21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 20. Upendo kwa Ajili ya Kuja kwa Kristo<br />

6 Uamsho mkubwa wa dini umetabiriwa katika ujumbe wa malaika wa kwan<strong>za</strong> wa<br />

Ufunuo 14. Malaika moja ameonekana akiruka “katikati ya mbingu, mwenye Habari Njema<br />

ya milele, ahubiri kwao wanaokaa juu ya dunia, na kila taifa na kabila na lugha na jamaa.”<br />

“Kwa sauti kubwa” akatanga<strong>za</strong>: “Ogopeni Mungu, na kumutuku<strong>za</strong> kwa maana saa ya<br />

hukumu yake imekuja. Mukamwabudu yeye aliyefanya mbingu na dunia na bahari na<br />

chemchemi <strong>za</strong> maji.” Ufunuo 14:6,7.<br />

Malaika ni mfano wa tabia bora ya kazi inayopaswa kutimizwa kwa ujumbe na uwezo na<br />

utukufu, ambavyo vinapaswa kuishugulikia. Kuruka kwa malaika “katikati ya Mbingu,”<br />

“sauti kubwa,” na matangazo yake “kwa kila taifa na kabila na lugha na jamaa” inatoa<br />

ushuhuda wa kuenea kwa upesi, katika dunia nzima kwa tendo. Kwa habari ya wakati<br />

ambao inapaswa kufanyika, inatanga<strong>za</strong> kufunguliwa kwa hukumu.<br />

Ujumbe huu ni sehemu ya habari njema (injili) ambayo ingewe<strong>za</strong> kutangazwa tu katika<br />

siku <strong>za</strong> mwisho, ambapo tu ndipo inawe<strong>za</strong> kuwa hatika kwamba saa ya hukumu yake<br />

imekuja. Sehemu ile ya unabii wake ambao inaelekea kwa siku <strong>za</strong> mwisho, Danieli<br />

aliagizwa kufunga na kutia muhuri “hata wakati wa mwisho.” Danieli 12:4. Mpaka wakati<br />

huu ndipo ujumbe juu ya hukumu utangazwe, wenye msingi na kutimilika kwa unabii.<br />

Paulo alionya kanisa lisita<strong>za</strong>mie kuja kwa Kristo katika siku <strong>za</strong>ke. Mpaka baada ya uasi<br />

mkubwa na utawala mrefu wa “mtu wa <strong>za</strong>mbi” tunawe<strong>za</strong> kuta<strong>za</strong>mia kuja kwa Bwana wetu.<br />

Ta<strong>za</strong>ma 2 Watesalonika 2:3. “Mtu wa <strong>za</strong>mbi” vilevile “siri ya uasi,” “mwana wa uharibifu,”<br />

na “yule mwenye uovu,” ni mfano wa cheo cha Papa, ambacho kilikuwa kwa kushikilia<br />

mamlaka yake kwa miaka 1260. Mda huu ulimalizika kwa mwaka 1798. Kuja kwa Kristo<br />

hakungefanyika mbele ya wakati ule. Paulo anaene<strong>za</strong> onyo lake kwa ile inayohusu Wakristo<br />

wote hata kwa mwaka 1798. Kwa upande huu wa wakati ule, ujumbe wa Kuja kwa Kristo<br />

mara ya pili ukatangazwa. Sivyo ujumbe wa namna ile haujatolewa kamwe kwa vi<strong>za</strong>zi<br />

vilivyopita. Paulo, kama tulivyoona, hakuuhubiri; aliuweka mbali kwa wakati ujao ujumbe<br />

wa kuja kwa Bwana. Watengene<strong>za</strong>ji hawakuutanga<strong>za</strong>. Martin Luther aliweka siku ya<br />

hukumu karibu ya miaka 300 zijazo kutoka kwa siku <strong>za</strong>ke. Lakini tangu 1798 kitabu cha<br />

Danieli kilifunuliwa, na wengi wakatanga<strong>za</strong> ujumbe wa hukumu kuwa karibu.<br />

Katika Inchi Mbalimbali kwa Wakati Moja<br />

Kama Matengenezo ya karne ya kumi na sita, Mwendo (kazi), la Kuja kwa Yesu<br />

likaonekana katika inchi mbalimbali kwa wakati moja. Watu wa imani wakaongozwa<br />

kujifun<strong>za</strong> mambo ya unabii na wakaona ushuhuda wa kusadikisha kwamba mwisho ulikuwa<br />

karibu. Makundi mbali mbali ya Wakristo, kwa kujifun<strong>za</strong> Maandiko tu, wakafikia kwa<br />

kuamini kwamba kuja kwa Mwokozi kulikuwa karibu.<br />

147

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!