21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Hawakuwe<strong>za</strong> kuvumbua kosa katika nyakati maalum <strong>za</strong> unabii. Adui <strong>za</strong>o hawakufaulu<br />

kuangusha maelezo yao ya unabii. Hawakuwe<strong>za</strong> kukubali kukana msimamo uliofikiwa kwa<br />

njia na juhudi, kujifun<strong>za</strong> Maandiko kwa maombi, katika akili zilizoangaziwa na Roho wa<br />

Mungu na mioyo ya kuchomwa kwa uwezo wake wenye uzima, ambao ulisimama imara na<br />

kupinga watu wa elimu na usemaji.<br />

Waadventiste waliamini kwamba Mungu aliwaongo<strong>za</strong> kutoa onyo la hukumu.<br />

Wakatanga<strong>za</strong>, “limechungu<strong>za</strong> mioyo ya wote waliolisikia, ... ili wale watakaochungu<strong>za</strong><br />

mioyo yao wenyewe, waweze kujua upande gani ... wangepatikana, kama Bwana angefika<br />

sasa wangepa<strong>za</strong> sauti, `Huyu ndiye Mungu wetu, Tumemungoja, naye atatuokoa;’ ao<br />

wangeita miamba na milima kuanguka juu yao kuwaficha mbele ya uso wake yeye<br />

anayeketi juu ya kiti cha enzi!<br />

Mawazo ya wale walioendelea kuamini kwamba Mungu aliongo<strong>za</strong> yanaelezwa katika<br />

maneno ya William Miller: “Tumaini langu katika kuja kwa Kristo ni la nguvu kwa daima,<br />

nimefanya tu, baada ya miaka ya uangalifu, kila nilichoona wajibu wangu kufanya.”<br />

“Maelfu mengi, kwa mfano wote wa kibinadamu, walifanywa kwa kujifun<strong>za</strong> Maandiko<br />

katika mahubiri ya wakati; na kwa njia ile, katika imani na kumwangiwa kwa damu ya<br />

Kristo, wamepatanishwa kwa Mungu.”<br />

Imani Inaimarishwa<br />

Roho ya Mungu ilikuwa ingali inakaa kwa wale ambao hawakukataa nuru kwa wepesi<br />

waliopokea na kulaumu ujumbe wa kurudi kwa Yesu “Basi, msitupe mbali matumaini yenu,<br />

kwa maana yana <strong>za</strong>wadi kubwa. Kwa sababu munahitaji uvumilivu, ili mukikwisha kufanya<br />

mapenzi ya Mungu, mupate ile ahadi. Kwa kuwa bado kidogo sana, Yeye anayekuja<br />

atakuja, wala hatakawia. Lakini mwenye haki ataishi kwa imani: Naye kama akirudi nyuma,<br />

roho yangu haina furaha naye. Lakini sisi si watu wa kurudi nyuma kwa kupotea, lakini sisi<br />

ni pamoja nao walio na imani ya kuokoa roho zetu.” Waebrania 10:35-39.<br />

Onyo la upole hili linaambiwa kwa kanisa katika siku <strong>za</strong> mwisho. Linaonyeshwa kwa<br />

wazi kwamba Bwana angetokea kwa kukawia. Watu hapa walioambiwa walifanya mapenzi<br />

ya Mungu katika kufuata uongozi wa Roho yake na Neno lake; lakini hawakuwe<strong>za</strong><br />

kufahamu kusudi lake katika maisha yao. Walijaribiwa kwa mashaka kwamba Mungu<br />

alikuwa akiwaongo<strong>za</strong> kwa kweli. Kwa wakati huu maneno yalikuwa ya kufaa: “Sasa<br />

mwenye haki ataishi kwa imani.” Wakainama kwa matumaini ya kukata tamaa,<br />

wangaliwe<strong>za</strong> kusimama tu kwa imani katika Mungu na kwa Neno lake. Kwa kukana imani<br />

yao na kukana uwezo wa Roho Mtakatifu ambaye alitumikia katika ujumbe ingekuwa<br />

kurudi nyuma kwa uharibifu. Maendeleo yao tu ya salama ilikuwa nuru waliokwisha<br />

kupokea kwa Mungu, kuendelea kuchungu<strong>za</strong> Maandiko, na kungoja kwa uvumilivu na<br />

kukesha kwa kupokea nuru <strong>za</strong>idi.<br />

170

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!