21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

hayakuwa na hasira wala masingizio. Akajisahau mwenyewe na kujiona kwamba alikuwa<br />

mbele tu ya yeye aliye mkuu wa mwisho sana kuliko wapapa, wafalme, na wafalme<br />

(wakuu). Roho ya Mungu ilikuwa pale, kuvuta mioyo ya wakubwa wa ufalme.<br />

Watawala wengi wakakubali wazi wazi haki ya maneno ya Luther. Kundi lingine kwa<br />

wakati ule halikuonyesha imani yao, lakini kwa wakati uliokuja wakasaidia bila woga<br />

matengenezo. Mchaguzi Frederic, akasikili<strong>za</strong> maneno ya Luther na kuchomwa moyo. Kwa<br />

furaha na moyo akashuhudia ushujaa wa mwalimu na kujitawala kwake, na akajitahidi<br />

kusimama imara <strong>za</strong>idi katika kumtetea. Aliona kwamba hekima ya wapapa, wafalme, na<br />

waaskofu inaonekana bure kwa uwezo wa ukweli.<br />

Mjumbe wa Papa alipoona mvuto wa maneno ya Luther, akaamua kutumia njia yote ya<br />

uwezo wake ili kumwangami<strong>za</strong> Mtengene<strong>za</strong>ji. Kwa elimu na akili ya ujanja akaonyesha<br />

mfalme kijana hatari ya kupote<strong>za</strong> urafiki usaada wa Roma kwa ajili ya maneno ya mtawa<br />

asiye na maana.<br />

Kesho yake ya jibu wa Luther, Charles akatanga<strong>za</strong> kwa bara<strong>za</strong> kusudi lake kwa<br />

kudumisha na kulinda dini ya Katoliki. Mashauri ya nguvu yalipashwa kutumiwa juu ya<br />

Luther na mambo ya upin<strong>za</strong>ni wa imani ya dini aliyofundisha: “Nitatoa mfalme <strong>za</strong>ngu<br />

kafara, hazina <strong>za</strong>ngu , rafiki <strong>za</strong>ngu, mwili wangu, damu yangu, roho yangu na maisha<br />

yangu. ... Nitamushitaki na wafuasi wake, kama waasi wapinga imani ya dini, kwa<br />

kuwatenga kwa Ushirika takatifu, kwa mkatazo, na kwa namna yo yote iliyofikiriwa kwa<br />

kuwaangami<strong>za</strong>.” Lakini, mfalme akatanga<strong>za</strong>, hati ya kupita salama ya Luther inapaswa<br />

kuheshimiwa. Anapashwa kuruhusiwa kufika nyumbani mwake salama.<br />

Cheti cha Usalama cha Luther Katika Hatari<br />

Wajumbe wa Papa tena wakaagi<strong>za</strong> kwamba hati ya kupita salama ya Mtengene<strong>za</strong>ji<br />

isiheshimiwe. “Rhine (jina la mto) unapashwa kupokea majivu yake, kama ulivyopokea yale<br />

majivu ya John Huss kwa karne iliyopita.” Lakini watawala wa Ujeremani, ingawa<br />

walijitanga<strong>za</strong> kuwa adui kwa Luther, wakakataa kuvunja ahadi iliotolewa mbele ya taifa.<br />

Wakataja misiba ambayo iliyofuata kifo cha Huss. Hawakusubutu kuleta juu ya Ujeremani<br />

maovu makali mengine.<br />

Charles, kwa kujibu kwa shauri mbaya, akasema: “Ijapo heshima na imani ingepaswa<br />

kufutwa mbali ulimwenguni mwote, vinapaswa kupata kimbilio ndani ya mioyo ya<br />

wafalme.” Akalazimishwa na maadui wa Luther wa kipapa kumtendea Mtengene<strong>za</strong>ji kama<br />

vile Sigismund alivyomtendea Huss. Lakini akakumbuka Huss alipoonyesha minyororo<br />

yake kati ya makutano na kumkumbusha mfalme juu ya imani yake aliyoahidi, Charles V<br />

akasema, “Singetaka kufa<strong>za</strong>ika kama Sigismund.”<br />

Lakini kwa kusudi tu Charles akakataa ukweli uliotolewa na Luther. Alikataa kuacha<br />

njia ya desturi kwa kutembea katika njia <strong>za</strong> kweli na haki. Kama baba <strong>za</strong>ke, alitaka<br />

kupigania dini ya Papa. Kwa hiyo akakataa kukubali nuru mbele ya wa<strong>za</strong>zi wake. Kwa siku<br />

65

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!