21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

hayangeheshimiwa Kiapo cha ndoa hakingedumu tena kuwa kama boma kwa kulinda<br />

jamaa. Yeye aliyekuwa na uwezo angekamata mke wa jirani yake kwa jeuri. Amri ya tano<br />

ingekuwa kando pamoja na ya ine. Watoto hawangekataa kukamata maisha ya wa<strong>za</strong>zi wao<br />

kama kwa kufanya vile wangewe<strong>za</strong> kupata tamaa ya mioyo yao iliyoharibika. Ulimwengu<br />

uliostaarabika ungekuwa kundi la wezi na wauaji wa siri, na amani na furaha ingekomeshwa<br />

duniani.<br />

Tayari mafundisho haya yamefungua milango ya uovu ulimwenguni. Bila sheria na uovu<br />

vinafiagia kama pepo kali ya kipwa. Hata katika nyumba <strong>za</strong> wale wanaojidai kuwa Wakristo<br />

kunakuwa unafiki, mvunjo wa urafiki, usaliti wa matumaini matakatifu, upendeleo wa<br />

tamaa mbaya. Kanuni <strong>za</strong> dini, msingi wa maisha ya ushirika, unaonekana wa kutikisika sana<br />

karibu kuanguka. Wavunja sheria waovu mara kwa mara wanafanywa kuwa wenye kupokea<br />

mambo ya uangalifu kama kwamba walifikia sifa nzuri. Matangazo makubwa yametolewa<br />

kwa makosa yao. Mtambo wa kupiga chapa unatanga<strong>za</strong> maelezo ya uasi wa uovu, kuingi<strong>za</strong><br />

wengine katika madanganyo, wizi, na uuaji. Kupumbazuka kwa kosa, kukosa kuwa na kiasi<br />

kwa kutisha na u<strong>za</strong>limu wa namna yo yote ulipasa kuamsha mambo yote. Ni kitu gani<br />

kinawe<strong>za</strong> kufanyika kuzuia mwendo wa uovu?<br />

Kukosa Kiasi Kumetia Wengi Katika Mashaka<br />

Bara<strong>za</strong> <strong>za</strong> hukumu zimeharibika, watawala wamevutwa na tamaa kwa faida na upendo<br />

wa anasa <strong>za</strong> mambo ya uasherati. Kukosa kiasi kumetia wengi katika mashaka hivyo<br />

Shetani amekuwa na utawala karibu kamili juu yao. Wana sheria wamapotoshwa,<br />

wanavutwa kwa fe<strong>za</strong> (rushwa), wamedanganyika. Ulevi na ulafi, udanganyifu wa kila<br />

namna, unaonekana miongoni mwa wale wanaosimamia sheria. Sasa Shetani hawezi tena<br />

kulinda ulimwengu chini ya utawala kwa njia ya kuzuia Maandiko, anatumia njia zingine<br />

kwa kutimi<strong>za</strong> kusudi lile lile moja. Kwa kuharibu imani katika Biblia ni kutumia pia<br />

kuharibu Biblia yenyewe.<br />

Ni kama katika miaka ya kwan<strong>za</strong>, alikuwa akitumika katika makanisa kuendelesha<br />

mashauri yake. Kwa kupinga mambo ya ukweli yasiyokuwa ya watu wengi katika<br />

Maandiko, wanatumia maelezo ambayo yanapenda kuene<strong>za</strong> mbegu <strong>za</strong> mashaka. Kushikama<br />

na kwa kosa la Papa la maisha ya milele ya asili na ufahamu wa mtu katika mauti,<br />

wanakataa ulinzi wa kipekee juu ya madanganyo ya elimu ya kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa<br />

kurudi na kujionyesha na kuongea na watu (spiritualisme). Mafundisho wa maumivu<br />

mabaya ya milele yameongo<strong>za</strong> wengi kuwa kutoamini Biblia. Kwa madai ya amri ya ine<br />

yanavyoshurutisha, inaoonekana ya kuwa kushika Sabato ya siku ya saba kunaamriwa; na<br />

kwa namna inavyokuwa njia moja tu kwa kujiokoa wenyewe kwa shuguli ambayo hawataki<br />

kuifanya, waalimu wa watu wote wakatupilia mbali sheria ya Mungu na Sabato pamoja.<br />

Kama matengenezo ya Sabato inavyoenea, kukataa huku kwa sheria ya Mungu kwa<br />

kuepuka amri ya ine kutakuwa karibu kuenea pote. Waongozi wa dini wanafungua mlango<br />

kwa kumkana Mungu, kwa imani ya kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa kurudi na kujionyesha na<br />

244

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!