21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Shetani amejifun<strong>za</strong> siri <strong>za</strong> maumbile, na anatumia uwezo wake wote kutawala mwanzo<br />

kadiri Mungu anavyoruhusu. Ni Mungu anayelinda viumbe vyake kutoka kwa mharibu.<br />

Lakini jamii ya Ukristo limeonyesha <strong>za</strong>rau kwa sheria yake, na Bwana atafanya kile<br />

alichotanga<strong>za</strong> ya kwamba-angeondoa ukingaji wa ulinzi wake kwa wale wanaoasi kwa<br />

sheria yake na kuka<strong>za</strong> wengine kufanya pamoja. Shetani anakuwa na utawala wa wote<br />

ambao Mungu asio walinda kwa kipekee. Atasaidia na kusitawisha wengine, ili kuzidisha<br />

makusudi yake wenyewe; na ataleta taabu kwa wengine, na kuongo<strong>za</strong> watu kuamini ya<br />

kama ni Mungu ndiye anayewatesa.<br />

Anapotokea kama tabibu mkuu anayewe<strong>za</strong> kuponya magonjwa yao yote, Shetani ataleta<br />

ugonjwa na msiba hata miji ya watu waingie kwa maangamizi. Katika misiba baharini na<br />

inchini, katika mateketeo makubwa, katika tufani kali na mvua ya mawe, katika zoruba,<br />

garika, kimbunga, mawimbi ya maji kujaa, na tetemeko la inchi, katika namna maelfu,<br />

Shetani anatumia uwezo wake. Anaondolea mbali mavuno yenye kukomea yote, na njaa na<br />

taabu hufuata. Hugawanya mawaa ya mauti angani, na maelfu huangamia.<br />

Ndipo mdanganyifu mkubwa atashawishi watu kutwika taabu <strong>za</strong>o zote kwa wale<br />

wanaokuwa na utii kwa amri <strong>za</strong> Mungu ni laumu la daima kwa wakosaji. Itatangazwa ya<br />

kama watu wanamkosea Mungu juu ya mvunjo wa siku ya kwan<strong>za</strong>, ya kwamba <strong>za</strong>mbi hii<br />

imeleta misiba ambayo haitakoma hata kushika kwa siku ya kwan<strong>za</strong> kutakapo kazwa kabisa.<br />

“Wale wanaoharibu heshima kwa ajili ya siku ya kwan<strong>za</strong> wanazuia kurudishwa kwa<br />

majaliwa ya Mungu na kufanyikiwa”. Kwa hivyo mashitaki yaliyofanywa ya <strong>za</strong>mani juu ya<br />

watumushi wa Mungu yatakaririwa. “Wakati Ahaba alipomuona Eliya, Ahaba<br />

akamwaambia: Ni wewe mwenye kutaabisha Israeli”? 1 Wafalme 18:17,18. Uwezo wa<br />

kufanya miuji<strong>za</strong> utatumia mvuto wake juu ya wale wanaomtii Mungu kuliko watu. “Pepo”<br />

watatanga<strong>za</strong> ya kama Mungu amewatuma kusadikisha wanaokataa siku ya kwan<strong>za</strong> kwa<br />

kosa lao. Watalilia uovu mkubwa ulimwenguni na kusaidia ushuhuda wa waalimu wa dini<br />

ya kama hali iliopote<strong>za</strong> cheo cha mafundisho imaletwa na ukufuru wa siku ya kwan<strong>za</strong><br />

Chini ya utawala wa Roma, wale walioteseka kwa ajili ya habari njema walishitakiwa<br />

kama watenda maovu katika mapatano pamoja na Shetani. Ndivyo hivyo itakavyokuwa<br />

sasa. Shetani ataletea wale wanaoheshimu sheria ya Mungu kushitakiwa kuwa watu<br />

wanaoleta hukumu duniani. Kwa njia ya kutisha anajaribu kutawala <strong>za</strong>miri, anasukuma<br />

watawala wa dini na wa dunia kuka<strong>za</strong> sheria <strong>za</strong> kibinadamu katika kuasi sheria ya Mungu.<br />

Wale wanaoheshimu Sabato ya Biblia watashitakiwa kuwa adui wa sheria na ukimya,<br />

kuvunja amri <strong>za</strong> maana <strong>za</strong> kijamii, kuleta machafuko ya mambo ya utawala na makosa, na<br />

kuita hukumu <strong>za</strong> Mungu inchini. Watashitakiwa juu ya chuki kwa serekali. Wajumbe<br />

wanaokana kanuni ya sheria ya Mungu wataonyesha kwa mimbara shuguli ya utii kwa<br />

utawala wa dunia. Katika vyumba vikubwa vya kufanya sheria na bara<strong>za</strong> <strong>za</strong> hukumu,<br />

wanaoshika amri watahukumiwa. Rangi ya uwongo itatolewa kwa maneno yao; maana<br />

mbaya kuliko itawekwa kwa mashitaki yao.<br />

246

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!