarikiwa na Baba yangu, mriti ufalme muliotengenezewa tangu kuumbwa kwa<br />

ulimwengu”. Matayo 25:34. Kristo anaonyesha kwa Baba yake ununuzi wa damu yake,<br />

kusema; ‘’Ta<strong>za</strong>ma, mimi ni hapa pamoja na watoto ulionipa “Wale ulionipa niliwachunga”.<br />

Waebrania 2:13; Yoane 17:12. Ee, furaha ya saa ile wakati Baba wa milele, kuta<strong>za</strong>ma kwa<br />

waliokombolewa, watata<strong>za</strong>ma mfano wake, uharibifu wa <strong>za</strong>mbi ukisha ondolewa, na<br />

binadamu mara ingine tena katika umoja na Mungu!<br />

Furaha ya Mwokozi ni kwa kuona, katika ufalme wa utukufu, mioyo iliyookolewa kwa<br />

maumivu yake makali na unyenyekevu. Mtu aliyeokolewa atashiriki katika furaha yake;<br />

wanata<strong>za</strong>ma wale waliopatikana kwa njia ya maombi yao, kazi, na kafara ya upendo.<br />

Shangwe itajaa katika mioyo yao wakati wanapoona yule aliyeokoa wengine, na hawa <strong>za</strong>idi<br />

na wengine.<br />

Wanadamu Wawili Wanakutana<br />

Wakati waliookolewa wanapokaribishwa kwa mji wa Mungu, hapo kunakuwa kilio cha<br />

shangwe nyingi. Wanadamu wawili ni karibu kukutana. Mwana wa Mungu anapashwa<br />

kupokea baba wa taifa letu--aliyeumbwa, aliyefanya <strong>za</strong>mbi, na kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi yake<br />

alama <strong>za</strong> msalaba zinakuwa kwa sura ya Mwokozi. Wakati Adamu alipotambua alama <strong>za</strong><br />

misumari, kwa unyenyekevu anaanguka yeye mwenyewe kwa miguu ya Kristo. Mwokozi<br />

anamwinua na kumwalika kuta<strong>za</strong>ma tena kwa makao ya Edeni ambapo amehamishwa kwa<br />

wakati mrefu.<br />

Maisha ya Adamu yalijazwa na huzuni. Kila jani lililokufa, kila nyama wa kafara, kila<br />

doa juu ya utakatifu wa mtu, ilikuwa ukumbusho wa <strong>za</strong>mbi yake. Maumivu ya majuto<br />

yalikuwa ya kutisha sana wakati alipokutana na laumu zilizotupwa juu yake mwenyewe<br />

kama sababu ya <strong>za</strong>mbi. Kwa uaminifu akatubu <strong>za</strong>mbi yake, na alikufa katika tumaini la<br />

ufufuko. Sasa, kwa njia ya upatanisho, Adamu amerudishiwa hali ya kwan<strong>za</strong>.<br />

269

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!