21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

lakini lilitukuzwa na kuwako kwa uhai kwa yule ambaye alikuwa Mungu mwenyewe katika<br />

mwili. “Mapenzi ya mataifa yote” yalikuja kwa hekalu lake wakati Mtu wa Na<strong>za</strong>reti<br />

alipofundisha na kuponyesha katika viwanja takatifu. Lakini Israeli alikataa <strong>za</strong>wadi ya<br />

matoleo ya mbinguni. Pamoja na Mwalimu mnyenyekevu aliyepita kutoka kwa mlango<br />

wake wa <strong>za</strong>habu siku ile, utukufu ukatoka hata milele kwa hekalu. Maneno ya Mwokozi<br />

yalitimia: “Nyumba yenu imeachwa kwenu tupu”. Matayo 23:38.<br />

Wanafunzi walishangazwa sana kwa utabiri wa Kristo wa maangamizi ya hekalu, na<br />

walitamani kufahamu maana ya maneno yake. Herode Mkubwa alitoa kwa ukarimu juu ya<br />

hekalu hazina <strong>za</strong> Waroma na Wayahudi. Vipande vikubwa vya marimari nyeupe,<br />

vilipelekwa kutoka Roma, vikafanya sehemu ya ujenzi wake. Kwa mambo haya wanafunzi<br />

waliita uangalifu wa Bwana wao, kusema: “Ta<strong>za</strong>ma mawe na majengo haya”! Marko 13:1.<br />

Yesu akatoa jibu la wazi na la kushitusha: kweli ninawambia ninyi, Halitabaki jiwe juu<br />

ya jiwe pasipo kubomolewa”. Matayo 24:2. Bwana aliwaambia wanafunzi kwamba atakuja<br />

mara ya pili. Kwa hiyo, alipotaja hukumu juu ya Yerusalema, mafikara yao yakarejea kwa<br />

kurudi, na wakauli<strong>za</strong>: “Maneno haya yote yatakuwa wakati gani? na nini alama ya kuja<br />

kwako, na ya mwisho wa dunia”? Matayo 24:3.<br />

Kristo akaonyesha mbele yao ishara ya mambo makubwa ya kuonekana kabla ya<br />

kufungwa kwa wakati. Unabii alioutaja ulikuwa na sehemu mbili maana yake. Wakati<br />

ulipokuwa ukitabiri uharibifu wa Yerusalema, unabii huu ulionyesha pia mfano wa matisho<br />

ya siku kubwa ya mwisho.<br />

Hukumu zilipashwa kuwekwa juu ya Israeli kwa sababu walikataa na wakasulubisha<br />

Masiya. “Basi wakati munapoona chukizo la uharibifu lililosemwa na Danieli nabii,<br />

likisimama kwa pahali patakatifu (yeye anayesoma afahamu), halafu wale walio katika<br />

Yudea wakimbie kwa milima”. Matayo 24:15,16. Ta<strong>za</strong>ma vile vile Luka 21:20,21. Wakati<br />

kawaida <strong>za</strong> kuabudu sanamu <strong>za</strong> Waroma zitakapo wekwa katika kiwanja kitakatifu inje ya<br />

kuta <strong>za</strong> mji, ndipo wafuasi wa Kristo watapashwa kutafuta usalama katika kukimbia. Wale<br />

watakao okoka hawapashwe kuchelewa. Kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke, hasira ilikwisha kutajwa<br />

juu ya Yerusalema. Ugumu wa kuto kuamini kwake ulifanya maangamizo yake ya kweli.<br />

Ta<strong>za</strong>ma Mika 3:9-11.<br />

Wakaaji wa Yerusalema walimshitaki Kristo kwa chanzo cha taabu zote ambazo zilifika<br />

juu yao katika matokeo ya <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o. Ingawa walimjua yeye kuwa bila kosa, wakatanga<strong>za</strong><br />

kifo chake kuwa cha lazima kwa ajili ya salama yao kama taifa. Wakapatana katika<br />

maamuzi ya kuhani wao mkuu kwamba inafaa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu wote, wala<br />

taifa lote lisiangamie. Ta<strong>za</strong>ma Yoane 11:4753.<br />

Wakati waliua Mwokozi wao kwa sababu alikemea <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o, wakaji<strong>za</strong>nia wao<br />

wenyewe kama watu waliopendelewa na Mungu na kutumainia Bwana kuwakomboa kwa<br />

adui <strong>za</strong>o! Uvumilivu wa Mungu. Karibu miaka makumi ine Bwana alikawisha hukumu<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!