21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

yanayojidai kwamba yalipata mafundisho yao kutoka kwa Biblia, lakini yamegawanyika<br />

katika makundi isiyohesabika pamoja na kanuni ya imani <strong>za</strong> mbalimbali.<br />

Kazi ya kanisa la kikatolika la Roma inabisha kwamba “kama kanisa la Roma lingekuwa<br />

na kosa ya ibada ya sanamu katika uhusiano kwa watakatifu, binti yake, kanisa la<br />

Uingere<strong>za</strong>, linakuwa na kosa ya namna moja, kwa sababu lina makanisa kumi inayojiweka<br />

wakfu kwa Maria kwa namna moja linalojiweka wakfu kwa Kristo.”<br />

Na Dr. Hopkin husema: “Hakuna sababu ya kufikiri kwamba roho na kanuni <strong>za</strong> mpinga<br />

kristo na vitendo kusongwa kwa ile ambayo inaitwa sasa Kanisa la Roma. Makanisa ya<br />

Kiprotestanti yanakuwa na umpinga kristo ndani yao, na yanakuwa mbali kabisa ya<br />

matengenezo kwa ... maovu na ubaya.”<br />

Juu ya Kanisa la Presbyteria kujitenga kwa Roma, Dr. Guthrie anaandika: “Miaka mia<br />

tatu iliyopita, kanisa letu, pamoja na Biblia iliyofunguliwa kwa mwenge yake, na maneno<br />

haya maalum: “Tafuteni maandiko” kwa mabendera yake, lilitoka kwa milango ya Roma.<br />

Ndipo akauli<strong>za</strong> swali hili la muhimu: Je, waligeuka kuwa safi walipotoka kwa Babeli ? ”<br />

Safari <strong>za</strong> Kwan<strong>za</strong> kutoka kwa Habari Njema<br />

Namna gani kanisa lilitoka mara ya kwan<strong>za</strong> kwa unyenyekevu wa habari njema? Kwa<br />

njia ya kupatana na kipagani, ili wapagani wakubali wepesi dini ya kikristo. “Karibu kufikia<br />

mwisho wa kumalizia karne ya pili karibu makanisa mengi yalikubali sura mpya... Kama<br />

wanafunzi wa <strong>za</strong>mani walipopumzika katika makaburi yao, watoto wao pamoja na<br />

waliogeuka wapya, ... wakaendelea mbele na kutoa mfano mpya kwa dini.” “Wingi wa<br />

wapagani, kujaa katika kanisa, kuchukua pamoja nao desturi <strong>za</strong>o, tamaa, na ibada ya<br />

sanamu.” Dini ya Kikristo ikategemea mapendeleo na usaada wa watawala wa dunia.<br />

Ikakubaliwa kwa jina tu na wengi. “Lakini wengi wakadumu katika mambo ya kipagani,<br />

<strong>za</strong>idi kuabudu kwa uficho sanamu <strong>za</strong>o.”<br />

Je, matendo ya namna ile haikufanyika karibu katika kila kanisa linalojiita lenyewe<br />

Protestanti? Kwa namna wenye kulianzisha waliokuwa na roho ya kweli ya matengenezo<br />

walikufa, wa<strong>za</strong>o wao wakatoa mfano mpya.” Kukataa kwa upofu kukubali kweli yo yote<br />

mbele ya yale wababa <strong>za</strong>o waliona, watoto wa watengene<strong>za</strong>ji wakatoka kwa mfano wao wa<br />

kujinyima na kuacha dunia.<br />

Aa, kwa wingi wa namna gani makanisa ya watu wengi yalitoka kwa kanuni ya Biblia!<br />

Akazungumzia juu ya pesa, John Wesley akasema: ” Usipoteze sehemu ya talenta hii ya<br />

damani kwa kupamba nyumba yako na vyombo vya ufundi; katika mapicha ya bei kali,<br />

kupamba... Wakati wote utakapovaa mavazi ya rangi ya <strong>za</strong>mbarau nyekundu na kitani,’ na<br />

<strong>za</strong>idi` kuwa na maisha ya anasa kila siku,’ bila shaka wengi watashangilia uzuri wa tamaa<br />

yako, kwa ukarimu wako na utu wema wako. Lakini utoshelewe <strong>za</strong>idi na heshima itokayo<br />

kwa Mungu.”<br />

160

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!