21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Miaka mitatu baada ya Miller kufikia kwa maelezo yake ya mambo ya unabii. Dr.<br />

Joseph Wolff, “Mjumbe kwa ulimwengu,” akaan<strong>za</strong> kutanga<strong>za</strong> kukaribia kwa kuja kwa<br />

Bwana. Ali<strong>za</strong>liwa katika Ujeremani, wa<strong>za</strong>zi wake Wayahudi. Alikuwa Kijana sana wakati<br />

ule, akasadikishwa kwa habari ya kweli ya dini ya kikristo. Alikuwa msikizi mwenye bidii<br />

sana kwa mazungumzo katika nyumba ya baba yake mahali Wayahudi waaminifu walikuwa<br />

wakikusanyika kila siku kwa kuzungumzia matumaini ya watu wao, utukufu wa kuja kwa<br />

Masiya, na kuimarishwa tena kwa Israeli. Siku moja, kusikia Yesu wa Na<strong>za</strong>reti kutajwa,<br />

kijana akauli<strong>za</strong> kujua alikuwa nani. “Muyahudi wa talanta kubwa mno” wakajibu” Lakini<br />

alipojidai kuwa Masiya, bara<strong>za</strong> la hukumu la Wayahudi likamkatia hukumu ya kifo.”<br />

“Sababu gani,” akafuatisha mwenye kuuli<strong>za</strong>, “je, Yerusalema iliharibiwa, na sababu gani<br />

tunakuwa katika utumwa?”<br />

“Ole, ole,” akajibu baba yake, “kwa sababu Wayahudi waliua manabii.” Mara moja<br />

wazo likaja moyoni mwa mtoto: “Pengine Yesu pia alikuwa vilevile nabii, na Wayahudi<br />

wakamuua wakati alikuwa bila kosa.” Ingawa alikatazwa kuingia katika kanisa la Kikristo,<br />

akakawia mara kwa mara inje kusikili<strong>za</strong> mahubiri. Alipokuwa na miaka saba tu ya<br />

ku<strong>za</strong>liwa, alikuwa akijisifu kwa jirani wake mkristo juu ya kushinda kwa Israel wakati ujao<br />

wa kuja kwa Masiya. Mzee akasema kwa upole: “Kijana mpenzi, nitakwambia nani<br />

aliyekuwa Masiya wa kweli: alikuwa Yesu wa Na<strong>za</strong>reti,... ambaye wababu wako<br />

walimsulubisha... Wende nyumbani na usome sura ya makumi tano na tatu ya Isaya, na<br />

utasadikishwa kwamba Kristo ni Mwana wa Mungu.”<br />

Akaenda nyumbani na akasoma Maandiko. Kwa ukamilifu wa namna gani ilitimilika<br />

kwa Yesu wa Na<strong>za</strong>reti. Je, maneno ya mkristo yule ni ya haki? Kijana akauli<strong>za</strong> baba yake<br />

maelezo ya unabii lakini akakutana na ukimya bila huruma na hakusubutu tena kamwe<br />

kusema inayoelekea fundisho lile pamoja naye.<br />

Wakati alipokuwa na miaka kumi na moja tu ya ku<strong>za</strong>liwa, akaenda duniani kupata<br />

elimu, kuchagua dini yake na kazi yake ya maisha. Peke yake na bila senti hata moja,<br />

alipashwa kutafuta njia yeye mwenyewe. Akajifun<strong>za</strong> kwa bidii, na kujisaidia mwenyewe<br />

kwa mahitaji yake kwa kufundisha Kiebrania. Akaongozwa kukubali imani ya dini ya Roma<br />

na akaenda kufuata mafundisho yake katika College ya “Propagande de la Foi” (kutanga<strong>za</strong><br />

imani). Hapo akashambulia kwa wazi matumizi mabaya ya kanisa na akalazimisha<br />

matengenezo. Baada ya mda, akatoshwa. Ikawa wazi kwamba hakuwe<strong>za</strong> kamwe kuletwa<br />

kwa kutii utumwa wa dini ya Roma. Akatangazwa kuwa mtu asiyewe<strong>za</strong> kusahihshwa na<br />

kuachwa kwenda mahali palipompende<strong>za</strong>. Akaenda Uingere<strong>za</strong> na akajiunga na kanisa la<br />

Uingere<strong>za</strong>. Baada ya miaka miwili ya majifunzo akaan<strong>za</strong> kazi yake mwaka 1821.<br />

Wolff aliona kwamba mambo ya unabii hutanga<strong>za</strong> kuja kwa Kristo mara ya pili kwa<br />

nguvu na utukufu. Alipotafuta kuongo<strong>za</strong> watu wake kwa Yesu wa Na<strong>za</strong>reti kama Ni yule<br />

aliyeahidiwa, kuwaonyesha kuja kwake kwa mara ya kwan<strong>za</strong> kama kafara kwa ajili ya<br />

<strong>za</strong>mbi, akawafundisha pia juu ya kuja kwake kwa mara ya pili.<br />

148

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!