21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kukatishwa Tamaa Tena<br />

Lakini tena, wakati wa kuta<strong>za</strong>mia ukapita, na Mwokozi wao hakutokea. Sasa wakaona<br />

kama Maria alivyofanya wakati alipokuja kwa kaburi la Mwokozi na kukuta linapokuwa<br />

wazi, akapa<strong>za</strong> sauti na kulia: “Wameondoa Bwana wangu, wala sijui pahali<br />

walipomuweka.” Yoane 20:13.<br />

Hofu kwamba habari ingewe<strong>za</strong> kuwa kweli ikatumiwa kama kizuio juu ya ulimwengu<br />

usiosadiki. Lakini walipoona hakuna alama <strong>za</strong> hasira ya Mungu, wakafunika tena hofu yao<br />

na kuendelea na laumu lao na cheko. Kundi kubwa lililojidai kuamini wakaacha imani yao.<br />

Wenye kuzihaki wakavuta wa<strong>za</strong>ifu na wenye kuogopea vyeo na hawa wote wakajiunga<br />

katika kutanga<strong>za</strong> kwamba ulimwengu unawe<strong>za</strong> kudumu kwa namna ileile kwa maelfu ya<br />

miaka.<br />

Waaminifu waliojitoakwa kweli walikuwa wameacha vyote kwa ajili ya Kristo, na kama<br />

walivyoamini, wakatoa onyo lao la mwisho kwa ulimwengu. Kwa hamu kubwa sana<br />

walikuwa wameomba , “Kuja Bwana Yesu.” Lakini sasa kwa kuchukua tena mzigo wa<br />

matata ya maisha na kudumu kwa matusi ya ulimwengu wenye kuzihaki lilikuwa jaribu la<br />

kutisha sana.<br />

Wakati Yesu alipopanda juu ya punda na kuingia Jerusalem kama mshindi wanafunzi<br />

wake waliamini kwamba alitaka kuketi juu ya kiti cha ufalme cha Dawidi na kukomboa<br />

Israeli kwa magandamizi. Kwa matumaini ya juu, wengi wakatandika mavazi yao ya inje<br />

kama zulia (tapis) katika njia yake wala kutapanya mbele yake matawi yenye majani mengi<br />

ya ngazi. Wanafunzi walikuwa wakitimi<strong>za</strong> kusudi la Mungu,lakini wakaangamizwa kwa<br />

uchungu mkali. Lakini siku chache zikapita kabla hawajashuhudia kifo cha maumivu<br />

makubwa cha Mwokozi na kumla<strong>za</strong> ndani ya kaburi. Matumaini yao yakafa pamoja na<br />

Yesu. Hata wakati Bwana alipofufuka toka kaburini ndipo wakawe<strong>za</strong> kufahamu kwamba<br />

mambo yote yalitabiriwa kwa unabii.<br />

Ujumbe Ulitolewa kwa Wakati Uliofaa<br />

Kwa namna ileile Miller na washiriki wake wakatimi<strong>za</strong> unabii na wakatoa ujumbe<br />

ambao Maongozi ya Mungu yalitabiri ulipashwa kutolewa kwa ulimwengu. Hawangewe<strong>za</strong><br />

kuutoa wangefahamu kabisa mambo ya unabii yanayoelekea uchungu wao, na kutoa ujumbe<br />

mwengine kuhubiriwa kwa mataifa yote kabla ya kuja kwa Bwana. Habari <strong>za</strong> malaika wa<br />

kwan<strong>za</strong> na wa pili zilitolewa kwa wakati unaofaa na zilitimi<strong>za</strong> kazi ambayo Mungu<br />

aliyokusudia waitende.<br />

Dunia ilikuwa ikita<strong>za</strong>mia kwamba kama Kristo hangetokea, Kiadventiste kingeachwa .<br />

Lakini wakati watu wengi walipoacha imani yao kulikuwa wengine waliosimama imara.<br />

Matunda ya kazi ya adventiste, roho ya uchunguzi wa moyo, ya kukana dunia na<br />

kutengene<strong>za</strong> maisha, ikashuhudia kwamba ilikuwa kazi ya Mungu. Hawakusubutu kukana<br />

kwamba Roho Mtakatifu alishuhudia kwa mahubiri ya kuja kwa Yesu mara ya pili.<br />

169

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!