21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mishale ya nuru kutoka kwa Mungu yakafunua hazina <strong>za</strong> kweli kwa ufahamu wake.<br />

Hakikisho kubwa la hali yake kuwa mwenye <strong>za</strong>mbi likamushika kuliko <strong>za</strong>mani.<br />

Kutafuta Amani<br />

Mapenzi ya kupata amani pamoja na Mungu yakamwongo<strong>za</strong> kujitoa mwenyewe kwa<br />

maisha ya utawa. Hapa alikuwa akitakiwa kufanya kazi ngumu <strong>za</strong> chini sana na kuomba<br />

omba nyumba kwa nyumba. Akaendelea kwa uvumilivu katika kujishusha huku,akiamini hii<br />

kuwa lazima sababu ya <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke. Alijizuia mwenyewe saa <strong>za</strong>ke <strong>za</strong> usingizi na kujinyima<br />

hata wakati mdogo wakula chakula chake kichache, akapendezwa na kujifun<strong>za</strong> Neno la<br />

Mungu. Alikuta Biblia iliyofungiwa mnyororo kwa ukuta wa nyumba ya watawa, na kwa<br />

hiki (Biblia) akaenda mara kwa mara.<br />

Akaan<strong>za</strong> maisha magumu sana <strong>za</strong>idi, akijaribu kufunga,kukesha, na kujitesa kwa kutisha<br />

maovu ya tabia yake. Akasema baadaye, “Kama mtawa angewe<strong>za</strong> kupata mbingu kwa kazi<br />

<strong>za</strong>ke <strong>za</strong> utawa, hakika ningepaswa kustahili mbingu kwa kazi hiyo. ... Kama ingeendelea<br />

wakati mrefu, ningepaswa kuchukua uchungu wangu hata kufa.” Kwa bidii yake yote, roho<br />

ya taabu yake haikupata usaada. Mwishowe akafika karibu hatua ya kukata tamaa.<br />

Wakati ilionekana kwamba mambo yote yamepotea, Mungu akainua rafiki kwa ajili<br />

yake. Staupitz akafungua Neno la Mungu kwa akili wa Luther na akamwomba kutojita<strong>za</strong>ma<br />

mwenyewe na kuta<strong>za</strong>ma kwa Yesu. “Badala ya kujitesa mwenyewe kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi<br />

<strong>za</strong>ko, ujiweke wewe mwenyewe katika mikono ya Mwokozi. Umutumaini, katika haki ya<br />

maisha yake, malipo ya kifo chake...Mwana wa Mungu alikuwa mtu kukupatia uhakikisho<br />

wa toleo ya kimungu. ... Umpende yeye aliyekupenda mbele.” Maneno yake yakafanya<br />

mvuto mkubwa kwa ajili ya Luther. Amani ikakuja kwa roho yake iliyataabika.<br />

Alipotakaswa kuwa padri, Luther akaitwa kwa cheo cha mwalimu katika chuo kikuu<br />

(universite) cha Wittenberg. Akaan<strong>za</strong> kufundisha juu ya Zaburi, Injili, na kwa barua kwa<br />

makundi ya wasikilizi waliopendezwa. Staupitz, mkubwa wake akamwomba kupanda kwa<br />

mimbara na kuhubiri. Lakini Luther akajisikia kwamba hastahili kusema kwa watu katika<br />

jina la Kristo. Ilikuwa tu baada ya juhudi ya wakati mrefu ndipo alikubali maombi ya rafiki<br />

<strong>za</strong>ke. Alikuwa na uwezo mkubwa katika Maandiko, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.<br />

Kwa wazi uwezo ambao alifundisha nao ukweli ukasadikisha ufahamu wao, na nguvu yake<br />

ikagusa mioyo yao.<br />

Luther alikuwa akingali mtoto wa kweli wa Kanisa la Roma, hakuwa na wazo kwamba<br />

atakuwa kitu kingine cho chote. Akaongozwa kuzuru Roma, aliendelea safari yake kwa<br />

miguu, kukaa katika nyumba <strong>za</strong> watawa njiani. Akajazwa na ajabu hali nzuri na ya damani<br />

ambayo alishuhudia. Watawa (moines) walikaa katika vyumba vizuri, wakajivika wao<br />

wenyewe katika mavazi ya bei kali, na kujifurahisha kwa me<strong>za</strong> ya damani sana. Mafikara ya<br />

Luther yalian<strong>za</strong> kuhangaika.<br />

48

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!