21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

sabato ya Biblia ikatangazwa kuwa kumbukumbu ya dini ya Kiyahudi na kawaida <strong>za</strong>ke<br />

zikatangazwa kuwa <strong>za</strong> laana.<br />

Mkufuru akafaulu katika kujionyesha mwenyewe “juu ya yote yanayoitwa Mungu, ao<br />

kuabudiwa.” 2 Watesalonika 2:4. Alisubutu kugeu<strong>za</strong> amri moja tu ya sheria ya Mungu<br />

inayoonyesha Mungu wa kweli na wa uhai. Katika amri ya ine, Mungu hufunuliwa kama<br />

Muumba. Kama ukumbusho wa kazi ya kuumba, siku ya saba ikatakaswa kama siku ya<br />

pumziko la mtu, iliyokusudiwa kulinda Mungu wa uhai siku zote mbele ya akili <strong>za</strong> watu<br />

kama kitu cha ibada. Shetani hujitaidi kugeu<strong>za</strong> watu kwa utii wa sheria ya Mungu; kwa<br />

hivyo hueleke<strong>za</strong> nguvu <strong>za</strong>ke <strong>za</strong>idi sana juu ya amri ile inayoonyesha Mungu kama Muumba.<br />

Waprotestanti sasa wanalazimisha kwamba ufufuo wa Kristo Siku ya Kwan<strong>za</strong><br />

(Dimanche) uliifanya kuwa Sabato ya Kikristo. Lakini hapana heshima ya namna hiyo<br />

iliyotolewa kwa siku ile na Kristo au mitume wake. Kawaida ya Siku ya Kwan<strong>za</strong><br />

(Dimanche) ilikuwa na asili yake katika ile “siri ya uasi” (2 Watesalonika 2:7), ambayo,<br />

hata katika siku ya Paulo, ilian<strong>za</strong> kazi yake. Sababu gani inayowe<strong>za</strong> kutolewa kwa mageuzi<br />

ambayo Maandiko hayakuruhusu?<br />

Katika karne ya sita, askofu wa Roma alitangazwa kuwa kichwa cha kanisa yote nzima.<br />

Dini ya kipagani ikatoa nafasi kwa kanisa la Roma. Joka akamupa nyama “nguvu <strong>za</strong>ke”, na<br />

kiti chake cha ufalme na mamlaka nyingi”. Ufunuo 13:2 (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo).<br />

Sasa ikaan<strong>za</strong> miaka 1260 ya mateso ya Papa iliyotabiriwa katika mambo ya unabii wa<br />

Danieli na Ufunuo. Danieli 7:25; Ufunuo 13:5-7. Wakristo walilazimishwa kuchagua au<br />

kuacha uaminifu wao na kukubali huduma na ibada <strong>za</strong> Papa, au kutoa maisha yao katika<br />

gere<strong>za</strong>, au kuuawa. Sasa maneno ya Yesu yalitimilika: “Nanyi mutatolewa hata na wa<strong>za</strong>zi<br />

wenu, na ndugu, na jamaa, na rafiki, na wengine wenu watawaua. Na mutachukiwa na watu<br />

wote kwa ajili ya jina langu” Luka 21:16, 17.<br />

Ulimwengu ukawa shamba kubwa sana la vita. Kwa mamia ya miaka kanisa la Kristo<br />

lilipaswa kuishi katika maficho na gi<strong>za</strong>. “Yule mwanamuke akakimbia hata pori; kule ana<br />

pahali palipotengenezwa na Mungu ili wamulishe kule siku elfu moja mia mbili na makumi<br />

sita” Ufunuo 12:6.<br />

Kutawazwa kwa utawala wa Kanisa la Roma kulionyesha mwanzo wa miaka ya gi<strong>za</strong>.<br />

Imani ikahamishwa kutoka kwa Kristo na kwenda kwa Papa wa Roma. Badala ya<br />

kutumainia Mwana wa Mungu kwa ajili ya musamaha wa <strong>za</strong>mbi na wokovu wa milele,<br />

watu wakata<strong>za</strong>mia Papa, na mapadri ambao aliwatolea mamlaka yake. Papa alikuwa<br />

mpatanishi wao wa kidunia. Alisimama kwa mahali pa Mungu kwa ajili yao. Kwenda<br />

pembeni ya mapenzi yake ilikuwa sababu ya kutosha kwa a<strong>za</strong>bu kali. Kwa hiyo akili <strong>za</strong><br />

watu zikatoka kwa Mungu zikageukia watu wapotevu, wabaya, niseme nini tena, kwa<br />

mfalme wa gi<strong>za</strong> anayetumia uwezo wake kupita wao. Wakati Maandiko yanapokomeshwa<br />

19

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!