21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

wote wakapata nafasi ya kuona aina gani ya watu mawazo mapya yaliwe<strong>za</strong> kuleta. Hakuna<br />

mimbara ilikuwako kwa kulinganishwa na mjumba kubwa la wafia dini. Furaha ikaangazia<br />

nyuso kunjufu <strong>za</strong> watu hawa wakati walipokuwa wakielekea ... pahali pa kuuawa ... na<br />

kuomba kwa usemaji wa kushanga<strong>za</strong> kwa ajili ya injili.”<br />

Waprotestanti wakasitakiwa kwamba walikusudia kuua wakatoliki, kupindua serkali, na<br />

kumua mfalme. Hawakuwe<strong>za</strong> kutoa hata kivuli cha ushahidi kwa kushuhudia mambo<br />

yenyewe. Huku ukali ukapiga juu ya Waprotestanti wasio na kosa ukaongezeka kwa uzito<br />

wa malipizi, na katika karne zilizofuata kukatokea maangamizi ya namna ile waliyotabiri<br />

juu ya mfalme, serkali yake, na raia wake. Lakini yakaletwa na wakafiri na wakatoliki wao<br />

wenyewe.<br />

Kuvunja dini ya Kiprotestanti ndiko kulileta juu ya Ufransa misiba hii ya kutisha.<br />

Mashaka, hofu, na vitisho sasa vikaenea kwa makundi yote ya jamii. Mamia wakakimbia<br />

kutoka Paris, wakajihamisha wenyewe kutoka inchini mwao ya ku<strong>za</strong>liwa, wengi kati yao<br />

wakatoa ishara ya kwan<strong>za</strong> kwamba walikubali imani ya matengenezo. Wafuasi wa Papa<br />

wakashangazwa na hesabu kubwa ya “wapinga ibada ya dini” isiyofikiriwa iliyovumiliwa<br />

miongoni mwao.<br />

Kupiga Chapa Kulikatazwa<br />

Francis I akapendezwa kukusanya kwa uwanja wake watu wenye elimu ya maandiko<br />

kutoka kwa inchi zote. Lakini, wenye mafikara na juhudi ya kukomesha uzushi, baba huyu<br />

wa elimu akatoa amri kutanga<strong>za</strong> kwamba uchapaji wa vitabu umeondolewa pote katika<br />

Ufransa! Francis I ni mojawapo wa mifano ya historia kuonyesha kwamba akili ya masomo<br />

hailinde watu juu ya ushupavu wa dini na mateso.<br />

Wapadri wakadai kwamba aibu iliyofanyiwa Mbingu ya juu kwa hukumu ya misa<br />

isafishwe katika damu. Tarehe 21 Januari 1535, iliwekwa juu ya sherehe ya kutisha. Mbele<br />

ya kila mlango mwenge wa moto ukawashwa kwa ajili ya heshima ya “sakramenti takatifu.”<br />

Mbele ya usiku kucha makutano yakakutanika kwa jumba la mfalme.<br />

“Majeshi yakachukuliwa na askofu wa Paris chini ya chandaluwa nzuri, ... Baada ya<br />

majeshi kutembe<strong>za</strong> mfalme ... Francis I kwa siku ile hakuvaa taji, wala kanzu ya cheo.”<br />

Kwa kila ma<strong>za</strong>bahu akainama kwa kujinyenyekea, si kwa ajili ya makosa iliyonajisi roho<br />

yake, ao damu isiyo na kosa iliyoharibu mikono yake, bali kwa ajili ya “<strong>za</strong>mbi ya mauti” ya<br />

watu wake waliosubutu kuhukumu misa.<br />

Katika chumba kikubwa cha mjumba la askofu mfalme akatokea na katika maneno ya<br />

usemi wa hasira akasikitikia “makosa, matukano, siku ya huzuni na haya,” ambayo ilikuja<br />

juu ya taifa. Na akaalika waaminifu wake wa ufalme kusaidia kungoa baala ya “uzushi”<br />

ambayo ilitisha Ufransa kwa uharibifu. Machozi yakajaa kwa usemi wake, na mkutano wote<br />

ukaombole<strong>za</strong>, kwa umoja wakasema kwa nguvu, “Tutaishi na kufa kwa ajili ya dini<br />

yaKikatoliki!”<br />

90

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!