21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 22. Unabii Unatimilika<br />

Wakati ulipopita ambapo kuja kwa Bwana kulipota<strong>za</strong>miwa kwan<strong>za</strong>--wakati wa masika<br />

ya mwaka 1844--wale waliota<strong>za</strong>mia kuonekana kwake walikuwa katika mashaka na<br />

kutokuwa na hakika. Wengi wakaendelea kuchungu<strong>za</strong> katika Maandiko, kwa kupima tena<br />

ushuhuda wa imani yao. Maneno ya unabii, ya wazi na ya nguvu, yalionyesha kuja kwa<br />

Kristo kuwa karibu. Kugeuka kwa waovu na uamsho wa kiroho miongoni mwa Wakristo<br />

kulishuhudia kwamba ujumbe ulikuwa wa mbinguni.<br />

Walihangaishwa na mambo ya unabii, ambayo wali<strong>za</strong>nia kama, kulingana na wakati wa<br />

kuja kwa mara ya pili, ilikuwa fundisho la kuwatia moyo kwa kungoja na uvumilivu katika<br />

imani,ili mambo yaliokuwa gi<strong>za</strong> kwa akili yao sasa ifunuliwe. Miongoni mwa mambo haya<br />

ya unabii ilikuwa Habakuki 2:1-4. Hakuna mtu, hata, aliyefahamu kwamba kukawia kwa<br />

wazi--wakati wa kungojea--unakuwa katika unabii. Baada ya uchungu, andiko hili<br />

likaonekana kuwa la maana sana: “Maono haya ni kwa wakati ulioamuriwa, lakini kwa<br />

mwisho yatasema, wala hayatasema uwongo; hata yakikawia, uyangoje; kwa sababu<br />

yatakuja kweli, hayatachelewa. . . Mwenye haki ataishi kwa imani yake.”<br />

Unabii wa Ezekieli pia ulikuwa faraja kwa waaminifu: “Bwana Mungu anasema hivi...<br />

Siku ni karibu, na kutimia kwa kila maono ... Nitasema, na neno nitakalolisema litatimizwa;<br />

wala halitakawishwa tena.” “Neno nitakalolisema litatimia.” Ezekieli 12:2325,28. Wale<br />

waliokuwa wakingoja wakafurahi. Yeye anayejua mwisho tangu mwanzo aliwapa tumaini.<br />

Kama mafungu kama haya ya Maandiko hayangekuwako, imani yao ingalianguka.<br />

Mfano wa mabikira kumi wa Matayo 25 pia unaonyesha mambo ya maisha ya<br />

Waadventiste. Hapo paonyeshwa hali ya kanisa wakati wa siku <strong>za</strong> mwisho. Mambo yao ya<br />

maisha yamefananishwa na tendo la ndoa ya mashariki:<br />

“Halafu ufalme wa mbinguni utafananishwa na mabikira kumi waliotwaa taa <strong>za</strong>o,<br />

wakatoka kwenda kukutana na bwana arusi. Watano wao walikuwa wapumbafu na watano<br />

wenye akili. Wale walio kuwa wapumbafu, walichukua taa <strong>za</strong>o, bila mafuta; lakini wenye<br />

akili walicukua mafuta ndani ya vyombo vyao pamoja na taa <strong>za</strong>o. Basi wakati bwana arusi<br />

alipokawia, wao wote wakasinzia na kulala usingizi. Lakini saa sita ya usiku kulikuwa<br />

kelele: Ta<strong>za</strong>ma, bwana arusi! tokeni kukutana naye.” Matayo 25:1-6.<br />

Kuja kwa Kristo kama kulivyotangazwa na ujumbe wa malaika wa kwan<strong>za</strong>,<br />

kulifahamika kuwa mfano wa kuja kwa bwana arusi. Kuenea kwa matengenezo chini ya<br />

kutanga<strong>za</strong> kwa kuja kwa karibu kwa Kristo kukajibu kwa mfano wa mabikira. Katika mfano<br />

huu, wote walichukua taa <strong>za</strong>o, Biblia, “na wakaenda kukutana na bwana harusi.” Lakini<br />

wakati wapumbafu “hawakuchukua mafuta pamoja nao,” “wenye akili walichukua mafuta<br />

ndani ya vyombo vyao pamoja na taa <strong>za</strong>o.” Wa nyuma wakajifun<strong>za</strong> Maandiko ili<br />

kuchungu<strong>za</strong> ukweli na wakawa na akili ya kipekee, imani kwa Mungu ambayo<br />

haingeangushwa na kukata tamaa na kukawia. Wengine wakaendeshwa na musukumo, hofu<br />

163

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!