21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Uhodari wa Kutukana Mungu<br />

Mmojawapo wa “mapadri” wa agizo jipya akasema: “Mungu, kama Unakuwako, lipisha<br />

kisasi cha matukano yanayofanywa kwa kutukana jina iako. Ninakualika! Unakaa kimya;<br />

Husubutu kutuma ngurumo <strong>za</strong>ko. Nani baada ya hii atakayeamini kuwako kwako tena?” Ni<br />

jibu gani hili la swali la Farao: “Bwana ni nani, nisikie sauti yake?”<br />

“Mupumbafu amesema moyoni mwake: Hakuna Mungu.” Na Bwana anasema,<br />

“Upumbafu wao utaonyeshwa wazi kwa watu wote.” Zaburi 14:1; 2 Timoteo 3:9. Wakati<br />

Ufransa ulipokataa ibada ya Mungu mwenye uhai haukukawia kushuka katika ibada ya haya<br />

ya kuabudu Mungu wa kike wa Akili (kutumia akili), mwanamke msharati. Ibada hii<br />

ikaanzishwa kwa msaada wa mkutano wa taifa! Mojawapo wa sherehe ya wakati huu wa<br />

wazimu kusimama inayopita yote kwani upumbafu ilichanganyika na ukosefu wa heshima<br />

kwa Mungu. Milango ya mapatano ikafunguliwa wazi wazi. ... Washiriki wa utawala wa mji<br />

wakaingia katika mwandamano wa taratibu, kuimba wimbo kwa sifa <strong>za</strong> uhuru, na<br />

kufuatana, kama kitu cha ibada ya wakati ujao, mwanamke mmoja aliyefunikwa,<br />

waliyemwita Mungu wa Kike wa Kutumia Akili. Alipokuwa katika bara<strong>za</strong> ya hukumu,<br />

wakamvua mwili wote kwa heshima, na wakamweka upande wa kuume wa msimamizi,<br />

ambapo alipojulikana kwa kawaida kama binti mche<strong>za</strong>ji wa mchezo wa kuigi<strong>za</strong> (opera).<br />

Mungu wa Kike wa Kutumia Akili<br />

“Kusimamisha Mungu wa Kike wa Kutumia Akili kukafanywa upya na kuigwa na taifa<br />

po pote, katika mahali ambapo wakaaji walitaka kujionyesha wenyewe kulingana na usitawi<br />

wote wa Mapinduzi.”<br />

Wakati “mungu wa kike” alipoletwa kwa Mapatano; msemaji akamkamata kwa mkono,<br />

na akageukia makutano akasema: “Wanadamu, muache kutetemeka mbele ya ngurumo<br />

<strong>za</strong>ifu <strong>za</strong> mungu ambazo wogo wenu umezifanya. Tangu leo msikubali tena umungu<br />

mwengine bali Kutumia Akili. Ninawapongoatia picha yake bora na safi sana; kama<br />

kunapaswa kuwa na sanamu, mjitoe tu kwa hii. ...<br />

“Mungu wa kike alipokwisha kukumbatiana na msimamizi, akapandishwa kwa gari<br />

tukufu kabisa, na akapelekwa kwa kanisa kubwa la Notre Dame, kupata nafasi ya Umungu.<br />

Hapo akainuliwa kwa ma<strong>za</strong>bahu ya juu, na kuabudiwa na wote waliokuwako.”<br />

Dini ya Papa alian<strong>za</strong> kufanya kazi ambayo kukana Mungu kulikuwa kukitimi<strong>za</strong>,<br />

kuharakisha Ufransa kwa uharibifu. Waandishi kwa kutaja machukizo ya Mapinduzi<br />

wakasema kwamba mazidio haya yalipaswa kuwekwa juu ya kiti cha mfalme na kanisa.<br />

(Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.) Kwa haki yote, mazidio haya inapaswa kuwekwa juu ya kanisa.<br />

Kanisa la Papa lilipotosha mafikara ya wafalme juu ya Matengenezo. Ujanja wa Roma<br />

ilisababisha ukali na ugandamizi kutoka kwa uliotumiwa mamlaka ya mfalme.<br />

111

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!